mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 210
Kaka suala hapo si kuforg mkataba either simba wapo sahh au singano yupo sahh suala hayo mazingara anayoishi kiukweli sizan kama nyinyi mnaona hayo mazingira mabaya mwenye kosa hapo sio simba hata kama kwenye mkataba inaonesha anapewa ela ya kodi na hakupewa singano analipwa kalibia laki 8 na ukichanganya na posho za kwenye mechi almost anaweza akawa anapata si chini ya milioni so frm that amount anashindwa kupanga sehemu nzur ya laki mbil na nusu akakaa?wakati huu akiendelea kuwasisitiza simba mbona hamnipi kodi?kwan huyo shaffih kina kusaga wamempangia chumba au nyumba?si anaisha kwa mshahara wake?so umri wa singano afundishwe na matumizi ya pesa yake?ok kabla ya huu mkataba anaosema umechakachuliwa si alipewa pesa ya kusaini ule wa miaka miwil anaosema yeye kweli ameshindwa nunua kiwanja hata cha milion 3 au 4 akaanza ujenzi?mambo mengi kuilaumu club ni kuionea tu,kama mshahara unalipwa unaendelea kukaa pabaya uilaumu club kwann usijilipie kodi,kupenda shida ni uchaguzi wake mchezaj kwa hapoMimi ni simba ila ukweli ni kwamba simba tumekuwa na tabia ya kufoji saini za wachezaji hivyo hata kwa hili nashindwa kuamini nani yuko sahihi....