Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

Mkuu wa chuo,

Hao wote ulionitajia nimeishapitia mabandiko yao yote ndiyo maana naendelea kudadavua baadhi ya hizi bayana zenu.

Hizi ndiyo bayana zenu ambazo mnaziamini kuhusu Al-Kuwaiti, hebu sasa tuwasome Wamarekani wenyewe wanavyo muulezea huyu Al-Kuwaiti, kutoka shirika kubwa la habari la Marekani [abc News].

Mkuu wa chuo, soma vizuri hizo bold utaona kuna contradiction CIA wamemjua Al-Kuwaiti, baada ya kumuua, wewe unasema walielekezwa na mfungwa wa Guantamo, halafu kumbe kwa mujibu wa abc NEWS kulikuwa na maiti nyingi lakini cha ajabu hakuna hata moja ulionyeshwa achalia mbali mazishi yao.

Hakuna picha yeyote inayo muonyesha huyo Al-Kuwaiti, kuwa anaishi na Osama kwenye hiyo nyumba zaidi ya hii picha ya Hoolywood ambayo unatuonyesha Gheto la Osama, teh teh teh,

According to the interrogation report, bin Laden lived in five safehouses and fathered four children - the two youngest born in a public hospital in Abbotabad. But investigators have only located the houses in Abbottabad and Haripur.


Mkuu wa chuo, angalia hapa hii picha ya Osama, tutumie akili zetu tu, mtu anayetafutwa dunia nzima anaangalia TV, anatumia Computer. kwa nini hawa wanaomtafuta wasitumie The Internet Protocol (IP) is the principal communications protocol in the Internet protocol suite for relaying datagrams across network boundaries. Its routing ....

Cc; kahtaan, THE BIG SHOW, gombesugu,


Shariff Ritz,

Salaam.

Hizi khabar za Sheikh Osama Al Mujahid,mimi nimeacha kuzifuatilia kitambo khasa kwa ule utumbo na exaggeration ufanzwao kwa makusudi na waandishi wa mataifa khasa ya magharibi na media outlets zao,tena huku wakiacha pembeni ukweli mwingi tu.

Kwa mfano mimi binafsi mpaka leo hiyo picha siamini yakuwa huyo ati ni Sheikh Osama!?...japo yawezekana yakuwa ni kweli,lakini napata mashaka mengi tu kuamini kutokana na history ya serikali za ki-magharibi na wafuasi wake kuwa ni mabingwa wa kutengeneza khabar na kuziremba kwa kutekeleza propaganda zao ili kutimiza haja na maslahi yao!?

Nimejitahidi kutazama documentaries nyingi mno za huyu mtu,na pia kusoma vitabu kadhaa vya hawa wazandiki wa ki-magharibi na waandishi madhubuti wa ki-Russia,Afghanistan na Pakistan. Nafikiri ufanzapo hivi yasaidia mtu mwenyewe kutambua kiundani history ya hizo nchi zoote khasa Sudan,Saud Arabia,Afghanistan,Pakistan,USSR na watu fulani muhimu...naifkri hii ndo inakuwezesha mtu mwenyewe kumjua huyu Al Mujahid Osama kwa utuvu na family yake ,tangia walipoanzia na hatima yake.

Nui muhimu pia tukachungulia japo kiduchu ule uhusiano adimu na wa kina uliopo mpaka kesho baiana ya Al Saud royal family na Amerika. Khasa uhusiano wa kina uliokuwepo tangia early 1960's baina ya Bush na Bin Laden families.

Muhimu pia tuchungulie George Bush Snr. tangia yupo pale China kama Ambassador na tuangalie na kujumisha vipi mahusiano yake na Bin Laden family wakti huo!? Alipokuja kuwa Boss/Director pale CIA ndo kabisa!

Pia tuangalie kwa kina uzandiki wa jamaa /ndugu zetu wa ki-Pakistan kwa ina na history yao ya kudhulimiana na kugeukana tangia nchi yao bado imo katika ile ilokua India...ndo maana Osama hata siku moja hajawahi/hakuwahi kuwaamini ndugu zake wa ki-Pakistan japo alikua akila nao,akisali nao...lakini daima aliweka mipaka ya uaminifu mabli mno na watu wale. Watu waliokua mujaarab ni wale ma-Pashtun tu na ma-Baluchistan!

Inalazim pia tuchungulie kwa kina uhusiano wa kina baina ya CIA,Saud Intelligence khasa wakti ule wa yule Afrit alolaaanika Prince Ibn Bandar na ISS ya Pakistan.

Pia inalazim tuchungulie msuguano usokwisha mpaka kesho kati ya wale maluuni ndani ya Saud royal family.

Tuchungulie pia japo kiduchu,ukarim,ustaarabu na ushujaa uso mipaka wa jamaa/ndugu zetu wa ki-Pashtun na baadhi ya makabila ya asili ya maeneo yale...lakini pia huku tukizingatia ancient history ya hiyo Afghanistan na ile tribe complexities zake mpaka kesho.

Pia tutazame influence ya CIA,Saud Intelligence/"Al Mukhabarat" na ISS kwa ile vita dhidi ya wale madhalim wa ki-Communist kwa jamaa zetu pale Afghanistan.

Tusisahau na zile local politics zilikuwapo/zilizopo pale Washington Dc kati ya wale Wazee maharamia na manguli wa ufisadi wa dunia Congressmen/Senators na uhusiano na ufadhili wao wa upofu kwa ile Amerikan Jewish Congress/Lobby...maana hizi nazo ndizo zina-influence kila element ya Amerika foreign policy na decision makers wa pale Pentagon au State department.

Kwa kumalizia pia tuangalie kiundani influence na connections za Iran kwenye hayo maeneo yoote na watu/viongozi wake.

Binafsi,nakhis tukitaka au kutamani kumjua Sheikh Osama Al Mujahid kiundani na ukweli wake,basi yatulazim pia kuzingatia mengi mno...la si hivyo ndo kila siku tutaangukia kusikiza Western media outlets/empires na uzandiki wake uso maana!?

Mimi binafsi,niliwahi kutembelea pale Sudan,niliona fadhila nyingi aliozfanza Sheikh Osama kwa nduguze na Serikali yao. Nimekutana na virongwe na wasomi wengi tena vijijini waliomkumbuka yule Bwana kwa wema wake mwingi mno dhidi ya watu kadhaa maskini na mayatima.

Hii haina maana yakwamba ati ninam-support Sheikh Osama kwa baadhi ya Ideologies zake zozote au kama kuna lolote baya alowahi kulifanza/analifanza...hasha!,abadan asilan! Nachelea wnajamvi wengine wasijeanza kunishutumu pasi na kisa!!

Kwa kifupi nimeipenda mno hiyo bayana yako adimu hapo juu kwa nduguyo Mkuu wa Chuo.

Ahsanta.

Cc;Boko Haram,JokaKuu
 
Mkuu Ritz hapo kwenye red naona kama unajichanganya...umejaribu kuleta habari ya wamarekani ili kujengea hoja yako lakini ghafla unasema unataka kila mtu akubali habari ya wamarekani....

Labda unijuze mtazamo wako:
1. je "general" Osama yu hai?
2. Kama yu hai yuko wapi kwa sasa?
3. Kama ameshakufa, alikufaje?

Nakushukuru
Mkuu RealMan,

Nashukuru kwa maswali yako mazuri, mimi napenda kukujibu kama ifuatavyo...
1. je "general" Osama yu hai?
Mimi sina jibu kamili kama Osama yu hai au amekufa, ngoja tuwasome Wamarekani wenyewe hapa chini.
[h=3]The Ossama Hoax, Bin Laden is dead a long time ago ![/h]


In recent days we have been confronted with the news of the death of Osama Bin Laden, of course the media did an authentic feast media and in the end got me a huge impression that the story once again was very poorly told, since the 1st photo widespread the supposed corpse of Bin Laden, from the supposed confirmation by DNA only tells us that this alleged DNA was of somebody's family, to the supposed body lying on the high seas ... All this bodes very badly, it's very convenient or doubtful. In search of truth have decided to publish an article. When searching the Internet I found an article that is very similar to what we think about it with some minor details with which we disagree but overall it was exactly what we read on the Site Alles Schall und Rauch, so I decided to publish the article

And so goes humanity ...

A dead man is continually kept "alive" for there to be a scapegoat, justifying the endless "War on Terror."
Osama bin Laden died on December 16, 2001 in Afghanistan, probably of kidney and liver problems that haunted him for years. He had hepatitis C and had to be frequently hospitalized to undergo a hemodialysis.

last fotos of Ossama Bin Laden

His last picture, taken December 6, 2001, shows a very old man with a serious illness. According to experts of the CIA, bin Laden needed at the time of dialysis every three days and they said: "Of course it is very difficult when one must flee from one place to another and yet, as it would be possible for an operation in transportable equipment by their hideouts in the mountains? ". For comparison, a photo of the day, when he was still healthy.




There are many proofs and indications pointing to the fact that Bin Laden is dead long ago. Following the report about his funeral, published on December 26, 2001 in an Egyptian newspaper.

Here's the translation:
"Al-WAFS, Wednesday, December 26, 2001, Vol 15 No. 4633, news about the death of bin Laden and burial for 10 days. Islamabad-Pakistan. A top official of the Afghan Taleban movement announced yesterday the death of Osama bin Laden, the leader of the Al-Qaeda. He said, bin Laden suffered serious complications in the lungs and died peacefully of natural causes. The official, who demanded anonymity, told the newspaper 'The Observer' of Pakistan, who himself was present at the funeral and he had looked at his face before burial in Tora Bora 10 days ago. He said 30 of his fellow Al Qaeda were at the funeral, as well as members of his family and some friends of the Taliban. At the closing ceremony for the final resting place was a volley of shots. The official also said it would be difficult to find the exact location of the grave, because according to the Wahhabi tradition no mark indicates the location. He stressed it was unlikely that the U.S. military one day find a single clue to bin Laden.

Article about Ossama´s dead

Bin Laden was very ill and needed constant treatment and hemodialysis, this is shown in several articles on various stays in hospital during his last year of life. For example, July 4, 2001, bin Laden was treated in U.S. hospital emergency measures to Dubai and with an apparatus for hemodialysis (Guardian). During this treatment he received at the hospital to visit the local chief of the CIA and they chatted amiably. After all, Bin Laden was a CIA agent in the war against the Soviets in Afghanistan and operated under the codename "Tim Osman".


Just one day before the September 11, 2001, bin Laden went to the military hospital in Rawalpindi Pakistan, to undergo dialysis. Pakistani troops escort Bin Laden and replaced the staff of the clinic by people you trust (CBS). Is not it interesting that just on major terrorist attack against America, bin Laden was in the custody of the Pakistani military and just the week before and a week later, the head of the Pakistani secret service ISI General Mahmood Ahmed, was in Washington and spoke at the Pentagon with the National Security Council, then with the CIA director Tenet, the White House with people and with Marc Grossman, Deputy Secretary of State for Political Affairs (Karachi news).
This means that all parties knew where bin Laden was, and if the Americans really were of the view that bin Laden was the perpetrator of the attacks, then he would be handed over without a fight and they could have him arrested immediately in a hospital bed . But nothing like that happened. They let him return to Afghanistan after their treatment, where they then died several weeks later.
This behavior proves to any reasonable person that Bin Laden has nothing to do with September 11 and still prove that they created the world's media a scapegoat as the organizer of the attacks and super-terrorist. All this is a gigantic lie.
The September 17, 2001, the TV station Al Jazeera published a report of bin Laden, where he said he had nothing to do with September 11: "The U.S. government blames me continuously for each of the attacks. I would like to reassure the world, I did not plan these attacks, which seem to have been planned by others for personal reasons. I live in the Islamic Emirate Afghanistan and follow the rules of their rulers. The current rulers do not allow me to perform this operation. " (CNN)
Kama yu hai yuko wapi kwa sasa?
[h=2]Obama’s “Big Lie”: White House Propaganda and the “Death” of Osama bin Laden[/h]
On the evening of May 1, 2011, President Barack Obama declared that the CIA, on his personal order, successfully killed Al-Qaeda “mastermind” Osama bin Laden. In a conveniently scheduled Sunday evening telecast, Obama shamelessly wielded tired lies and 9/11 propaganda, while congratulating himself and the CIA. In classic lying George W. Bush fashion, Obama announced “mission accomplished”.
Obama has pronounced Osama bin Laden to be dead. But according to historical facts and extensive documented evidence, he may never have been alive in the way that the official propaganda has portrayed him. Or alive at all.
Osama bin Laden has been a CIA asset in reality, and a propaganda boogeyman in official fiction.
The official Osama bin Laden narrative, along with “Islamic terrorism” and Al-Qaeda, is a CIA military-intelligence fabrication designed to provide a pretext for an eternal global war agenda, and to provide an ongoing propaganda pretext for the “war on terrorism”.
The “Militant Islamic Network”, including bin Laden himself, has been, since the Cold War a intelligence network that has been “run” on behalf of Anglo-American interests.
The attack of 9/11 was a false flag operation, planned and carried out by Anglo-American intelligence assets, blamed on “Al-Qaeda”, despite no credible supporting evidence.
On the other hand, evidence abounds concerning the manipulation of terror assets, including bin Laden, by the CIA. This milieu was thoroughly examined by Mike Ruppert in Crossing the Rubicon, in which he concluded:
“Given the degree of documented intelligence penetration of al Qaeda; the fact that Osama bin Laden had been a CIA asset during the first Afghan conflict against the Soviets; the fact that a number of the so-called hijackers and/or al Qaeda members had been trained in CIA training camps in Chechnya; had fought in CIA/US-sponsored guerrilla conflicts (e.g. in Kosovo with the KLA in 2000), or had received military training at US installations; given all that, it is reasonable to assume that one or more top al Qaeda officials were in fact double or triple agents…”
“Based upon what is known about successful intelligence penetrations for years prior to the attacks of 9/11, Osama bin Laden and al Qaeda could not have sneezed without the CIA or the NSA knowing about it.”
The assertion that bin Laden’s whereabouts have been unknown, that he could have eluded detection for a decade (including the “he’s hiding in caves along the Afghanistan/Pakistan border” and other such fables) was debunked years ago. According to a November 2003 Reuters report, bin Laden was received kidney dialysis in a US military hospital in Dubai two months before the 9/11 attacks, and again on September 10, 2001, according to Pakistani intelligence. These and other reports support the conclusion that Osama bin Laden was not only a CIA asset (one whose whereabouts were more than known), but one who was deathly ill. Other reports over the years suggest that the “mastermind” may have certainly died at some point, even while his image continued to be used incessantly to keep the “war on terrorism” alive.
Kama ameshakufa, alikufaje?
Mkuu habari ni nyingi sana mapaka zinapasua vichwa soma na hii hapa chini...

[h=2]OSAMA BIN LADEN DIED IN 2001!!![/h]

250510laden.jpg
The information put out by the White House about the killing of Osama Bin Laden is a DELIBERATE LIE! OSAMA BIN LADEN HAS BEEN DEAD SINCE 2001!!!

As shown below by reports from Taliban fighters, Osama Bin Laden's family, Heads of State, the CIA, Pakistani Intelligence, Israeli Press, NY Times, and other sources, Osama Bin Laden died of natural causes in Tora Bora in December, 2001.

Why the hoax about his death at this time?
It is because the US doesn't need the Bin Laden, Al-Qaeda boogeyman to justify attacking Muslim nations anymore.

The Al-Qaeda boogeyman was used successfully to attack Iraq, Afghanistan, Yemen, Somalia, Pakistan and other places.

But as evidenced in Libya, all that needs to be done now is claim that leaders are killing their people and the US and NATO will have all the justification they need to attack other sovereign nations.

We are led to believe that the same murderers of millions of Muslims, plunderers of their lands and haters of Islam have transformed themselves into the saviors of the Muslim masses. We should not be fooled by their appealing propaganda playing on the goodness of our hearts. Their goals are always the same -- steal Muslim countries resources and gain world dominance for Israel's benefit.

They see how easy it is to provoke protests in Arab countries, send their mercenaries in to kill the people, blame the killings on Arab leaders and then bomb those countries. They are very selective about this process choosing to execute the complete process in Libya and now itching to do it in Syria on their road to waging war on Iran.

Their aim is to weaken and decimate Muslim countries whether friend or foe. Tunisia and Egypt were friendly countries whose cruel, corrupt and self serving leaders did more to please the West than to satisfy the needs of their people.

Libya and Syria are not considered friendly countries by the West in the same light as Egypt and Tunisia. Yet friend or foe, both types of leadership has to be toppled because the aim is to leave the Muslim world weak and helpless subject to the dominion of the West. Iraq and Afghanistan are good examples of what they want for the Muslim world after their escapades of bringing "freedom" to the Muslim masses. That "freedom" has only left those countries ruined and destroyed in much worse shape than they were in before their "saviors" from the West invaded.

Michael Rivero of whatreallyhappened.com had his website hacked right before Obama was about to make the announcement about Osama Bin Laden being killed. Why hack his website at this time? Michael gave this response:

Yes, we were hacked. Starting just moments before President Obama announced the death of Osama bin Laden, our website was hit with what the hosting company described as a massive distributed denial of service attack, no doubt to prevent the public from accessing the documentation showing Bin Laden actually died in December of 2001 of natural causes. My concern here is that the US or Israel will now stage a false flag attack on the US, claim it is "revenge" by "Al Qaeda", and use it to justify total war on all Arab/Muslim nations. The US may start WW3 just because they cannot think of anything better to do!
Cc; kahtaan,
 
Last edited by a moderator:
Mkuu RealMan,

Nashukuru kwa maswali yako mazuri, mimi napenda kukujibu kama ifuatavyo...

Mimi sina jibu kamili kama Osama yu hai au amekufa, ngoja tuwasome Wamarekani wenyewe hapa chini.
The Ossama Hoax, Bin Laden is dead a long time ago !


bwana Ritz tumekwisha wasoma wenyewe wa Marekani kutokana na majarida uliyoweka hapo kwa mfano hebu soma hizo title za hayo majarida zinasemaje nadhani hapo umekwisha pata jibu tayari...

In recent days we have been confronted with the news of the death of Osama Bin Laden, of course the media did an authentic feast media and in the end got me a huge impression that the story once again was very poorly told, since the 1st photo widespread the supposed corpse of Bin Laden, from the supposed confirmation by DNA only tells us that this alleged DNA was of somebody's family, to the supposed body lying on the high seas ... All this bodes very badly, it's very convenient or doubtful. In search of truth have decided to publish an article. When searching the Internet I found an article that is very similar to what we think about it with some minor details with which we disagree but overall it was exactly what we read on the Site Alles Schall und Rauch, so I decided to publish the article
bwana Ritz anatuambia hawa ni wa Marekani ndio wanaongea haya maneno lakini ukisoma hapo juu unaona kama ni mtu mmoja ndio anaongea lakini jamaa hatuambii ni nani huyo anayeongea? yeye anasema hao ni wamarekani ndio wanaongea, check haya maneno ya huyu jamaa " When searching the Internet I found an article that is very similar to what we think about it with some minor details with which we disagree but overall it was exactly what we read on the Site Alles Schall und Rauch" halafu eti kumsoma huyo ndio tuamini ya kwake asemayo!!? haya bwana hebu tuendelee na bayana za wamarekani aliowafanyia utafiti bwana Ritz kuthibitisha ukweli wake...

And so goes humanity ...

A dead man is continually kept "alive" for there to be a scapegoat, justifying the endless "War on Terror."
Osama bin Laden died on December 16, 2001 in Afghanistan, probably of kidney and liver problems that haunted him for years. He had hepatitis C and had to be frequently hospitalized to undergo a hemodialysis.

last fotos of Ossama Bin Laden

His last picture, taken December 6, 2001, shows a very old man with a serious illness. According to experts of the CIA, bin Laden needed at the time of dialysis every three days and they said: "Of course it is very difficult when one must flee from one place to another and yet, as it would be possible for an operation in transportable equipment by their hideouts in the mountains? ". For comparison, a photo of the day, when he was still healthy.




There are many proofs and indications pointing to the fact that Bin Laden is dead long ago. Following the report about his funeral, published on December 26, 2001 in an Egyptian newspaper.
kwa hiyo hapo jamaa moja kwa moja anatuambia Osama alikufa muda mrefu na anasema alikufa desemba 6, 2001 lakini na yeye hana uhakika anasema inawezekana alikufa kwa maradhi ya figo au ini, halafu bwana Ritz yeye moja kwa moja akabeba mazima mazima bila kutumia akili zake alizopewa kwa ajili ya kufikiri...
hii kitu haikuthibitishwa lakini ile operation ya Abbottabad yenyewe inao uthibitisho kwasababu ile operation Al Qaeda walithibitisha kifo cha Osama tar 6 may 2011, na tarehe 16 June 2011 kama sikosei akachaguliwa yule jamaa Daktari Mmisri Al Zawahiri kuwa kiongozi wa kundi la Al Qaeda, sijui hii ya bwana Ritz alithibitisha nani? kama shuhuda mwenyewe hata yeye mwenyewe hajielewi kwamba jamaa alikufa kwa ugonjwa upi...

Here's the translation:
"Al-WAFS, Wednesday, December 26, 2001, Vol 15 No. 4633, news about the death of bin Laden and burial for 10 days. Islamabad-Pakistan. A top official of the Afghan Taleban movement announced yesterday the death of Osama bin Laden, the leader of the Al-Qaeda. He said, bin Laden suffered serious complications in the lungs and died peacefully of natural causes. The official, who demanded anonymity, told the newspaper 'The Observer' of Pakistan, who himself was present at the funeral and he had looked at his face before burial in Tora Bora 10 days ago. He said 30 of his fellow Al Qaeda were at the funeral, as well as members of his family and some friends of the Taliban. At the closing ceremony for the final resting place was a volley of shots. The official also said it would be difficult to find the exact location of the grave, because according to the Wahhabi tradition no mark indicates the location. He stressed it was unlikely that the U.S. military one day find a single clue to bin Laden.

Article about Ossama´s dead
hawa wamarekani wa Ritz wanajichanganya sana huko juu walituambia labda alikufa kwa kwa maradhi ya ini au figo hapa tena wanatuambia alikufa kwa maradhi ya mapafu, sasa kati ya hii habari na ile ya operation ipi ni yenye kujichanganya sana? halafu eti kulikuwa na observer kabisa kutoka Pakistani yeye alikuwa kwenye hayo mazishi, sasa hapo mtu utaamini vipi kama ukisoma na hii statement "The official also said it would be difficult to find the exact location of the grave," hebu bwana Ritz tunyambulishie hapo...
Bin Laden was very ill and needed constant treatment and hemodialysis, this is shown in several articles on various stays in hospital during his last year of life. For example, July 4, 2001, bin Laden was treated in U.S. hospital emergency measures to Dubai and with an apparatus for hemodialysis (Guardian). During this treatment he received at the hospital to visit the local chief of the CIA and they chatted amiably. After all, Bin Laden was a CIA agent in the war against the Soviets in Afghanistan and operated under the codename "Tim Osman".


Just one day before the September 11, 2001, bin Laden went to the military hospital in Rawalpindi Pakistan, to undergo dialysis. Pakistani troops escort Bin Laden and replaced the staff of the clinic by people you trust (CBS). Is not it interesting that just on major terrorist attack against America, bin Laden was in the custody of the Pakistani military and just the week before and a week later, the head of the Pakistani secret service ISI General Mahmood Ahmed, was in Washington and spoke at the Pentagon with the National Security Council, then with the CIA director Tenet, the White House with people and with Marc Grossman, Deputy Secretary of State for Political Affairs (Karachi news).
This means that all parties knew where bin Laden was, and if the Americans really were of the view that bin Laden was the perpetrator of the attacks, then he would be handed over without a fight and they could have him arrested immediately in a hospital bed . But nothing like that happened. They let him return to Afghanistan after their treatment, where they then died several weeks later.
Duh! sasa hii ndio kali ile operation ya Abbottabad bwana Ritz huwa anaita ni ya hollywood sasa hii sijui itakuwa ni ya bollywood yaani kabla picha haijaanza steringi anafia kwenye maua, kumbe July 4 2001 kabla ya septemba eleven jamaa Usama alikuwa anatibiwa kwenye hospitali ya U.S, yaani mtu aliyepanga mashambulizi ya kulipuwa balozi za Marekani Tanzania na Kenya 1998, ina maana 2001 na moja walikuwa wamekwisha sahau tayari... hapo sina neno!

This behavior proves to any reasonable person that Bin Laden has nothing to do with September 11 and still prove that they created the world's media a scapegoat as the organizer of the attacks and super-terrorist. All this is a gigantic lie.
The September 17, 2001, the TV station Al Jazeera published a report of bin Laden, where he said he had nothing to do with September 11: "The U.S. government blames me continuously for each of the attacks. I would like to reassure the world, I did not plan these attacks, which seem to have been planned by others for personal reasons. I live in the Islamic Emirate Afghanistan and follow the rules of their rulers. The current rulers do not allow me to perform this operation. " (CNN)
hapo sina neno, lakini ningeomba uthibitisho zaidi...
Obama’s “Big Lie”: White House Propaganda and the “Death” of Osama bin Laden


On the evening of May 1, 2011, President Barack Obama declared that the CIA, on his personal order, successfully killed Al-Qaeda “mastermind” Osama bin Laden. In a conveniently scheduled Sunday evening telecast, Obama shamelessly wielded tired lies and 9/11 propaganda, while congratulating himself and the CIA. In classic lying George W. Bush fashion, Obama announced “mission accomplished”.
Obama has pronounced Osama bin Laden to be dead. But according to historical facts and extensive documented evidence, he may never have been alive in the way that the official propaganda has portrayed him. Or alive at all.
Osama bin Laden has been a CIA asset in reality, and a propaganda boogeyman in official fiction.
The official Osama bin Laden narrative, along with “Islamic terrorism” and Al-Qaeda, is a CIA military-intelligence fabrication designed to provide a pretext for an eternal global war agenda, and to provide an ongoing propaganda pretext for the “war on terrorism”.
The “Militant Islamic Network”, including bin Laden himself, has been, since the Cold War a intelligence network that has been “run” on behalf of Anglo-American interests.
The attack of 9/11 was a false flag operation, planned and carried out by Anglo-American intelligence assets, blamed on “Al-Qaeda”, despite no credible supporting evidence.
On the other hand, evidence abounds concerning the manipulation of terror assets, including bin Laden, by the CIA. This milieu was thoroughly examined by Mike Ruppert in Crossing the Rubicon, in which he concluded:
“Given the degree of documented intelligence penetration of al Qaeda; the fact that Osama bin Laden had been a CIA asset during the first Afghan conflict against the Soviets; the fact that a number of the so-called hijackers and/or al Qaeda members had been trained in CIA training camps in Chechnya; had fought in CIA/US-sponsored guerrilla conflicts (e.g. in Kosovo with the KLA in 2000), or had received military training at US installations; given all that, it is reasonable to assume that one or more top al Qaeda officials were in fact double or triple agents…”
“Based upon what is known about successful intelligence penetrations for years prior to the attacks of 9/11, Osama bin Laden and al Qaeda could not have sneezed without the CIA or the NSA knowing about it.”
The assertion that bin Laden’s whereabouts have been unknown, that he could have eluded detection for a decade (including the “he’s hiding in caves along the Afghanistan/Pakistan border” and other such fables) was debunked years ago. According to a November 2003 Reuters report, bin Laden was received kidney dialysis in a US military hospital in Dubai two months before the 9/11 attacks, and again on September 10, 2001, according to Pakistani intelligence. These and other reports support the conclusion that Osama bin Laden was not only a CIA asset (one whose whereabouts were more than known), but one who was deathly ill. Other reports over the years suggest that the “mastermind” may have certainly died at some point, even while his image continued to be used incessantly to keep the “war on terrorism” alive.
sasa kama ni uongo ilikuwaje mpaka baada ya ile operation wakachagua kiongozi mpya wa Al Qaeda? Halafu lile tukio la kushudia ile operation kina Obama walikuwa wanaigiza tu?

Mkuu habari ni nyingi sana mapaka zinapasua vichwa soma na hii hapa chini...

OSAMA BIN LADEN DIED IN 2001!!!



250510laden.jpg
The information put out by the White House about the killing of Osama Bin Laden is a DELIBERATE LIE! OSAMA BIN LADEN HAS BEEN DEAD SINCE 2001!!!

As shown below by reports from Taliban fighters, Osama Bin Laden's family, Heads of State, the CIA, Pakistani Intelligence, Israeli Press, NY Times, and other sources, Osama Bin Laden died of natural causes in Tora Bora in December, 2001.

Why the hoax about his death at this time?
It is because the US doesn't need the Bin Laden, Al-Qaeda boogeyman to justify attacking Muslim nations anymore.

The Al-Qaeda boogeyman was used successfully to attack Iraq, Afghanistan, Yemen, Somalia, Pakistan and other places.

But as evidenced in Libya, all that needs to be done now is claim that leaders are killing their people and the US and NATO will have all the justification they need to attack other sovereign nations.

We are led to believe that the same murderers of millions of Muslims, plunderers of their lands and haters of Islam have transformed themselves into the saviors of the Muslim masses. We should not be fooled by their appealing propaganda playing on the goodness of our hearts. Their goals are always the same -- steal Muslim countries resources and gain world dominance for Israel's benefit.

They see how easy it is to provoke protests in Arab countries, send their mercenaries in to kill the people, blame the killings on Arab leaders and then bomb those countries. They are very selective about this process choosing to execute the complete process in Libya and now itching to do it in Syria on their road to waging war on Iran.

Their aim is to weaken and decimate Muslim countries whether friend or foe. Tunisia and Egypt were friendly countries whose cruel, corrupt and self serving leaders did more to please the West than to satisfy the needs of their people.

Libya and Syria are not considered friendly countries by the West in the same light as Egypt and Tunisia. Yet friend or foe, both types of leadership has to be toppled because the aim is to leave the Muslim world weak and helpless subject to the dominion of the West. Iraq and Afghanistan are good examples of what they want for the Muslim world after their escapades of bringing "freedom" to the Muslim masses. That "freedom" has only left those countries ruined and destroyed in much worse shape than they were in before their "saviors" from the West invaded.

Michael Rivero of whatreallyhappened.com had his website hacked right before Obama was about to make the announcement about Osama Bin Laden being killed. Why hack his website at this time? Michael gave this response:
Yes, we were hacked. Starting just moments before President Obama announced the death of Osama bin Laden, our website was hit with what the hosting company described as a massive distributed denial of service attack, no doubt to prevent the public from accessing the documentation showing Bin Laden actually died in December of 2001 of natural causes. My concern here is that the US or Israel will now stage a false flag attack on the US, claim it is "revenge" by "Al Qaeda", and use it to justify total war on all Arab/Muslim nations. The US may start WW3 just because they cannot think of anything better to do!
Cc; kahtaan,
hapo juu naona ni porojo nyingi tu, Lakini bwana Ritz kama unavyosema umepewa kichwa kwa ajili ya kufikiri haya sasa kitumie kwa ajili ya hayo matumizi...
 
Last edited by a moderator:
wakuu hamuijui hii kitu inaitwa seal team six nijuavyo mimi kwa historia tangu osama ameanza kuwa traced ikitokea tu imetangazwa kauawa inakuwa haipiti mwezi au miezi miwili babu anaruka hewani na video kwamba he is still alive lakini tangu mission ya abbortab imekamilika ni kiiiimya so kimtazamo ni kweli babu keshasepa mbele za haki anapimiwa kama alivyowapimia binadamu wenzake pale wtc kilichonifurahisha zaidi wale vijana wa seal team six mpaka siku ya mwisho dakika moja kabla ya kuingia kwenye black hawks ndipo wanaambiwa what is the mission mazoezi zaidi ya miezi sita hawajui what is the mission mchongo aliujua peneta na macraven tu kamanda wao. CIA na seal team six ni nooooma
 
bwana Ritz tumekwisha wasoma wenyewe wa Marekani kutokana na majarida uliyoweka hapo kwa mfano hebu soma hizo title za hayo majarida zinasemaje nadhani hapo umekwisha pata jibu tayari...


bwana Ritz anatuambia hawa ni wa Marekani ndio wanaongea haya maneno lakini ukisoma hapo juu unaona kama ni mtu mmoja ndio anaongea lakini jamaa hatuambii ni nani huyo anayeongea? yeye anasema hao ni wamarekani ndio wanaongea, check haya maneno ya huyu jamaa " When searching the Internet I found an article that is very similar to what we think about it with some minor details with which we disagree but overall it was exactly what we read on the Site Alles Schall und Rauch" halafu eti kumsoma huyo ndio tuamini ya kwake asemayo!!? haya bwana hebu tuendelee na bayana za wamarekani aliowafanyia utafiti bwana Ritz kuthibitisha ukweli wake...


kwa hiyo hapo jamaa moja kwa moja anatuambia Osama alikufa muda mrefu na anasema alikufa desemba 6, 2001 lakini na yeye hana uhakika anasema inawezekana alikufa kwa maradhi ya figo au ini, halafu bwana Ritz yeye moja kwa moja akabeba mazima mazima bila kutumia akili zake alizopewa kwa ajili ya kufikiri...
hii kitu haikuthibitishwa lakini ile operation ya Abbottabad yenyewe inao uthibitisho kwasababu ile operation Al Qaeda walithibitisha kifo cha Osama tar 6 may 2011, na tarehe 16 June 2011 kama sikosei akachaguliwa yule jamaa Daktari Mmisri Al Zawahiri kuwa kiongozi wa kundi la Al Qaeda, sijui hii ya bwana Ritz alithibitisha nani? kama shuhuda mwenyewe hata yeye mwenyewe hajielewi kwamba jamaa alikufa kwa ugonjwa upi...


hawa wamarekani wa Ritz wanajichanganya sana huko juu walituambia labda alikufa kwa kwa maradhi ya ini au figo hapa tena wanatuambia alikufa kwa maradhi ya mapafu, sasa kati ya hii habari na ile ya operation ipi ni yenye kujichanganya sana? halafu eti kulikuwa na observer kabisa kutoka Pakistani yeye alikuwa kwenye hayo mazishi, sasa hapo mtu utaamini vipi kama ukisoma na hii statement "The official also said it would be difficult to find the exact location of the grave," hebu bwana Ritz tunyambulishie hapo...

Duh! sasa hii ndio kali ile operation ya Abbottabad bwana Ritz huwa anaita ni ya hollywood sasa hii sijui itakuwa ni ya bollywood yaani kabla picha haijaanza steringi anafia kwenye maua, kumbe July 4 2001 kabla ya septemba eleven jamaa Usama alikuwa anatibiwa kwenye hospitali ya U.S, yaani mtu aliyepanga mashambulizi ya kulipuwa balozi za Marekani Tanzania na Kenya 1998, ina maana 2001 na moja walikuwa wamekwisha sahau tayari... hapo sina neno!


hapo sina neno, lakini ningeomba uthibitisho zaidi...

sasa kama ni uongo ilikuwaje mpaka baada ya ile operation wakachagua kiongozi mpya wa Al Qaeda? Halafu lile tukio la kushudia ile operation kina Obama walikuwa wanaigiza tu?


hapo juu naona ni porojo nyingi tu, Lakini bwana Ritz kama unavyosema umepewa kichwa kwa ajili ya kufikiri haya sasa kitumie kwa ajili ya hayo matumizi...
Mkuu wa chuo,

Chambua na hizi bayana usichoke teh teh teh.....
Fox News Report Dec 2001: Bin Laden Already Dead


Jim Stone * TheRebel.org

Impeachment scandal #6

We have all heard about the report that Osama Bin Laden died in 2001, but few of us have ever seen it. Kjtruthnews found it. I saw this but did not pay attention to it at the time because none of us knew where this OBL conspiracy saga would go, and we just treated it like everyday news. Well, here is impeachment scandal 6. Lying about the capture of OBL who really died 10 years earlier, and somehow coming up with dead marines as a result of a fake raid set up for your own personal gain is in my opinion a fully impeachable offense. Make sure you look at the date on this article.
Report: Bin Laden Already Dead

Published December 26, 2001 | FoxNews.com


Usama bin Laden has died a peaceful death due to an untreated lung complication, the Pakistan Observer reported, citing a Taliban leader who allegedly attended the funeral of the Al Qaeda leader.
"The Coalition troops are engaged in a mad search operation but they would never be able to fulfill their cherished goal of getting Usama alive or dead," the source said.
Bin Laden, according to the source, was suffering from a serious lung complication and succumbed to the disease in mid-December, in the vicinity of the Tora Bora mountains. The source claimed that bin Laden was laid to rest honorably in his last abode and his grave was made as per his Wahabi belief.
About 30 close associates of bin Laden in Al Qaeda, including his most trusted and personal bodyguards, his family members and some "Taliban friends," attended the funeral rites. A volley of bullets was also fired to pay final tribute to the "great leader."
The Taliban source who claims to have seen bin Laden's face before burial said "he looked pale … but calm, relaxed and confident."
Asked whether bin Laden had any feelings of remorse before death, the source vehemently said "no." Instead, he said, bin Laden was proud that he succeeded in his mission of igniting awareness amongst Muslims about hegemonistic designs and conspiracies of "pagans" against Islam. Bin Laden, he said, held the view that the sacrifice of a few hundred people in Afghanistan was nothing, as those who laid their lives in creating an atmosphere of resistance will be adequately rewarded by Almighty Allah.
When asked where bin Laden was buried, the source said, "I am sure that like other places in Tora Bora, that particular place too must have vanished."
Chambua na hii
Questions Abound Over How Fake Bin Laden Photos Duped Lawmakers

By Cristina Corbin
Published May 05, 2011FoxNews.com


  • ScottBrownandCompany.jpg

    Shown here are Sens. Scott Brown, R-Mass., Kelly Ayotte, R-N.H., and Saxby Chambliss, R-Ga. (AP)


A day after the White House said it will not release the official photo of Usama bin Laden's body, many are wondering how a handful of lawmakers were duped into believing they saw it.
The Obama administration said Wednesday it will not make public the images of the dead Al Qaeda chief, arguing the pictures could incite violence and be used as propaganda by terrorist leaders. White House officials also say DNA evidence confirming the body as Bin Laden's provides sufficient proof of his death.
The announcement came after at least three U.S. lawmakers claimed to have seen what they believed was an authentic photograph of Bin Laden, shot in the face and chest during a CIA-led Navy SEALs operation Sunday at a secret compound in Abbottabad, Pakistan.
But those photos appear to have been doctored images sent by an undisclosed source or sources to members of Congress, including Sen. Scott Brown, R-Mass., who admitted Wednesday he'd been fooled into thinking the picture was real.
After telling reporters he had seen an image that confirmed Usama is "definitely dead," Brown later said "the photo that I saw and that a lot of other people saw is not authentic."
A Brown staff member claims the senator received the picture from someone he believed to be "a reliable source," the Boston Herald reported.
Sen. Saxby Chambliss, R-Ga., and Sen. Kelly Ayotte, R-N.H., were also among those lawmakers to have viewed a fabricated picture.
"The photo I saw was shown to me by somebody who represented it to me as bin Laden after he was shot," Chambliss told reporters Wednesday, adding that the digital image was sent to him by someone who was not a government official.
"I have no idea where it came from," he said.
Ayotte's office said in a statement that "another senator" showed her the picture and that she did not know if it was authentic.
In an interview Thursday with FoxNews.com, Senate Sergeant at Arms Terry Gainer said he, too, had viewed a phony bin Laden picture. Gainer said a person with no background in law enforcement could have easily mistaken the picture as real.
"I actually had one of the pictures sent to me by someone in Chicago within hours of this thing and I just deleted it. It didn't surprise me that pretty quick someone could send around a picture I presumed was bogus," said Gainer, a seasoned law enforcement official who worked as a police officer for 47 years.
But, Gainer said, "If one was not normally in the business, I think you could have been taken in by this."
He said he had no plans to investigate the fictitious photos unless a member of Congress requested it.
Rep. Mike Rogers, R-Mich., chairman of the intelligence committee, still claims to have viewed the official photos.
Rogers spokeswoman Susan Phalen told FoxNews.com that Rogers was shown the images by members of the CIA.
"He happened to be at the CIA on Monday and he saw the photos there," Phalen said in an interview. "It was not something that was emailed. He saw the photos that were in the custody of the CIA."




Read more: Questions Abound Over How Fake Bin Laden Photos Duped Lawmakers | Fox News..

Chambua na hii teh teh teh
The first fake photo, used by Reuters' and the British Press.
deadosamamaybe.jpg
US Senator Scott Brown confirmed that this was the image he was shown as part of an official US government briefing to the Senate Armed Services Committee.
Brown, a member of the Senate Armed Services Committee, suggested he had viewed them as part of an official briefing, and he argued that they were too graphic to be released to the public and could enflame terrorists. Oops.
Brown later acknowledged that he had fallen victim to a hoax, apparently the same doctored images that were making the rounds on the Internet.
And here is how the fake was made!
howthefakewasmade.jpg

The mouth and beard from a photo of the real Bin Laden in the mid 80s was photoshopped onto the head of another dead man. "If at first you don't succeed, lie, lie again!" -- Motto of the White House
obl_dead.jpg

Another photo that was leaked onto the net following the collapse of the first fake. The White House strategy appears to have been to "test" the fakes with leaks, then go with the first image that appeared to fool everyone. This one did not. Ignoring the bullet hole this guy looks very healthy for ten years of dialysis. The nose is also too narrow. But the main reason to disregard this as another likely fake is simple. This image is tainted green to make it look like a night vision image, yet the soldier at right is looking off left, apparently able to see just fine without night vision goggles. And finally, there is something missing from this image that should be there (besides night vision goggles).
whythisisfake.jpg

There is an illumination source to the upper right of the camera taking this image. You can see the resulting shadows on the jaw line and cheek of the soldier. More to the point, there is clearly a shadow from the soldier's face extending left from his face and falling on the floor and the side of "Osama's" face. Yet there is no trace of a similar shadow from the face of "Osama" above the beard near the right eye. And didn't the White House say "Osama" was shot above the LEFT eye? Source image for the second fake is found; a clip from the movie "Blackhawk Down."
blackhawkdown.jpg

Flipped left to right
blackhawkdownflip.jpg

And merged with another fake bin Laden.
obl_dead.jpg
Third fake!
The people who want to send your children off to die in wars on Israel's enemies are nothing if not persistent. After the above Blackhawk Down failed, they tried once more.
THIRDFAKECOMP.jpg

This is a simple morph, again exposed when the original source image was located by a WRH reader

Cc,, kahtaan, THE BIG SHOW, CHAMVIGA,
 
Last edited by a moderator:
bwana Ritz,
unatakiwa unaweka kitu huku ukichambua sasa wewe unaweka madude mazima mazima tu, halafu unaleta mapicha fake ambayo sio officially yametolewa na Serikali ya Marekani...

halafu hizo issue za picha fake tumekwisha chambua huko nyumba bado wewe unatoa unapotoa na kuyaleta tu mazima mazima tu...

we unaleta source eti ya kwamba Osama alikufa 2001 kwa ugonjwa wa mapafu umebadili tena sio figo wala ini sasa kati ya hizi habari na zile za operation zipi zinachanganya?

halafu kwani kati ya zile habari zako ni ipi ilitangazwa na US president ikawa confirmed kabisa?

kwani we bwana Ritz unasimamia wapi kabisa?...
 
Last edited by a moderator:
wakuu hamuijui hii kitu inaitwa seal team six nijuavyo mimi kwa historia tangu osama ameanza kuwa traced ikitokea tu imetangazwa kauawa inakuwa haipiti mwezi au miezi miwili babu anaruka hewani na video kwamba he is still alive lakini tangu mission ya abbortab imekamilika ni kiiiimya so kimtazamo ni kweli babu keshasepa mbele za haki anapimiwa kama alivyowapimia binadamu wenzake pale wtc kilichonifurahisha zaidi wale vijana wa seal team six mpaka siku ya mwisho dakika moja kabla ya kuingia kwenye black hawks ndipo wanaambiwa what is the mission mazoezi zaidi ya miezi sita hawajui what is the mission mchongo aliujua peneta na macraven tu kamanda wao. CIA na seal team six ni nooooma
watu wengine bado wameendeleza ubishi tu, bwana Ritz yeye anatuwekea eti Osama alikufa toka tarehe 6 desemba 2001, lakini kipindi chote hicho Osama alikuwa akitoa matamko kupitia kanda za video lakini tokea Operation Neptune Spear hatujaona tamko lolote lile...

tukaona Al Zawahiri akichaguliwa kuwa kiongozi wa Al Qaeda, lakini pamoja na hayo watu bado wameng'ang'ania eti jamaa alikufa muda mrefu kwa maradhi mara figo mara mapafu mara ini yaani hata haileweki tu...
 
Last edited by a moderator:
bwana Ritz,
unatakiwa unaweka kitu huku ukichambua sasa wewe unaweka madude mazima mazima tu, halafu unaleta mapicha fake ambayo sio officially yametolewa na Serikali ya Marekani...

halafu hizo issue za picha fake tumekwisha chambua huko nyumba bado wewe unatoa unapotoa na kuyaleta tu mazima mazima tu...

we unaleta source eti ya kwamba Osama alikufa 2001 kwa ugonjwa wa mapafu umebadili tena sio figo wala ini sasa kati ya hizi habari na zile za operation zipi zinachanganya?

halafu kwani kati ya zile habari zako ni ipi ilitangazwa na US president ikawa confirmed kabisa?

kwani we bwana Ritz unasimamia wapi kabisa?...

Mkuu wa chuo,

Hizi habari siyo zangu mie nimezitoa Fox News moja ya shirika kubwa la habari Marekani.

Labda tusaidie kutuwekea officially picha kutoka Marekani, tumeona hata Maseneta huku Marekani wanapingana na hizo officially picha za kifo cha Obama.

Kwa hiyo wewe kila kitakachotangazwa na rais wa Marekani unakubali tu...teh teh teh, Mkuu wa chuo bana.

Bush, alitangaza kuwa Saddam Hussein ana silaha za sumu tukimuachia ataiteketeza dunia, wewe unaikubali hii kauli.

Obama, ametanganza kuwa ndoa za jinsia moja ruksa vipi wewe hii kauli unaikubali.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

Hizi habari siyo zangu mie nimezitoa Fox News moja ya shirika kubwa la habari Marekani.

Labda tusaidie kutuwekea officially picha kutoka Marekani, tumeona hata Maseneta huku Marekani wanapingana na hizo officially picha za kifo cha Obama.

Kwa hiyo wewe kila kitakachotangazwa na rais wa Marekani unakubali tu...teh teh teh, Mkuu wa chuo bana.

Bush, alitangaza kuwa Saddam Hussein ana silaha za sumu tukimuachia ataiteketeza dunia, wewe unaikubali hii kauli.

Obama, ametanganza kuwa ndoa za jinsia moja ruksa vipi wewe hii kauli unaikubali.
bwana Ritz, Officially picha za Osama akiwa ameshutiwa hazijatolewa hizo picha unazoziona ni fake wala sio zenyewe nyingi ni photoshop tu...

sio kwamba kila anachosema rais wa Marekani ninakubaliana nacho kwa mfano hilo suala la kuoana wanaume kwa wanaume mi sikubaliani nalo, wataoana wao tu mimi hapana...

swala la Iraq hilo lenyewe linajulikana tukianza kulichambua, toka kwa Bush sr mpaka kwa Bush jr, tukianza kuangalia kipindi hicho Sadam alipovamia Kuwait, ngojea tumcheck Osama kwanza...
 
Last edited by a moderator:
watu wengine bado wameendeleza ubishi tu, bwana Ritz yeye anatuwekea eti Osama alikufa toka tarehe 6 desemba 2001, lakini kipindi chote hicho Osama alikuwa akitoa matamko kupitia kanda za video lakini tokea Operation Neptune Spear hatujaona tamko lolote lile...

tukaona Al Zawahiri akichaguliwa kuwa kiongozi wa Al Qaeda, lakini pamoja na hayo watu bado wameng'ang'ania eti jamaa alikufa muda mrefu kwa maradhi mara figo mara mapafu mara ini yaani hata haileweki tu...
Hapa ndipo kauli yangu tutumie akili zetu alizotupa Mungu inafanya kazi.

Dr Zawahiri ni most wanted serilkali ya Marekani imeishamtangaza muda mrefu. Sasa kwa nini wasimkamate wakati anachagulia kushika nafasi ya Osama.

Alichaguliwa wapi na kwa utaratibu upi na kina nani walimchaguwa hakuwa na mpinzani au aligombea peke yake.

Kwa nini Wamarekani wasimkamate siku hiyo ya uchaguzi.
 
Last edited by a moderator:
Hapa ndipo kauli yangu tutumie akili zetu alizotupa Mungu inafanya kazi.

Dr Zawahiri ni most wanted serilkali ya Marekani imeishamtangaza muda mrefu. Sasa kwa nini wasimkamate wakati anachagulia kushika nafasi ya Osama.

Alichaguliwa wapi na kwa utaratibu upi na kina nani walimchaguwa hakuwa na mpinzani au aligombea peke yake.

Kwa nini Wamarekani wasimkate siku hiyo ya uchaguzi.
yaani unavyouliza maswali kana kwamba kulikuwa na tume ya uchaguzi ya Nec...

ni hivi bwana Ritz kwani Yeye Osama alichaguliwaje kuwa kiongozi wa Al Qaeda...

chukua hii, Al Qaeda waliweza kuthibitisha kifo cha Osama tarehe 6 Mei 2011, na tarehe 16 june 2011 Al Zawahir aliweza kuwa Kiongozi wa kundi la Al Qaeda sasa hapo bwana Ritz unaweza fanya citation zaidi kumuhusu huyu daktari wa kimisri Al Zawahiri na position yake aliyokuwa nayo Al Qaeda...
 
Last edited by a moderator:
bwana Ritz, Officially picha za Osama akiwa ameshutiwa hazijatolewa hizo picha unazoziona ni fake wala sio zenyewe nyingi ni photoshop tu...

sio kwamba kila anachosema rais wa Marekani ninakubaliana nacho kwa mfano hilo suala la kuoana wanaume kwa wanaume mi sikubaliani nalo, wataoana wao tu mimi hapana...

swala la Iraq hilo lenyewe linajulikana tukianza kulichambua, toka kwa Bush sr mpaka kwa Bush jr, tukianza kuangalia kipindi hicho Sadam alipovamia Kuwait, ngojea tumcheck Osama kwanza...

Mkuu wa chuo,

Vipi tena unasema uongo kweupe au akili yako imegoma kukubali kama serikali ya Marekani imetoa hizo picha.

Kwa kukufahamisha serikali ya Marekani imeonyesha hizo picha za Osoma, baadhi ya Maseneta wa Marekani kina Scott Brown, Kelly Ayotte, Saxby Chambliss, wote walitia shaka.

Lakini Mkuu wa chuo, yupo mavumbini, anatoa tamko kuwa serikali ya Marekani bado hawajatoa picha, achilia mbali picha wametoa mpaka video.
 
Last edited by a moderator:
yaani unavyouliza maswali kana kwamba kulikuwa na tume ya uchaguzi ya Nec...

ni hivi bwana Ritz kwani Yeye Osama alichaguliwaje kuwa kiongozi wa Al Qaeda...

chukua hii, Al Qaeda waliweza kuthibitisha kifo cha Osama tarehe 6 Mei 2011, na tarehe 16 june 2011 Al Zawahir aliweza kuwa Kiongozi wa kundi la Al Qaeda sasa hapo bwana Ritz unaweza fanya citation zaidi kumuhusu huyu daktari wa kimisri Al Zawahiri na position yake aliyokuwa nayo Al Qaeda...

haa haa ha! Kwa hiyo ulitaka ukileta habari watu tusihoji.

Mkuu wa chuo, bado haujatupa majibu wewe ndiyo umetupa taarifa kuwa kundi la Al Qaida, limethibitisha kuwa Osama, amefariki wakamchaguwa Dr Zawahir kuchukuwa nafasi ya Osama hakuna aliyekataa.

Tunahoji uchaguzi huo ulifanyika wapi na kwa utaratibu gani? Ni hayo tu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

Vipi tena unasema uongo kweupe au akili yako imegoma kukubali kama serikali ya Marekani imetoa hizo picha.

Kwa kukufahamisha serikali ya Marekani imeonyesha hizo picha za Osoma, baadhi ya Maseneta wa Marekani kina Scott Brown, Kelly Ayotte, Saxby Chambliss, wote walitia shaka.

Lakini Mkuu wa chuo, yupo mavumbini, anatoa tamko kuwa serikali ya Marekani bado hawajatoa picha, achilia mbali picha wametoa mpaka video.
yaani bwana Ritz unataka kuniambia hizo picha za photoshop ndio serikali ya Marekani walizitoa?
 
Last edited by a moderator:
haa haa ha! Kwa hiyo ulitaka ukileta habari watu tusihoji.

Mkuu wa chuo, bado haujatupa majibu wewe ndiyo umetupa taarifa kuwa kundi la Al Qaida, limethibitisha kuwa Osama, amefariki wakamchaguwa Dr Zawahir kuchukuwa nafasi ya Osama hakuna aliyekataa.

Tunahoji uchaguzi huo ulifanyika wapi na kwa utaratibu gani? Ni hayo tu.
okay bwana Ritz hebu jisomee hicho kipande hapa chini kutoka wikipedia...
Following the death of bin Laden, former Deputy National Security Advisor for Combating Terrorism Juan Zarate said that al-Zawahiri would "clearly assume the mantle of leadership" of al-Qaeda.[55] But a senior U.S. administration official said that although al-Zawahiri was likely to be al-Qaeda's next leader, his authority was not "universally accepted" among al-Qaeda's followers, particularly in the Gulf region. Zarate said that al-Zawahiri was more controversial and less charismatic than bin Laden.[56]Rashad Mohammad Ismail (A.K.A. "Abu Al-Fida"), a leading member of al-Qaeda in the Arabian Peninsula, stated that al-Zawahiri was the best candidate.[57][dead link]

Hamid Mir is reported to have said that he believed that Ayman al-Zawahiri was the operational head of al-Qaeda, and that "[h]e is the person who can do the things that happened on Sept. 11."[48] Within days of the attacks, Zawahiri's name was put forward as Bin Laden's second-in-command, with reports suggesting he represented "a more formidable US foe than bin Laden."[58]
Formal appointment

As of May 2, 2011, he became the leader of al-Qaeda following the death of Osama bin Laden.[55] This was confirmed by a press release from al-Qaeda's general command on June 16.[4] al-Zawahiri's succession to command of al-Qaeda was announced on several of their websites on June 16, 2011.[33] On the same day, al-Qaeda renewed its position that Israel was an illegitimate state and that it wouldn't accept any compromise on Palestine.[59]

The delayed announcement led some analysts to speculate that there was quarreling within al-Qaeda: “It doesn't suggest a vast reservoir of accumulated goodwill for him," said one celebrity journalist on CNN.[60] Both U.S. Secretary of Defense Robert Gates and Chairman of the Joint Chiefs of Staff Mike Mullen maintain that the delay didn't signal any kind of dispute within al-Qaeda,[61] and Mullen reiterated U.S. death threats toward al-Zawahiri.[62] According to U.S. officials within the Obama administration and Robert Gates, al-Zawahiri would find the leadership difficult as, while intelligent, he lacks combat experience and the charisma of Osama bin Laden.[61][63][64]
nadhani hapo nitakuwa nimejibu maswali yako hapo juu kuhusiana na uongozi wa Al Zawahiri wa Al Qaeda...
 
Last edited by a moderator:
yaani bwana Ritz unataka kuniambia hizo picha za photoshop ndio serikali ya Marekani walizitoa?

Mkuu wa chuo,

Naona hata wewe umepatwa butwaaa!

Hizo picha ndiyo ushahidi wa serikali ya Marekani, na kuna video wameishaitoa.

Zama sehemu tofauti tofauti kupata habari.
 
Last edited by a moderator:
okay bwana Ritz hebu jisomee hicho kipande hapa chini kutoka wikipedia...

nadhani hapo nitakuwa nimejibu maswali yako hapo juu kuhusiana na uongozi wa Al Zawahiri wa Al Qaeda...
Mkuu wa chuo,

Unatakiwa unaweka kitu unachambua sasa wewe unaweka madude mazima mazima tu, teh teh teh.

Hivi inaingia akilini kweli mipango ya Al Qaida kuchaguana na kupeana nafasi ufahamishwe na Marekani, wakati hao kina Dr Zawahiri wanatafutwa na Marekani.

Nipe habari za Al Qaida wenyewe walivyofanya huo uchaguzi, Al Qaida haiendeshwa kama chama cha siasa.
Mkuu wa chuo,

Hawa soma na hiii hapa chini.


blackcat.png

[h=2]Bin Laden died of natural causes: Former CIA agent[/h]

Fox News reported in 2001 that Bin Laden had died

A former agent of the CIA has revealed that al-Qaeda leader Osama bin Laden has died of natural causes five years before the US announced his death.

In an interview with Russia's Channel One, Berkan Yashar, who is also a Turkish politician, said the US has not killed the al-Qaeda leader.

"In September of 1992, I was in Chechnya, that's when I first met the man whose name was Bin Laden. This meeting took place in a two-story house in the city of Grozny; on the top floor was a family of Gamsakhurdia, the Georgian president, who then was kicked out of his country. We met on the bottom floor; Osama lived in the same building," Yashar said.

According to the former CIA agent, he personally knew Bin Laden's three Chechen bodyguards, who had protected him until his death and witnessed his death on June 26, 2006.

"Even if the entire world believed, I could not possibly believe it," Yashar said. "I personally know the Chechens who protected him, they are Sami, Mahmood, and Ayub, and they were with him until the very end."

"Only three Chechens buried him, according to his will" in the mountains on the Pakistan-Afghan border, he said.

Yashar added that the CIA abducted one of the bodyguards, Sami, before the announced killing of Bin Laden last year.

He says the bodyguard disclosed to the US the exact place of burial in the mountains.

"There was no assault. I know the American operations from the inside: they find the grave, dig out bin Laden and tell everyone about this. They need to show how technologically the security services worked, how each step was controlled, and then present it as a great victory to show that taxpayers are not paying taxes for nothing," he said.

Washington announced on May 2, 2011 that Bin Laden was killed by US forces in his compound in Abbottabad, Pakistan.

The lack of transparency over bin Laden's death has cast further doubt over the announcement.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

Naona hata wewe umepatwa butwaaa!

Hizo picha ndiyo ushahidi wa serikali ya Marekani, na kuna video wameishaitoa.

Zama sehemu tofauti tofauti kupata habari.
bado kama vile siamini kwa sababu rais Obama alisema hawajatoa picha wala vile vipimo vya DNA sikuzote najua hizo picha ni photoshop hata ukiangalia zile picha wamezitengeneza kutokana na picha za Osama yuko mzima kabla hajafa...

ngojea nizame chimbo niibuke na material zaidi lakini bado hapo sijaamini...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

Unatakiwa unaweka kitu unachambua sasa wewe unaweka madude mazima mazima tu, teh teh teh.

Hivi inaingia akilini kweli mipango ya Al Qaida kuchaguana na kupeana nafasi ufahamishwe na Marekani, wakati hao kina Dr Zawahiri wanatafutwa na Marekani.

Nipe habari za Al Qaida wenyewe walivyofanya huo uchaguzi, Al Qaida haiendeshwa kama chama cha siasa.
Mkuu wa chuo,

Hawa soma na hiii hapa chini.


blackcat.png

[h=2]Bin Laden died of natural causes: Former CIA agent[/h]

Fox News reported in 2001 that Bin Laden had died

A former agent of the CIA has revealed that al-Qaeda leader Osama bin Laden has died of natural causes five years before the US announced his death.

In an interview with Russia's Channel One, Berkan Yashar, who is also a Turkish politician, said the US has not killed the al-Qaeda leader.

"In September of 1992, I was in Chechnya, that's when I first met the man whose name was Bin Laden. This meeting took place in a two-story house in the city of Grozny; on the top floor was a family of Gamsakhurdia, the Georgian president, who then was kicked out of his country. We met on the bottom floor; Osama lived in the same building," Yashar said.

According to the former CIA agent, he personally knew Bin Laden's three Chechen bodyguards, who had protected him until his death and witnessed his death on June 26, 2006.

"Even if the entire world believed, I could not possibly believe it," Yashar said. "I personally know the Chechens who protected him, they are Sami, Mahmood, and Ayub, and they were with him until the very end."

"Only three Chechens buried him, according to his will" in the mountains on the Pakistan-Afghan border, he said.

Yashar added that the CIA abducted one of the bodyguards, Sami, before the announced killing of Bin Laden last year.

He says the bodyguard disclosed to the US the exact place of burial in the mountains.

"There was no assault. I know the American operations from the inside: they find the grave, dig out bin Laden and tell everyone about this. They need to show how technologically the security services worked, how each step was controlled, and then present it as a great victory to show that taxpayers are not paying taxes for nothing," he said.

Washington announced on May 2, 2011 that Bin Laden was killed by US forces in his compound in Abbottabad, Pakistan.

The lack of transparency over bin Laden's death has cast further doubt over the announcement.
bwana Ritz hii hapo juu habari bila ya kumung'unya maneno ninaweza kusema ni za uongo, kwanza ukiangalia hiyo picha ya Osama yupo hospital nyuma yake kuna kuna US president seal...

Yaani mtu aliyekuwa anatafutwa kwa udi na uvumba yupo anatibiwa hospital ya US bila wasiwasi kabisa, kweli? halafu kumbuka hapo ilikuwa ni mwaka 2006 kipindi li Bush ndio linamsaka kwa usongo halafu limwache ki hasara hasara hivyo... hebu check hiyo picha ya Osama halafu tumia kichwa chako kufikiri na kuchambua mambo bwana Ritz ....

halafu hizi habari nyingi unazoleta zina contradiction nyingi tofauti na ile operation Neptune Spear ambayo ipo clear kabisa...

kwa mfano hii habari inatuelezea kwamba Osama alikufa 26 juni 2006, zile zingine ulizoleta zinaelezea Osama alikufa 6 desemba 2001 yaani ni mparanganyiko juu ya mparanganyiko mara zinaelezea alikufa kwa maradhi ya figo mara ini mara mapafu sasa kipi ni kipi bwana Ritz, mara fox news imesema hivi mara fulani kasema vile yaani ni mparanganyiko juu ya maparanganyiko...

halafu bwana Ritz kumbuka ilikuwa ikiripotiwa hivyo jamaa unamuona ameibuka na mkanda wa video akitoa tamko, lakini baada ya Operation Neptune Spear umeona kimya hadi leo...

Operation Neptune Spear ipo clear tofauti na hizi habari zako zenye contradiction nyingi sana, kwa mfano kwenye ile operation mashuhuda walikuwa ni pamoja na wake wale wa Osama, hapo hapo serikali ya Pakistan iliunda tume ya kimahakama kuchunguza lile tukio ikaja ba ripoti kutoka ile tume...

yaani ile operation bwana Ritz haina contradiction nyingi kama hizo habari zako, kwa sababu baada ya hapo Al Zawahiri aliweza kuchukua uongozi wa kundi la Al Qaeda...

sasa hizo za kwako mara fulani alisema hivi nwingine akasema vile mara fox news wakaja hadithi nyingine yaani ni mparanganyiko bila ya uthibitisho...

haya bwana Ritz umepewa kichwa kwa ajili ukitumie kwa ajili ya kufikiri basi kitumie kwa kazi hiyo bwana Ritz usimeze madude mazima mazima bila ya kupita kwenye chekecheo la ubongo wa kichwa chako...
 
Last edited by a moderator:
bwana Ritz hii hapo juu habari bila ya kumung'unya maneno ninaweza kusema ni za uongo, kwanza ukiangalia hiyo picha ya Osama yupo hospital nyuma yake kuna kuna US president seal...

Yaani mtu aliyekuwa anatafutwa kwa udi na uvumba yupo anatibiwa hospital ya US bila wasiwasi kabisa, kweli? halafu kumbuka hapo ilikuwa ni mwaka 2006 kipindi li Bush ndio linamsaka kwa usongo halafu limwache ki hasara hasara hivyo... hebu check hiyo picha ya Osama halafu tumia kichwa chako kufikiri na kuchambua mambo bwana Ritz ....

halafu hizi habari nyingi unazoleta zina contradiction nyingi tofauti na ile operation Neptune Spear ambayo ipo clear kabisa...

kwa mfano hii habari inatuelezea kwamba Osama alikufa 26 juni 2006, zile zingine ulizoleta zinaelezea Osama alikufa 6 desemba 2001 yaani ni mparanganyiko juu ya mparanganyiko mara zinaelezea alikufa kwa maradhi ya figo mara ini mara mapafu sasa kipi ni kipi bwana Ritz, mara fox news imesema hivi mara fulani kasema vile yaani ni mparanganyiko juu ya maparanganyiko...

halafu bwana Ritz kumbuka ilikuwa ikiripotiwa hivyo jamaa unamuona ameibuka na mkanda wa video akitoa tamko, lakini baada ya Operation Neptune Spear umeona kimya hadi leo...

Operation Neptune Spear ipo clear tofauti na hizi habari zako zenye contradiction nyingi sana, kwa mfano kwenye ile operation mashuhuda walikuwa ni pamoja na wake wale wa Osama, hapo hapo serikali ya Pakistan iliunda tume ya kimahakama kuchunguza lile tukio ikaja ba ripoti kutoka ile tume...

yaani ile operation bwana Ritz haina contradiction nyingi kama hizo habari zako, kwa sababu baada ya hapo Al Zawahiri aliweza kuchukua uongozi wa kundi la Al Qaeda...

sasa hizo za kwako mara fulani alisema hivi nwingine akasema vile mara fox news wakaja hadithi nyingine yaani ni mparanganyiko bila ya uthibitisho...

haya bwana Ritz umepewa kichwa kwa ajili ukitumie kwa ajili ya kufikiri basi kitumie kwa kazi hiyo bwana Ritz usimeze madude mazima mazima bila ya kupita kwenye chekecheo la ubongo wa kichwa chako...

ha ha haa haa!!!!!, Mkuu wa chuo, hizi siyo habari zangu mimi nazitoa kwao Marekani ni wewe mwenywe upime wala mie sijakuambia ninaziamini...hebu soma na hizi hapa chini.



Obama Lied About Date of Bin Laden's Killing; Distraction From Eligibility Hearing Posted by Tad Cronn in Foreign Policy, Government, Media, Military, National Security, Politics | 362 Comments On May 2, 2011, in a 9th Circuit courtroom in Pasadena, California, C-SPAN, CBS and ABC were all covering a hearing in the most significant eligibility lawsuit filed against Barack Hussein Obama, brought by 2008 presidential candidate Alan Keyes, almost two dozen state representatives and 30 members of the military. Yet somehow, the story never made it to air and was ignored by the major media. That was because the media were busy trumpeting what happened the day before, when the Obama Administration had announced that Osama bin Laden had been killed by a team of SEALs under the order of the president. But according to emails obtained by the Western Center for Journalism, bin Laden had been killed on April 28 or earlier, not May 1 as the president himself told the nation. According to the emails, obtained from the Department of Defense under the Freedom of Information Act, Rear Adm. Samuel Perez sent a message on April 29 at 4:58 a.m. asking about special preparations for bin Laden's funeral. Email messages regarding the burial at sea go back to the morning of April 28, leading to the logical conclusion that bin Laden was killed no later than early in the morning of April 28, quite possibly before then. When President Obama announced the death of bin Laden on May 1, he referred to the killing as being "today" several times. The actual announcement was made late at night so that the media couldn't help but carry coverage of it into the next day. The WCJ asks the perfectly reasonable question of whether the bin Laden announcement was held until the night of May 1 so as to bury the story about the eligibility hearing on the morning of May 2? Based on everything we know about this Administration, it's almost a guaranteed yes. The eligibility story has dogged Obama since before his first election. He has successfully fought it in the courts and gotten it buried in the media, which has tossed the whole idea in the permanent circular file. But the hearing on May 2 was different in that it was brought by Keyes, a presidential candidate with definite legal standing, and been signed on to by so many lawmakers and members of the military. That suit carried a weight that most of the others did not. Also, the fact that it was being heard in Pasadena, a stone's throw from Burbank, the West Coast's broadcast capital, must have been seen by Obama's minions as boding ill for the Man Who Would Be King. So the Administration did what this Administration does best and manipulated the willing dupes in the media. The lawsuit was eventually dismissed by the court, which ruled that no one had standing after the 2008 election except a candidate, but since Keyes wasn't running again, he didn't count. There's a reason it's called the 9th Circus Court, after all. I'm tempted to go further even than the WCJ and suggest that not just the timing of the announcement, but the killing of bin Laden itself was staged to distract from the hearing. It's known from various sources that President Obama had aborted previous attempts at getting bin Laden, probably under the influence of his adviser Valerie Jarrett, who is Morgan Le Fey to his Mordred. It's also known that Secretary of Defense Leon Panetta, with help from Secretary of State Hillary Clinton, was the real mover behind the mission to get bin Laden and that Obama was supposedly out of the loop until they came and got him off the golf course. However it really went down, it's obvious the Administration knew where to find bin Laden, it was simply a question of when. In other words, the killing of bin Laden was just a card in Obama's sleeve to be played if things ever got desperate enough. Obama's flunkies would have obviously been aware of the upcoming hearing weeks, if not months, in advance, so someone in the Administration could very easily have decided it was time to play the bin Laden card. Simply make the call, send in the SEALs, get the body on ice if need be, stage a funeral, redact some time stamps and make the big announcement when it will have maximum effect. As a bonus, Obama gets to brag in his re-election campaign that he got the bad guy. That there is information about bin Laden's death and burial at sea being withheld is clear. The Department of Defense claims the USS Carl Vinson has no records of bin Laden's funeral. However, Rear Adm. Charles Gaouette in an email refers to "the paucity of documentary evidence in our possession," meaning there is some sort of record. Gaouette, by the way, has since been relieved of command for unexplained reasons. But don't worry about seeing any of this in the media. There are new, cooked jobless numbers out today, and there are Santa stories to cover.
Read more at Obama Lied About Date of Bin Laden's Killing; Distraction From Eligibility Hearing | Godfather Politics
Obama Lied About Date of Bin Laden's Killing; Distraction From Eligibility Hearing Posted by Tad Cronn in Foreign Policy, Government, Media, Military, National Security, Politics | 362 Comments On May 2, 2011, in a 9th Circuit courtroom in Pasadena, California, C-SPAN, CBS and ABC were all covering a hearing in the most significant eligibility lawsuit filed against Barack Hussein Obama, brought by 2008 presidential candidate Alan Keyes, almost two dozen state representatives and 30 members of the military. Yet somehow, the story never made it to air and was ignored by the major media. That was because the media were busy trumpeting what happened the day before, when the Obama Administration had announced that Osama bin Laden had been killed by a team of SEALs under the order of the president. But according to emails obtained by the Western Center for Journalism, bin Laden had been killed on April 28 or earlier, not May 1 as the president himself told the nation. According to the emails, obtained from the Department of Defense under the Freedom of Information Act, Rear Adm. Samuel Perez sent a message on April 29 at 4:58 a.m. asking about special preparations for bin Laden's funeral. Email messages regarding the burial at sea go back to the morning of April 28, leading to the logical conclusion that bin Laden was killed no later than early in the morning of April 28, quite possibly before then. When President Obama announced the death of bin Laden on May 1, he referred to the killing as being "today" several times. The actual announcement was made late at night so that the media couldn't help but carry coverage of it into the next day. The WCJ asks the perfectly reasonable question of whether the bin Laden announcement was held until the night of May 1 so as to bury the story about the eligibility hearing on the morning of May 2? Based on everything we know about this Administration, it's almost a guaranteed yes. The eligibility story has dogged Obama since before his first election. He has successfully fought it in the courts and gotten it buried in the media, which has tossed the whole idea in the permanent circular file. But the hearing on May 2 was different in that it was brought by Keyes, a presidential candidate with definite legal standing, and been signed on to by so many lawmakers and members of the military. That suit carried a weight that most of the others did not. Also, the fact that it was being heard in Pasadena, a stone's throw from Burbank, the West Coast's broadcast capital, must have been seen by Obama's minions as boding ill for the Man Who Would Be King. So the Administration did what this Administration does best and manipulated the willing dupes in the media. The lawsuit was eventually dismissed by the court, which ruled that no one had standing after the 2008 election except a candidate, but since Keyes wasn't running again, he didn't count. There's a reason it's called the 9th Circus Court, after all. I'm tempted to go further even than the WCJ and suggest that not just the timing of the announcement, but the killing of bin Laden itself was staged to distract from the hearing. It's known from various sources that President Obama had aborted previous attempts at getting bin Laden, probably under the influence of his adviser Valerie Jarrett, who is Morgan Le Fey to his Mordred. It's also known that Secretary of Defense Leon Panetta, with help from Secretary of State Hillary Clinton, was the real mover behind the mission to get bin Laden and that Obama was supposedly out of the loop until they came and got him off the golf course. However it really went down, it's obvious the Administration knew where to find bin Laden, it was simply a question of when. In other words, the killing of bin Laden was just a card in Obama's sleeve to be played if things ever got desperate enough. Obama's flunkies would have obviously been aware of the upcoming hearing weeks, if not months, in advance, so someone in the Administration could very easily have decided it was time to play the bin Laden card. Simply make the call, send in the SEALs, get the body on ice if need be, stage a funeral, redact some time stamps and make the big announcement when it will have maximum effect. As a bonus, Obama gets to brag in his re-election campaign that he got the bad guy. That there is information about bin Laden's death and burial at sea being withheld is clear. The Department of Defense claims the USS Carl Vinson has no records of bin Laden's funeral. However, Rear Adm. Charles Gaouette in an email refers to "the paucity of documentary evidence in our possession," meaning there is some sort of record. Gaouette, by the way, has since been relieved of command for unexplained reasons. But don't worry about seeing any of this in the media. There are new, cooked jobless numbers out today, and there are Santa stories to cover.
Read more at Obama Lied About Date of Bin Laden's Killing; Distraction From Eligibility Hearing | Godfather Politics
Obama Lied About Date of Bin Laden's Killing; Distraction From Eligibility Hearing Posted by Tad Cronn in Foreign Policy, Government, Media, Military, National Security, Politics | 362 Comments On May 2, 2011, in a 9th Circuit courtroom in Pasadena, California, C-SPAN, CBS and ABC were all covering a hearing in the most significant eligibility lawsuit filed against Barack Hussein Obama, brought by 2008 presidential candidate Alan Keyes, almost two dozen state representatives and 30 members of the military. Yet somehow, the story never made it to air and was ignored by the major media. That was because the media were busy trumpeting what happened the day before, when the Obama Administration had announced that Osama bin Laden had been killed by a team of SEALs under the order of the president. But according to emails obtained by the Western Center for Journalism, bin Laden had been killed on April 28 or earlier, not May 1 as the president himself told the nation. According to the emails, obtained from the Department of Defense under the Freedom of Information Act, Rear Adm. Samuel Perez sent a message on April 29 at 4:58 a.m. asking about special preparations for bin Laden's funeral. Email messages regarding the burial at sea go back to the morning of April 28, leading to the logical conclusion that bin Laden was killed no later than early in the morning of April 28, quite possibly before then. When President Obama announced the death of bin Laden on May 1, he referred to the killing as being "today" several times. The actual announcement was made late at night so that the media couldn't help but carry coverage of it into the next day. The WCJ asks the perfectly reasonable question of whether the bin Laden announcement was held until the night of May 1 so as to bury the story about the eligibility hearing on the morning of May 2? Based on everything we know about this Administration, it's almost a guaranteed yes. The eligibility story has dogged Obama since before his first election. He has successfully fought it in the courts and gotten it buried in the media, which has tossed the whole idea in the permanent circular file. But the hearing on May 2 was different in that it was brought by Keyes, a presidential candidate with definite legal standing, and been signed on to by so many lawmakers and members of the military. That suit carried a weight that most of the others did not. Also, the fact that it was being heard in Pasadena, a stone's throw from Burbank, the West Coast's broadcast capital, must have been seen by Obama's minions as boding ill for the Man Who Would Be King. So the Administration did what this Administration does best and manipulated the willing dupes in the media. The lawsuit was eventually dismissed by the court, which ruled that no one had standing after the 2008 election except a candidate, but since Keyes wasn't running again, he didn't count. There's a reason it's called the 9th Circus Court, after all. I'm tempted to go further even than the WCJ and suggest that not just the timing of the announcement, but the killing of bin Laden itself was staged to distract from the hearing. It's known from various sources that President Obama had aborted previous attempts at getting bin Laden, probably under the influence of his adviser Valerie Jarrett, who is Morgan Le Fey to his Mordred. It's also known that Secretary of Defense Leon Panetta, with help from Secretary of State Hillary Clinton, was the real mover behind the mission to get bin Laden and that Obama was supposedly out of the loop until they came and got him off the golf course. However it really went down, it's obvious the Administration knew where to find bin Laden, it was simply a question of when. In other words, the killing of bin Laden was just a card in Obama's sleeve to be played if things ever got desperate enough. Obama's flunkies would have obviously been aware of the upcoming hearing weeks, if not months, in advance, so someone in the Administration could very easily have decided it was time to play the bin Laden card. Simply make the call, send in the SEALs, get the body on ice if need be, stage a funeral, redact some time stamps and make the big announcement when it will have maximum effect. As a bonus, Obama gets to brag in his re-election campaign that he got the bad guy. That there is information about bin Laden's death and burial at sea being withheld is clear. The Department of Defense claims the USS Carl Vinson has no records of bin Laden's funeral. However, Rear Adm. Charles Gaouette in an email refers to "the paucity of documentary evidence in our possession," meaning there is some sort of record. Gaouette, by the way, has since been relieved of command for unexplained reasons. But don't worry about seeing any of this in the media. There are new, cooked jobless numbers out today, and there are Santa stories to cover.
Read more at Obama Lied About Date of Bin Laden's Killing; Distraction From Eligibility Hearing | Godfather Politics

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom