Mkuu wa chuo,
Hao wote ulionitajia nimeishapitia mabandiko yao yote ndiyo maana naendelea kudadavua baadhi ya hizi bayana zenu.
Hizi ndiyo bayana zenu ambazo mnaziamini kuhusu Al-Kuwaiti, hebu sasa tuwasome Wamarekani wenyewe wanavyo muulezea huyu Al-Kuwaiti, kutoka shirika kubwa la habari la Marekani [abc News].
Mkuu wa chuo, soma vizuri hizo bold utaona kuna contradiction CIA wamemjua Al-Kuwaiti, baada ya kumuua, wewe unasema walielekezwa na mfungwa wa Guantamo, halafu kumbe kwa mujibu wa abc NEWS kulikuwa na maiti nyingi lakini cha ajabu hakuna hata moja ulionyeshwa achalia mbali mazishi yao.
Hakuna picha yeyote inayo muonyesha huyo Al-Kuwaiti, kuwa anaishi na Osama kwenye hiyo nyumba zaidi ya hii picha ya Hoolywood ambayo unatuonyesha Gheto la Osama, teh teh teh,
According to the interrogation report, bin Laden lived in five safehouses and fathered four children - the two youngest born in a public hospital in Abbotabad. But investigators have only located the houses in Abbottabad and Haripur.
Mkuu wa chuo, angalia hapa hii picha ya Osama, tutumie akili zetu tu, mtu anayetafutwa dunia nzima anaangalia TV, anatumia Computer. kwa nini hawa wanaomtafuta wasitumie The Internet Protocol (IP) is the principal communications protocol in the Internet protocol suite for relaying datagrams across network boundaries. Its routing ....
Cc; kahtaan, THE BIG SHOW, gombesugu,
Shariff Ritz,
Salaam.
Hizi khabar za Sheikh Osama Al Mujahid,mimi nimeacha kuzifuatilia kitambo khasa kwa ule utumbo na exaggeration ufanzwao kwa makusudi na waandishi wa mataifa khasa ya magharibi na media outlets zao,tena huku wakiacha pembeni ukweli mwingi tu.
Kwa mfano mimi binafsi mpaka leo hiyo picha siamini yakuwa huyo ati ni Sheikh Osama!?...japo yawezekana yakuwa ni kweli,lakini napata mashaka mengi tu kuamini kutokana na history ya serikali za ki-magharibi na wafuasi wake kuwa ni mabingwa wa kutengeneza khabar na kuziremba kwa kutekeleza propaganda zao ili kutimiza haja na maslahi yao!?
Nimejitahidi kutazama documentaries nyingi mno za huyu mtu,na pia kusoma vitabu kadhaa vya hawa wazandiki wa ki-magharibi na waandishi madhubuti wa ki-Russia,Afghanistan na Pakistan. Nafikiri ufanzapo hivi yasaidia mtu mwenyewe kutambua kiundani history ya hizo nchi zoote khasa Sudan,Saud Arabia,Afghanistan,Pakistan,USSR na watu fulani muhimu...naifkri hii ndo inakuwezesha mtu mwenyewe kumjua huyu Al Mujahid Osama kwa utuvu na family yake ,tangia walipoanzia na hatima yake.
Nui muhimu pia tukachungulia japo kiduchu ule uhusiano adimu na wa kina uliopo mpaka kesho baiana ya Al Saud royal family na Amerika. Khasa uhusiano wa kina uliokuwepo tangia early 1960's baina ya Bush na Bin Laden families.
Muhimu pia tuchungulie George Bush Snr. tangia yupo pale China kama Ambassador na tuangalie na kujumisha vipi mahusiano yake na Bin Laden family wakti huo!? Alipokuja kuwa Boss/Director pale CIA ndo kabisa!
Pia tuangalie kwa kina uzandiki wa jamaa /ndugu zetu wa ki-Pakistan kwa ina na history yao ya kudhulimiana na kugeukana tangia nchi yao bado imo katika ile ilokua India...ndo maana Osama hata siku moja hajawahi/hakuwahi kuwaamini ndugu zake wa ki-Pakistan japo alikua akila nao,akisali nao...lakini daima aliweka mipaka ya uaminifu mabli mno na watu wale. Watu waliokua mujaarab ni wale ma-Pashtun tu na ma-Baluchistan!
Inalazim pia tuchungulie kwa kina uhusiano wa kina baina ya CIA,Saud Intelligence khasa wakti ule wa yule Afrit alolaaanika Prince Ibn Bandar na ISS ya Pakistan.
Pia inalazim tuchungulie msuguano usokwisha mpaka kesho kati ya wale maluuni ndani ya Saud royal family.
Tuchungulie pia japo kiduchu,ukarim,ustaarabu na ushujaa uso mipaka wa jamaa/ndugu zetu wa ki-Pashtun na baadhi ya makabila ya asili ya maeneo yale...lakini pia huku tukizingatia ancient history ya hiyo Afghanistan na ile tribe complexities zake mpaka kesho.
Pia tutazame influence ya CIA,Saud Intelligence/"Al Mukhabarat" na ISS kwa ile vita dhidi ya wale madhalim wa ki-Communist kwa jamaa zetu pale Afghanistan.
Tusisahau na zile local politics zilikuwapo/zilizopo pale Washington Dc kati ya wale Wazee maharamia na manguli wa ufisadi wa dunia Congressmen/Senators na uhusiano na ufadhili wao wa upofu kwa ile Amerikan Jewish Congress/Lobby...maana hizi nazo ndizo zina-influence kila element ya Amerika foreign policy na decision makers wa pale Pentagon au State department.
Kwa kumalizia pia tuangalie kiundani influence na connections za Iran kwenye hayo maeneo yoote na watu/viongozi wake.
Binafsi,nakhis tukitaka au kutamani kumjua Sheikh Osama Al Mujahid kiundani na ukweli wake,basi yatulazim pia kuzingatia mengi mno...la si hivyo ndo kila siku tutaangukia kusikiza Western media outlets/empires na uzandiki wake uso maana!?
Mimi binafsi,niliwahi kutembelea pale Sudan,niliona fadhila nyingi aliozfanza Sheikh Osama kwa nduguze na Serikali yao. Nimekutana na virongwe na wasomi wengi tena vijijini waliomkumbuka yule Bwana kwa wema wake mwingi mno dhidi ya watu kadhaa maskini na mayatima.
Hii haina maana yakwamba ati ninam-support Sheikh Osama kwa baadhi ya Ideologies zake zozote au kama kuna lolote baya alowahi kulifanza/analifanza...hasha!,abadan asilan! Nachelea wnajamvi wengine wasijeanza kunishutumu pasi na kisa!!
Kwa kifupi nimeipenda mno hiyo bayana yako adimu hapo juu kwa nduguyo Mkuu wa Chuo.
Ahsanta.
Cc;Boko Haram,JokaKuu