Maisha ya mkenya wa kawaida

Tangazo maalum: Kama hauna vyeti vya masomo, ujuzi, uzoefu wa kujieleza kiingereza, pesa, basi katu usithubutu kuja Kenya. sisi waKenya ni walipaji ushuru ndio maana nchi yetu imeendelea kuwashinda nyinyi walala hoi. hatutaki mutuletee uzembe wenu katika nchi yetu. bora mubaki huko huko bongolala.

nasema hivyo kwa maana najua watanzania wengi ninaokutana nao kila siku. ni kweli watanzania ni watu wa hali ya chini wakija Kenya kutokana na hizo sababu nilizopeana hapo juu ndiposa mukawa watu wa kudharauliwa na kuchekelewa.

narudia tena, usije Kenya kama hauna degree. hatutaki ulofa.
Mmeendelea kwa lipi? Uchumi imara unamsaidia nini mtu wa kilifi au ukunda? Nchi haina la maana full corruption, barabara zenu zile za mkoloni, uimara wa pesa yenu una faida gani kwa mkenya wa kawaida? Nchi inanuka rushwa kuanzia juu mpaka chini, uchafu sasa, Kenya pekee mnachojivuania eti kizungu maana huwa hamsemi Kiingereza mnasema kizungu, kina faida gani kama chokoraa wenu pia wanaongea hicho Kiingereza?
Sijaona mnachoizidi Tz ila Tz inawazidi vingi mno,
Basi zenu za abiria ustaarabu zero kabisa, speed zisizo na maana, nchi gani iliyostaarabika patrol kila muda na polisi wanachotaka Shs 100 wakuachie, polisi wenu mafedhuli sana hawana heshima wala adabu, sijaona mnachojivunia labda ukabila wenu,
 
Ni kweli mboga ni nzuri sana na wanajua kuzimix sana, but si kwamba huenda kula usiku na mchana but the situation force them

6a01310f54565d970c019aff2b873a970b-pi


Marc to Market: Great Graphic: Carnivores around the World
 
Ni kweli mboga ni nzuri sana na wanajua kuzimix sana, but si kwamba huenda kula usiku na mchana but the situation force them

nyama.jpg


Rising demand for meat bad for environment

John ole Lankas says he rarely misses his favourite meal of boiled beef and milk. The 30-year-old tour guide was brought up on meat and milk, the main staple foods in the Maasai culture.


Back in Nairobi, men and women throng the popular Kenyatta Market at lunchtime for its nyama choma (roast meat) and ugali. George Gitau, a civil servant, is one of the many customers who frequent the smoke-filled cubicles to feast on roast meat. “I like roast beef, especially with ugali and kachumbari (tomato and onion salad),” said Mr Gitau.

It is people like Mr Lankas and Mr Gitau who are raising the global demand for meat every year. The livestock industry is considered one of the major causes of greenhouse gases and its expansion will definitely slow efforts to combat climate change.

According to the Food and Agriculture Organisation (FAO), dairy and meat prices hit a record high due to increased demand last year.

The Meat Price Index, for example, averaged 188.1 points in December, slightly above its November level. Prices for bovine and pig meat moved higher, fuelled mainly by demand from China and Japan.

The situation is the same in East Africa, and there are no signs of the demand declining any time soon, as projections show the middle-class population increasing in the region.

The latest study published in the science journal Nature shows that people are becoming more carnivorous as their diets become more animal-based.

In fact, according to the study, the demand is increasing at a faster rate in developing economies as modernisation and a sedentary lifestyle take root.

China and India currently top the list of drivers of the global demand for meat. In East Africa, Kenyans are more carnivorous than their counterparts in the region.

The scientists from Europe who conducted the study, identified the world’s top meat consumers by calculating humanity’s trophic level, a metric used in ecology to position species in the food chain — rising from primary producers — green plants —through herbivores and omnivores to primary carnivores and large carnivores. The trophic level thus reflects the proportion of flesh and vegetation in the creature’s diet. Level one is green plants, whose diet is sunlight.

They managed to come up with the human trophic level for 176 countries using consumption patterns for each year from 1961 to 2009.

The scientists used data compiled by FAO from 102 types of food — from animal fat to root tubers. Using the metric, the researchers, led by Sylvain Bonhommeau, a French scientist, estimated that humanity’s global median trophic level was 2.21 in 2009, which put human beings at par with other omnivores, such as pigs and anchovies, in the global food web.

However, the scientists found an increase in fat and meat consumption, in post 2009, pushing up the global median human trophic by three per cent or about 0.6 points.

On a global scale, the leading meat consumers, according to the study, are Mongolia and the Scandinavian quartet of Norway, Finland, Denmark and Sweden.

France, Italy, Spain, United Kingdom and Germany are also leading meat


http://www.theeastafrican.co.ke/new...or-environment/2558-2196366-opwgpm/index.html
 
Yaani you have just rubbished this lady kabisaaa!! Yeye hajui maana ya representative sample. Popote uendapo duniani huwezi tumia hali ya maisha ya wale ya kiwango cha chini kuwakilisha ujumla wa nchi. Ujue pia, demand ya nyama ya ng'ombe hungezeka kila mwaka kwa ujumla na kiasilimia
Hatutaki ujinga, sisi tunatuumia data za wataalam hapa. Tutaampostia mpaka kieleweke!
 
Wewe njoo na data za kujifariji sisi tunakuja na video za kuonesha maisha yenu ya mabandani kama nguruwe.

ukitaka umvuruge mkenya ktk mjadala,muwekee picha ambazo zinaakisi maisha halisi ya kwao.hapo lazima atapaniki.

na ukitaka akuzidi maarifa ktk mjadala,mpe nafasi akuwee statistics, data au tafiti,hapo lazima atakutoa knockout kwasababu data/tafiti zao nyingi ni za kupika na mara nyingi unakuta nyuma ya washiriki wa huo utafiti,kuna wakenya.

wewe endelea kuwawekea mapicha picha tu.ndio maana siku hizi ninapojadiliana nao, huwa sipotezi mda wa kuandika maneno mengi,nawawekea screenshot za twitter kama reference.wengi kuishia kukasirika na kukaa kimya.

wale wakenya wa Twitter wapo real sana.hawana mda wa kuendekeza sifa za kijinga kama hawa wa jf.

msome huyu hapa chini.huyu ali tweet hii February 2017
b0a436dd698b3e4fc5ab7e5b4eaacbd0.jpg
 
Wewe njoo na data za kujifariji sisi tunakuja na video za kuonesha maisha yenu ya mabandani kama nguruwe.
Show us the aerial photos of Nairobi, and let us see if the cityscape is dominated by Kibera-like suburbs, and I will post u the satellite photos of Dar and all u will see are Manzese-type neighborhoods.



ukitaka umvuruge mkenya ktk mjadala,muwekee picha ambazo zinaakisi maisha halisi ya kwao.hapo lazima atapaniki.

na ukitaka akuzidi maarifa ktk mjadala,mpe nafasi akuwee statistics, data au tafiti,hapo lazima atakutoa knockout kwasababu data/tafiti zao nyingi ni za kupika na mara nyingi unakuta nyuma ya washiriki wa huo utafiti,kuna wakenya.

wewe endelea kuwawekea mapicha picha tu.ndio maana siku hizi ninapojadiliana nao, huwa sipotezi mda wa kuandika maneno mengi,nawawekea screenshot za twitter kama reference.wengi kuishia kukasirika na kukaa kimya.

wale wakenya wa Twitter wapo real sana.hawana mda wa kuendekeza sifa za kijinga kama hawa wa jf.

msome huyu hapa chini.huyu ali tweet hii February 2017
b0a436dd698b3e4fc5ab7e5b4eaacbd0.jpg

Clearly those pipo dont loojk hungry to me. There comments prove nothing more than this!

hunger-map.jpg


And why arent there Tanzanians in those organizations involved in compiling all those statistics? Bogus excuses.
 
Show us the aerial photos of Nairobi, and let us see if the cityscape is dominated by Kibera-like suburbs, and I will post u the satellite photos of Dar and all u will see are Manzese-type neighborhoods.





Clearly those pipo dont loojk hungry to me. There comments prove nothing more than this!

hunger-map.jpg


And why arent there Tanzanians in those organizations involved in compiling all those statistics? Bogus excuses.
Haikosi huyu mjamaa kaweka twitter yake kusoma trends za kenya maanake kwao hamna. Yaani hata my former high school wana update Facebook na twitter yao kila wiki. Anatujazia server na screenshots. Yaani taabu tupu hata kupata data zilizoaminika kutoka taasisi zao, ajue kenya ni nchi ya watu wajibikaji, kila aina ya data tunaweka mtandaoni, na pia tunavipima sisi wenyewe, bongo je?
Niongeze kwa kusema anaenda akichukua screenshot ya limtu aliyetoa maoni yake afu anaivisha vazi ya ukweli.
 
msichokielewa nikuwa tanzania ni ujamaa,yaani serikali hudhibiti rasilmali ya nchi hivyo kuwezesha wananchi wote kuwa katika level moja ila kenya ni a capitalist state,kila mtu ajishughulishe na mihangaiko yake akipata sawa akikosa sawa..ndiyo sababu waona kuna wenye maisha safi tu na kuna wenye matatizo si haba..ila nazipenda nchi zote mbili..
 
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

4. Wachache sana wanao afford kula balanced diet, wengi hula mboga tu(sukuma, terere, kienyeji, etc kwa ugali, nyama ni adimu sana hula matajiri tu.....

5. Mb za Kenya huisha kama upepo na very expensive, Tsh 50/= (1110/= Tsh ) unapewa Mb-68 tu, ambazo ukilog in fb dk 10 zinaisha, wakati Tz Fb ni bure na Kwa Tsh 1500/= unapata 1GB and a lot of airtime for a week.

Hakuna vibando vya kupiga simu kama Tz, mfano Tz unaweza weka Salio ukanunua dk kadhaa za kupiga, Kenya Unaweka Salio na kupiga hivyo hivyo kavu kavu, kudadeki, Tz tuna unafuu mkubwa wa mawasiliano, huduma kama Halichachi Bando n.k zinasaidia wana nchi.

5. Uchafu na taka ni changamoto sana, wana nchi hutupa hivyo maana hakuna utaratibu maalumu kama magari, yapo machache but not affordable to wana nchi wa kawaida wa hali ya chini

6. NAULI kila city basi hujipangia haiko fixed na hakuna governing body yenye hupanga na kuamua nauli kama SUMTRA TZ... So naweza end a tao(town) kwa mbao(20bob=Tsh 440\=) lakini ujaridi kwa 70bob(=1500/= Tsh au soo(Tsh 2000/=) hii INA kufanya ushindwe kupredict

7. Wakenya hawasalimiani njiani, unapita kimya kimya unless uwe mnajuana ndo unaaema 'Sasa......" Tz ni waungwana ukipita kwa njia ni must utae hae juu waweza dondoka mbele akaja akakusevu uliyemuacha nyuma

8. Makelele MENGI sana, tao(town) juu magari yako MENGI sana hasa ya abiria, mahoni pipiiiii, it make the city look hooliganic... Tz uko poa juu mabasi yamepigwa stop kuingia city centre hata yakiingia yana location maalumu sio kuzagaa kama Nairobi

9. Matapeli yamejaaa, Ma conmen, ukiwa street kuibiwa simu ni kawaida, dk mbili unaoneshwa kisu, hasa Eastleigh kule, ni balaaa

1
Kwa Kifupi Maisha Ni magumu sana kwa RAIA wa daraja LA chini, but starehe kwa matajiri na wenye nacho

10. Mabangi yameharimu vijana, vijana waziwazi wanatafuna miraaa, na Rais Wao aliruhusu and promised to fund miraa projects, this is insane...

11. Makelele ya mziki ndani ya matatu yanaharibu sana maskio, na huwezi sikizana kwa phone ukiwa ndani ya matatu, regaae musics most preferred na matatu ziko equipped na music system nzito sound crazy for we non citizens who were not used to this before

Note:- This report is based in Society with low socioeconomic status which constitutes 75% of Kenyans in Nairobi

POSITIVE;-
1. Shule zao ziko smart huwezi differentiate Gava na private
.2. Watoto wanatema ung'eng'e balaa, mtoto wa std 4 ni sawa na form 6 wa Tz,, they are very fluent, compentent in English both written and spoken......nashauri kwenye pesa wapeleke watoto Wao kula japo kwa primary, very cheap.....na quality uko juu

3. Magari ni rahisi kumiliki

4. Starehe nyingi sanaaaaaaa, sanaaaaa kama una pesa zako

5. Hakuna MTU anajali mambo yako, no kulogana au wivu...

6. Entertainments clubs, pubs zimejaaaa

7. Mabasi yao yamepambwa sana this make the city jams look good

Ni HAYO KWA LEO, WAKIBISHANA NITALETA PICHA


gr1_lrg.jpg
 
Back
Top Bottom