Dats gud yan hakuna kuulizana vimaswali mara uko wap, umekula,umeenda choo leo, nikuone ulivyovaa.unatoka na unayetaka kwa muda unatakaMimi napenda sana single life.
Ninaenda ninako taka. Ninafanya ninavyotaka. Ninavaa ninavyotaka. Nina enjoy ninavyotaka. Nina date ninayetaka.
Kutaka na Kufanya. FREEDOOOM!
Habar za usiku huu wakuu
niende moja kwa moja kwa kile nilitaka kusema kuhus maisha ya u single lady
kikubwa ninachogundua nakuwa na utulivu mkubwa wa kufanya kazi tena kwa ufanisi na mafanikio makubwa
pili Naweza kaa hata 3 hrs bila kushika simu tofauti na zamani nikikaa dk 10 mbali na simu unakuta micd call 10 na lawama juu.
Pili Napanga mambo yangu nnavyotaka mwenyewe sigombwi
Kama na wewe ni single lady em ongezea na mengine unayopitia
Kwa mwanzo naenjoy na its better kuliko kuwa na mahusiano yasiyo na future!Hizo ni hatua za mwanzo za kuwa single ..easy
Ila soon enuf utaanza kufeel uhitaji wa vitu fulani fulani hapo ndio maisha yanapokuwa magumu kidogo
Ila yote kwa yote kuwa single ni better
Yeah ni kweli kipenziKwa mwanzo naenjoy na its better kuliko kuwa na mahusiano yasiyo na future!