Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Kama ulikuwa hujui CRDB wanakukata 10% kwa kila unapolipa kwa Dola ($) kutoka account yako ya Tsh. Mfano juzi nimelipia 216$ nilikuwa na salio la Tsh. 618,591.67 mwisho nimebaki na 75,993.47.
Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.
Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa uchumi wetu.
Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.
Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa uchumi wetu.