Maisha ya peke yako

umukagame

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
1,044
Reaction score
675
Habari za usiku huu wakuu,

Niende moja kwa moja kwa kile nilitaka kusema kuhusu maisha ya u single lady,
kikubwa ninachogundua nakuwa na utulivu mkubwa wa kufanya kazi tena kwa ufanisi na mafanikio makubwa.

Pili naweza kaa hata 3 hrs bila kushika simu tofauti na zamani nikikaa dk 10 mbali na simu unakuta missed call 10 na lawama juu.

Pili napanga mambo yangu ninavyotaka mwenyewe sigombwi.

Kama na wewe ni single lady embu ongezea na mengine unayopitia.
 
Mimi napenda sana single life.

Ninaenda ninako taka. Ninafanya ninavyotaka. Ninavaa ninavyotaka. Nina enjoy ninavyotaka. Nina date ninayetaka.

Kutaka na Kufanya. FREEDOOOM!
Dats gud yan hakuna kuulizana vimaswali mara uko wap, umekula,umeenda choo leo, nikuone ulivyovaa.unatoka na unayetaka kwa muda unataka
 

WAZEE WA MIAMALA MNAKARIBISHWA KABISA HAPA!

HILI NI TANGAZO LA FREE MARKET ECONOMY.
 
Hizo ni hatua za mwanzo za kuwa single ..easy

Ila soon enuf utaanza kufeel uhitaji wa vitu fulani fulani hapo ndio maisha yanapokuwa magumu kidogo

Ila yote kwa yote kuwa single ni better
Kwa mwanzo naenjoy na its better kuliko kuwa na mahusiano yasiyo na future!
 
Pole sana dada kwakua ulikua katika wrong relation,

Siku ukipata right relation usisite kuleta feedback ya utamu wa kuwa katika mahusiano
 
Pole sana dada kwakua ulikua katika wrong relation,

Siku ukipata right relation usisite kuleta feedback ya utamu wa kuwa katika mahusiano
Lol..usiwaze ntaleta mie tena nnavyopenda udambwi udambwi..bt will take a time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…