Mkendo
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,142
- 2,242
Mbona kikwete aliwahi kusema mwenye iptl ni swahiba wake wa zamani Lowassa
Za kuambiwa changanya na zako.
Mbona kikwete aliwahi kusema mwenye iptl ni swahiba wake wa zamani Lowassa
Kipindi ukawa wamemsimika lowassa kuwa mgombea wao
Kwa hiyo unataka waachiwe kwasababu umeonana na mwanae?Nimeonana na mwanaye xmas dah[emoji40]
Nimeonana na mwanaye xmas dah😷
Hukumuomba Hela kidogo hiyo Christmas?
Dah, unanikumbusha watu wa kuwapigia simu sasa.
Ah wapi! Mie mwenyewe nilikua njema sana!
😅Mpaka leo bado zipo na uko njema?
we kenge kumbe upo kwa babaMzee Rugemalira alikuwa anakuja sana home kupiga story na mshua.
Ni mtu ninayemjua kama hivyo, si kwa kumsoma magazetini tu.
Siwezi kumsahau kwa kuwa kapata matatizo tu leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kagoma kurudisha mpunga kwa dpp ili apate msamaha, ishu nyingine zinakuwa ngumu sana..
Aisee!Kuchukua fedha zako kumpa DPP akuachie huru ni Rushwa