Maisha ya mkenya wa kawaida

Ukweli mtupu,Kenya maisha ni magumu sana nimeishi mtaa mmoja inaitwa South b kuna nyumba za mabati tu mitaa hiyo kwa wapangaji wa kawaida!! upande wa chakula ndio hivyo ugali sukuma au mboga flani hivi ya majani nimeisahau jina,Nairobi chai pia ni chakula kikuu unaweza kualikwa na mtu usiku ukijua utakula ugali nyama,au Wali n.k kama tulivyozoea huku ukashangaa umendaliwa chai na mkate ndio life style ya Nairobi
Kubabeki hehehejeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What strategies have been arranged to plug corruption, tribalism and exploitation to call it a patriotic Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Woah! Tough question that one is. Measures are there, it would require a dedicated thread to mention them all.
The people in power know exactly what needs to be done to counter these challenges. Shida tu ni kwamba most of these 'poli-thieves-cians' are just being noncommittal, knowing well how much they benefit from all these ills.

The ordinary Kenyans are playing their part by intensifying the pressure on their leaders to govern well, without dividing the people along ethnic lines, corruption, exploitation etc.
 
Woah! Tough question that one is. Measures are there, it would require a dedicated thread to mention them all.
The people in power know exactly what needs to be done to counter these challenges. Shida tu ni kwamba most of these 'poli-thieves-cians' are just being noncommittal, knowing well how much they benefit from all these ills.

The ordinary Kenyans are playing their part by intensifying the pressure on their leaders to govern well, without dividing the people along ethnic lines, corruption, exploitation etc.
Pambaneni Tanzanians we will criticize you're Discretion..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
34 Reactions
Reply
Back
Top Bottom