FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,638
- 4,210
Asee nakupa like kwa uchambuzi mzuri saaana ndugu
Peace
Go go TZ (copy right nyani ngabu)
Asee nakupa like kwa uchambuzi mzuri saaana ndugu
Peace
Go go TZ (copy right nyani ngabu)
MissM4C umeichqmbua vizuri, ngoja Nyang'au waje kukubishia uliyekuwepo jikoni
Ndio maana Wakenya wakijaga Tanzania hawataki kurudi kwao aiseee.
Utawasikia wanalalamika Tanzania life gumu sana pesa hakuna lakini hawarudi kwao hata kwa mtutu wa bunduki.
Ni nzuri ule balanced diet, hata Nyama, Kuku, Samaki wana umuhimu wake kwenye mwili wa binadamu, naamini kuna blood group fulani zinahitaji sana Nyama (topic nyingine),
Hoja ya mleta maada ni kuwa wao wanakula kwa dhiki sio kupenda
TukajibambeUmesahahu eti kuna watu wanasema wakenya huwa hawatawazi baada ya kunya. Loh!
Matter of fact, napenda saana kiswahili cha Kenya.. Nlikuwaga na demu mkenya (sorry yeye alikuwaga anatawaza after poo lol!) alikuwa anapenda kusema " huny twende sauna tukajibambe!" That was so swry!
Nyie endeleeni kuwachinja watoto na albino mkidhani mtatajirika. Wengine wanafanya KAZITukajibambe