kutoka shafiidauda.com.
![]()
Mimi ni simba ila ukweli ni kwamba simba tumekuwa na tabia ya kufoji saini za wachezaji hivyo hata kwa hili nashindwa kuamini nani yuko sahihi....Angekuwa Na Akili Wakati Yule Tajiri Wa Kiarabu Anataka Kumnunulia Gari La Kifahari Asingekubali Na Badala Yake Angemwambia Amjengee Nyumba au Ampangie Sehemu Nzuri. Hiki Kitoto Kinaniudhi Na Nimeshakichukia Kwani Kinatumiwa Na Azam Ili Kiharibu Msimbazi Tumfukuze Na Aende Azam Sasa Kwa Kumuonyesha Kuwa Simba Ni MAFIA TULIOTUKUKA Ktk Medani Ya Soka Haendi Kokote Na Timu Itakayoleta Pua Kumtaka Tunawawekea Price Tag Yake Kuwa 1 Billion Na Msimu Ujao Wa Ligi ATACHEZEA Benchi Mpaka ATUOMBE Radhi Wana Simba Wote. Kwanza Hata Mpira Wenyewe Hajui Na Anabahatisha Tu.
kutoka shafiidauda.com.
![]()
Mimi ni simba ila ukweli ni kwamba simba tumekuwa na tabia ya kufoji saini za wachezaji hivyo hata kwa hili nashindwa kuamini nani yuko sahihi....
kwani analipwa TGS gani
nyumba timu ilisema itampangia kwenye mkataba na baadaya wakamruka eti mzawa hapewi nyumba. huyu mngemlea vizuri angekuwa kama messi kweli. sasa hapo pakulala, bila shaka atakuwa asubuhi chai na halfake mbili za miamia. msimfanyie hivyo mwalyanzi, amejizoelea kula wali mwingi, kambale wa usangu na maparachichi.Angekuwa Na Akili Wakati Yule Tajiri Wa Kiarabu Anataka Kumnunulia Gari La Kifahari Asingekubali Na Badala Yake Angemwambia Amjengee Nyumba au Ampangie Sehemu Nzuri. Hiki Kitoto Kinaniudhi Na Nimeshakichukia Kwani Kinatumiwa Na Azam Ili Kiharibu Msimbazi Tumfukuze Na Aende Azam Sasa Kwa Kumuonyesha Kuwa Simba Ni MAFIA TULIOTUKUKA Ktk Medani Ya Soka Haendi Kokote Na Timu Itakayoleta Pua Kumtaka Tunawawekea Price Tag Yake Kuwa 1 Billion Na Msimu Ujao Wa Ligi ATACHEZEA Benchi Mpaka ATUOMBE Radhi Wana Simba Wote. Kwanza Hata Mpira Wenyewe Hajui Na Anabahatisha Tu.
nyumba timu ilisema itampangia kwenye mkataba na baadaya wakamruka eti mzawa hapewi nyumba. huyu mngemlea vizuri angekuwa kama messi kweli. sasa hapo pakulala, bila shaka atakuwa asubuhi chai na halfake mbili za miamia. msimfanyie hivyo mwalyanzi, amejizoelea kula wali mwingi, kambale wa usangu na maparachichi.
Dauda Tunajua Kuwa Ana Chuki Binafsi Na Simba Kutokana Kwamba ALITAKA KUWA Mkuu Wa Idara Ya Habari Na Mawasiliano Ya Klabu Ya Simba Lakini Watu Kutokana Na Kumjua Kuwa Ni MNAFIKI Tukamchinjia Baharini Na Kabla Ya Hapo Pia Alitaka Rais Aveva Amteue Ktk Kamati Kuu Kuu Na Muhimu Za MNYAMA Ambapo Na Kwenyewe Pia Watu WAKAMCHINJIA Baharini Hivyo Anachokifanya Sasa Ni Kueneza Tu Chuki Dhidi Ya Simba Sports Club Kwa Maslahi Yake. Mbona Haendi Pia Kufuatilia Maisha Ya Mchezaji Wa Yanga Oscar Joshua Ambaye Hayatofautiani Na Haya Ya Ramadhan Singano?