Kumbe una miakili hivyo mremboMwanaume tafuta tu pesa umpende mkeo, wanawake tumeumbwa kutii tu
Kumbe una miakili hivyo mremboMwanaume tafuta tu pesa umpende mkeo, wanawake tumeumbwa kutii tu
ongezea na Niko kwenye ndoaKumbe una miakili hivyo mrembo
Wamesikia, wanawake hatukuumbwa kupenda hiyo ni kazi ya mwanaume....sisi ni utii tu, shida tunaanzaga kupendaOngeza sauti please...
"mchongo" ukitiki nakuja kupropose, nipe GPS location pleaseKila mtu afanye majukumu yake, unisaidie kuosha vyombo, kwani mimi sina mikono, wewe nenda katafute pesa, hushindwi kutoa excuse kwamba hujatafuta pesa sababu ulibaki home kufua, kuosha vyombo. Hapana baba utakula kwa jasho, vyombo ntaosha na kupika
Umeona huu ni msaada wa kinafki kabisa, mimi utachambua hizo mboga na ukimaliza kesi ya messages inaendelea baba
Kesi ya message tunaenda kumalizia chumbani tu huko kila mtu atasahau kama kuna kitu kilihappen na maisha yanasonga.Umeona huu ni msaada wa kinafki kabisa, mimi utachambua hizo mboga na ukimaliza kesi ya messages inaendelea baba
Hahaa wengine hata tukitoka chumbani kesi ipo palepale na itaisha endapo utatoa majibu ya kueleweka😂Kesi ya message tunaenda kumalizia chumbani tu huko kila mtu atasahau kama kuna kitu kilihappen na maisha yanasonga.
Hawa wa sasahivi wafuga kucha na wanachambia tissue watawezea wapi hayo kutwa kushinda na remote ya TV au kwenye dressing tables kazi zote anaachia house girl.. Wanawake wa asaiv ni janga..Bora hata wewe, Wanawake wenzio humu jF kuosha vyombo na kupika hawataki, ila wanataka mwanaume uwaletee pesa financial services
Asa hujanifuma live umekamata convos tu kesi haitakua na makali sana na ni rahisi kusahaulika.. Ntajitahidi kukusahaurisha tu na utasahau.Hahaa wengine hata tukitoka chumbani kesi ipo palepale na itaisha endapo utatoa majibu ya kueleweka
Aah labda ila ni lazima unibembeleze week nzima plus zawadi na outings ndiyo ntakusamehe😂 lasivyo ni kulala mzungu wa 4 na ukinigusa nakudunda😂Asa hujanifuma live umekamata convos tu kesi haitakua na makali sana na ni rahisi kusahaulika.. Ntajitahidi kukusahaurisha tu na utasahau.
Njoo tu baba angu location Sumbawanga mjini😂"mchongo" ukitiki nakuja kupropose, nipe GPS location please
Kukubembeleza tu mbona swala dogo hilo tutaenda outings ambazo hata hujai fika.. Mwanaume huwa hashindwi kesi ndogo ndogo kama hizo!Aah labda ila ni lazima unibembeleze week nzima plus zawadi na outings ndiyo ntakusamehe lasivyo ni kulala mzungu wa 4 na ukinigusa nakudunda
😂😂 kubembeleza week nzima utaweza mkuu? Kama utaweza basi mimi huwa siweki kinyongo japo nna hasira za haraka. Nakasirika to the maximum ila baada ya muda mfupi nasahau maisha yanaendelea.Kukubembeleza tu mbona swala dogo hilo tutaenda outings ambazo hata hujai fika.. Mwanaume huwa hashindwi kesi ndogo ndogo kama hizo!
Week tu? Hata mwezi mzima naweza, nisipokubembeleza wewe wa kumtima wangu asa ntambembeleza nani au unataka nikawabembeleze ulinikamata nao kwenye messages?kubembeleza week nzima utaweza mkuu? Kama utaweza basi mimi huwa siweki kinyongo japo nna hasira za haraka. Nakasirika to the maximum ila baada ya muda mfupi nasahau maisha yanaendelea.
Hahaa hupendi hizo kazi za vyombo na kupika eeh, kiukweli mimi nimelelewa kwenye jamii ambayo mtoto wa kiume hata kugusa jikoni eti stories tu haikua ni sifa nzuri, mwanaume anaenda shamba na mikazi migumu gumu tu. Ila sisi wadada ndiyo tunapika tena tunawapikia wanaume walioenda huko shamba. So nikiona mkaka anaosha vyombo anapika kidogo nashangaa japo nishaanza kuzoea. So for me nenda katafute pesa baba, hayo mengine ntafanya labda nikiwa naumwa. Ila siyo unaleta stories badala ya pesa hatutaelewana humo ndani na ntakupangia zamu ya usafi tu huna faida😂Week tu? Hata mwezi mzima naweza, nisipokubembeleza wewe wa kumtima wangu asa ntambembeleza nani au unataka nikawabembeleze ulinikamata nao kwenye messages?
Ila huwezi niona naosha vyombo, kufua au kupika huko utanisamehe kwakweli hayo ni majukumu yako..
Mimi hizo kazi sio kwamba siwezi kuzifanya naziweza tena kupika ni fundi haswaa, ila nikiwa na mchuchu ndani hapana kwakweli siwezi kujipendekeza kwenye hizo kazi huwa sizipendi nafanya tu kulingana na mazingira nitakayokua kwa wakati huo. Kazi yangu itakua ni kuleta ridhiki, kuleta maendeleo mengine ya familia na huduma za kimwili za kuhakikisha wewe umefika kunako kibo na mawenzi basi.. In case unaumwa sana hapo sawa i can do hizo kazi kiasi chake..Hahaa hupendi hizo kazi za vyombo na kupika eeh, kiukweli mimi nimelelewa kwenye jamii ambayo mtoto wa kiume hata kugusa jikoni eti stories tu haikua ni sifa nzuri, mwanaume anaenda shamba na mikazi migumu gumu tu. Ila sisi wadada ndiyo tunapika tena tunawapikia wanaume walioenda huko shamba. So nikiona mkaka anaosha vyombo anapika kidogo nashangaa japo nishaanza kuzoea. So for me nenda katafute pesa baba, hayo mengine ntafanya labda nikiwa naumwa. Ila siyo unaleta stories badala ya pesa hatutaelewana humo ndani na ntakupangia zamu ya usafi tu huna faida
Bora wewe umeamua kusema ukweliMwanaume tafuta tu pesa umpende mkeo, wanawake tumeumbwa kutii tu
Huyo mwanaume mbona kaweka miguu kwenye beseni la mtoto