Hivi unajua unakatwa 10% na CRDB kila unatumia kadi yako ya kulipa kwa dola?

Bakulutu

JF-Expert Member
Nov 30, 2011
2,544
1,760
Kama ulikuwa hujui CRDB wanakukata 10% kwa kila unapolipa kwa Dola ($) kutoka account yako ya Tsh. Mfano juzi nimelipia 216$ nilikuwa na salio la Tsh. 618,591.67 mwisho nimebaki na 75,993.47.

Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.

Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa uchumi wetu.

IMG_6049.jpg
 
Kama ulikuwa hujui CRDB wanakukata 10% kwa kila unapolipa kwa Dola ($) kutoka account yako ya Tsh. Mfano juzi nimelipia 216$ nilikuwa na salio la Tsh. 618,591.67 mwisho nimebaki na 75,993.47.

Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.

Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa uchumi wetu.

View attachment 2883024
Sasa SI Bora utumie visa ya mpesa?
 
Kama ulikuwa hujui CRDB wanakukata 10% kwa kila unapolipa kwa Dola ($) kutoka account yako ya Tsh. Mfano juzi nimelipia 216$ nilikuwa na salio la Tsh. 618,591.67 mwisho nimebaki na 75,993.47.

Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.

Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa uchumi wetu.

View attachment 2883024
We nawe mjinga. Fungua acc ya dola ndio uwe unafanyia malipo ya dola. Tena nakushauri uende stanbic wana account inaitwa personal current acc ina card ya gold.. haina makato na ni iko poa sana kwenye online payments!

Tzs acha crdb ukitaka dola badilisha then peleka kwenye account ya stanbic
 
Kama ulikuwa hujui CRDB wanakukata 10% kwa kila unapolipa kwa Dola ($) kutoka account yako ya Tsh. Mfano juzi nimelipia 216$ nilikuwa na salio la Tsh. 618,591.67 mwisho nimebaki na 75,993.47.

Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.

Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa uchumi wetu.

View attachment 2883024
Kwanini usinunue dola ndo ulipe au usilipe Kwa madafu?
 
Back
Top Bottom