Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
HahahhahWe chuma ulete vip?
Huyo mkeo ulimpenda kweli?
HahahhahWe chuma ulete vip?
Huyo mkeo ulimpenda kweli?
Juzi nilikuwa na joshua wa jobellHahahhah




Hahahhahahhahahahahhahahs Mtani ukoje?
Miss ya.
U gud?
Nimefurahi kukuona
Hahaahhaaha hem njoo PM kwanza.Muke ya mangi, mtani wangu kwema sana...
Hakika miaka imekatiza hapa kati aisee ni muda mrefu...
Nipo nipo mtani nagaa gaa na upwa aisee
Hahaha kanibadilishia product kaniletea cherry ngoja nione sasa maana kanipa feedbacks za wateja wake nimeona nina siku ya 3 toka nianze tumia Joshua nampenda bure tu utasikia nihame uletewe product fakeJuzi nilikuwa na joshua wa jobell
Ha ha ha kumbe ndo yule, ila nilikumbuka sana![]()
Ngoja nikakisome alichonipa nikifika home, alinambia iko vizuri sana na sabuni akeHahaha kanibadilishia product kaniletea cherry ngoja nione sasa maana kanipa feedbacks za wateja wake nimeona nina siku ya 3 toka nianze tumia Joshua nampenda bure tu utasikia nihame uletewe product fake
Ulichukua nini dear


Mi nina siku ya pili leo ngoja tuoneHahaha kanibadilishia product kaniletea cherry ngoja nione sasa maana kanipa feedbacks za wateja wake nimeona nina siku ya 3 toka nianze tumia Joshua nampenda bure tu utasikia nihame uletewe product fake
Ulichukua nini dear
Vitu vyake uhakika sanaaa namwamini sana Joshua ndio kiboko ya uso wanguMi nina siku ya pili leo ngoja tuone
Ila si uhakika eeh?
Hahhaha hana shida uzuri wake anakushauri vizuri tu na ikikukataa anakubadilishia productNgoja nikakisome alichonipa nikifika home, alinambia iko vizuri sana na sabuni ake
Mi nimenunua kwa ajili yako ushauri yaan![]()
Hii hapa dearVitu vyake uhakika sanaaa namwamini sana Joshua ndio kiboko ya uso wangu
Boutour kanibadilishia kasema sasa hivi haina maajabu chukua hii cherry ndio nimeanza kuipaka
Ulichukua nini
Ngoja niisikilizie hiiHahhaha hana shida uzuri wake anakushauri vizuri tu na ikikukataa anakubadilishia product

Mimi nadhni maumivu ya kusalitiwa ndio yanayokutesa na sio kingine, swala la nyota halina uhusiano na hoja yako kabisa, kama umeshindwa kumsamehe mwenzio kwa kosa la kucheat, jiweke peimbeni uendelee na maisha mengine bila hivyo utakua unajitesa na kumtesa huyo mkeo, kumbuka life is too short, na tunapaswa kuishi kwa furaha
Tumechelewa Sana Ndugu ZanguMuda sahihi wa kuanza kuroga..🤣
Wow! Wow! Wow!Mi nakuelewa.
Inaitwa Self pride.
Inaweza isilete maana kwa mtu mwingine, ila mi nimekuelewa.
Umeumizwa pride yako kiasi cha kujionea hufai, huwezi, hufanikiwi na kila kitu hapo katikati.
Huaminiwa kufumania ni kujua ukweli, ni kukomoa mwenzi.
Alooo, anayefumaniwa ataomba msamaha atalia na kugaragara ila hakuna mahali alilazimishwa kufanya ulichokuta anafanya.
Wewe mfunaniaji hukujiandaa kuona mwenzi wako akifanya anachofanya.
Hata kujipanga miezi, bado hakuna mtu anatuma mwenzi akaifanya kitu ili amfumanie.
So either way is fatal.
Mara nyingi fumanizi huwa rahisi kuisha kwa aliyefumaniwa kuliko aliyefumania.
Shida sio nyota ya mkeo.
Shida ni nini kipo ndani yako kumhusu.
Unaamini kwa kuwa ulimfumania, basi kuna mahali kama mwanaume umeshindwa.
Unaamini kuna mahali umeshindwa kutimiza uanaume wako.
Unaamini kuna mahali u you a lesser man.
So unajibebesha lawama za tukio.
As in ningekuwa hivi, asingekuwa hivi.
Ningefanya hivi asingekuwa hivi.
Sikia, human beings cheat because they want to cheat.
Hata wewe uliwahi Kucheat hukucheat sababu ya mapungufu yake.
So stop blaming yourself.
Stop it.
Unashindwa kuface the realities na kushindwa kufanya harakati zingine za maisha ukiamini hutafanikiwa.
Na unakoelekea utashindwa hata kuwa mwanaume.
Yes.
Ruhusu hiyo hali ya kuwa hujakamilika kiasi hakuna unachofanya kikafanikiwa unaamini ni nyota ya mkeo ndo mbaya.
Buddha!
It's in you.
Na ukiendelea kuiruhusu hiyo hali you are DONE!!
With or without her.
Ooh itakuwa nzuri naona anapost sana feedbacks kwenye status dearHii hapa dearView attachment 1640973
Asante my, ngoja nikomae nayo huu mwezi nione outcomeOoh itakuwa nzuri naona anapost sana feedbacks kwenye status dear