Mbochong'a
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 770
- 1,315
Mambo vipi ladies and gentlemen. Hope mko poa, me too. Moja kwa moja kwenye mada.
Nina bro wangu kipindi cha nyuma kuna mahali alikuwa anapenda kukaa na kunywa bia mbili tatu kila akitoka kazini mida ya jioni. Hapo maeneo "ki'frame" tu, kinamilikiwa na maza ambae ni mtumishi wa umma aliyeamua kujiongeza. Sasa huyu maza ana mabinti wawili, mmoja yupo alikuwa anasoma chuo India na mwingine yupo form four boarding school flani hapa bongo!
Sasa basi, kipindi cha likizo yule binti wa form four huwa anakuwaga na mama yake pale pub au siku nyingine anakuwaga mwenyewe bila ya maza. Bro yeye kama kawaida kila jioni lazima apitie pale ikapelekea kuzoeana sana na yule binti. Binti alikuwa mrembo wa sura japo alikuwa mwembamba but kashepu kapo.
Kweli bwana.. bro wakawa wamezoeana kupelekea kutongozana na kukubaliana kuwa pamoja but mpaka amalize form six. Kweli bro akawa ndio kama mchumba wake maza nae akajua, dada mtu nae akajua maisha yakaendelea mpaka dogo akamaliza six. Bahati nzuri akafaulu vizuri tu na kudahiliwa chuo kimoja maarufu sana hapa Dar.
Basi maisha yakaendelea.. nakumbuka mara ya kwanza kupiga shoo ni binti alivyokuwa mwaka wa pili. Then maisha yakaenda vizuri mizawadi ya birthday kama yote. Bro alikuwa anasubiri mtoto amalize chuo afanye michakato ya engagement then mambo mengine yafuate.
Binti akamaliza chuo vizuri na kama tunavyojua kuanzia 2015 ukimaliza chuo huna guarantee ya kupata kazi. Basi ndio hivyo dogo alimaliza mwaka 2018 yupo home mpaka leo. Mahusiano yanaendelea japo kuna kutoelewana hapa na pale kama tunavyojua wanaadamu sio kila siku tutakubaliana vitu lazima tupishane kidogo.
Wameendelea fresh kwenye mahusiano ikafika kipindi mpaka kwenye harusi wanaenda wote yaani mambo yalikuwa ni fire. Chakushangaza ilivyoingia 2020, bro ananiambia me huyu demu simtaki. Nikamuuliza ishu ni nini? Akasema sio "wife material". Mimi nikawa namsisitiziza asimfanyie hivyo kwa sababu wametoka mbali kama vipi amwambie tu vitu asivyovitaka ili abadilike. Kweli wakaendelea but mshikaji moyo wake haupo tena kwa yule binti.
Sasa juzi kati ndio nilipata muda wa kuongea na bro kwa muda mrefu, akaniambia kuwa yule binti yeye interest zake ni kwenda kwenye birthday parties tu. Mara kwenda club na rafiki zake, mara kwenda beach. Akienda geto kwa jamaa hafanyi chochote hata kukunja nguo hawezi. Akiwa home kwao yeye ni kulala tu; hafanyi chochote.
Ananiambia kuna siku alienda geto kukawa kuna nguno kwenye sofa za kukunja, bro akamuomba amsaidie kugunga vigungo then yeye azikunje, binti akasema nimechoka zangu zenyewe ananikunjiaga mama. Jamaa anasema binti hajawahi hata kufagia au hata kufuta vumbi akienda home kwa mshkaji.
Anasema kuna siku alienda kwa kina binti, akamkuta dada yake na binti yule aliyekuwa anasoma India by that time alikuwa amesharudi. Akamkuta anafua. Akasema hilo beseni ambalo alikuwa anafulia mtoto wa kike huyo lili kuwa chafu utasema ni la madogo wa boys boarding school.
Kwa kifupi bro amesema wale mabinti walikosa malezi bora kutoka kwa maza wao so wamekuwa mabinti wavivu na kupelekea kukosa sifa za kuwa wife material. So akaachana nae. Maza akawa anampigia simu hakupokea mpaka sasa hivi amawablock familia nzima. Na pale pub maza alishapafunga kitambo sana. So kila mtu na maisha yake.
Sasa juzi kati mwezi wa pili bro alikutana na manzi ambae kipindi cha nyuma walikuwa wanafanya kazi pamoja. Huyo manzi alikuwa secretary kwenye hiyo kampuni. Na kipindi hicho hakuwahi kumtongoza, walikuwa kawaida tu salamu za hapa na pale. Basi walivyokutana wakabadilishana namba then wakaanza kuchat na kupelekea kutongozana!
Kweli bwana... chemistry ikakubali equations zikareact na kubalance on the spot. Amesema yaani huyo binti ni balaa. Advertise siku ya kwanza kuja geto alianza na usafi kwanza na kufua mapazia kila kitu. Na kupika juu. Bro anasema anasubiri korona iishe afanye mambo.
Kwa hiyo ndio hivyo. Mabinti mjifunze kuwajibika na kufanya mambo mazuri yanayotakiwa na jamii. Sio kuishi kama upo bongo movie. Utazeekea nyumbani. Au utakuwa unapigwa na kuachwa.
Maisha ya tamthilia sio mazuri.
Nina bro wangu kipindi cha nyuma kuna mahali alikuwa anapenda kukaa na kunywa bia mbili tatu kila akitoka kazini mida ya jioni. Hapo maeneo "ki'frame" tu, kinamilikiwa na maza ambae ni mtumishi wa umma aliyeamua kujiongeza. Sasa huyu maza ana mabinti wawili, mmoja yupo alikuwa anasoma chuo India na mwingine yupo form four boarding school flani hapa bongo!
Sasa basi, kipindi cha likizo yule binti wa form four huwa anakuwaga na mama yake pale pub au siku nyingine anakuwaga mwenyewe bila ya maza. Bro yeye kama kawaida kila jioni lazima apitie pale ikapelekea kuzoeana sana na yule binti. Binti alikuwa mrembo wa sura japo alikuwa mwembamba but kashepu kapo.
Kweli bwana.. bro wakawa wamezoeana kupelekea kutongozana na kukubaliana kuwa pamoja but mpaka amalize form six. Kweli bro akawa ndio kama mchumba wake maza nae akajua, dada mtu nae akajua maisha yakaendelea mpaka dogo akamaliza six. Bahati nzuri akafaulu vizuri tu na kudahiliwa chuo kimoja maarufu sana hapa Dar.
Basi maisha yakaendelea.. nakumbuka mara ya kwanza kupiga shoo ni binti alivyokuwa mwaka wa pili. Then maisha yakaenda vizuri mizawadi ya birthday kama yote. Bro alikuwa anasubiri mtoto amalize chuo afanye michakato ya engagement then mambo mengine yafuate.
Binti akamaliza chuo vizuri na kama tunavyojua kuanzia 2015 ukimaliza chuo huna guarantee ya kupata kazi. Basi ndio hivyo dogo alimaliza mwaka 2018 yupo home mpaka leo. Mahusiano yanaendelea japo kuna kutoelewana hapa na pale kama tunavyojua wanaadamu sio kila siku tutakubaliana vitu lazima tupishane kidogo.
Wameendelea fresh kwenye mahusiano ikafika kipindi mpaka kwenye harusi wanaenda wote yaani mambo yalikuwa ni fire. Chakushangaza ilivyoingia 2020, bro ananiambia me huyu demu simtaki. Nikamuuliza ishu ni nini? Akasema sio "wife material". Mimi nikawa namsisitiziza asimfanyie hivyo kwa sababu wametoka mbali kama vipi amwambie tu vitu asivyovitaka ili abadilike. Kweli wakaendelea but mshikaji moyo wake haupo tena kwa yule binti.
Sasa juzi kati ndio nilipata muda wa kuongea na bro kwa muda mrefu, akaniambia kuwa yule binti yeye interest zake ni kwenda kwenye birthday parties tu. Mara kwenda club na rafiki zake, mara kwenda beach. Akienda geto kwa jamaa hafanyi chochote hata kukunja nguo hawezi. Akiwa home kwao yeye ni kulala tu; hafanyi chochote.
Ananiambia kuna siku alienda geto kukawa kuna nguno kwenye sofa za kukunja, bro akamuomba amsaidie kugunga vigungo then yeye azikunje, binti akasema nimechoka zangu zenyewe ananikunjiaga mama. Jamaa anasema binti hajawahi hata kufagia au hata kufuta vumbi akienda home kwa mshkaji.
Anasema kuna siku alienda kwa kina binti, akamkuta dada yake na binti yule aliyekuwa anasoma India by that time alikuwa amesharudi. Akamkuta anafua. Akasema hilo beseni ambalo alikuwa anafulia mtoto wa kike huyo lili kuwa chafu utasema ni la madogo wa boys boarding school.
Kwa kifupi bro amesema wale mabinti walikosa malezi bora kutoka kwa maza wao so wamekuwa mabinti wavivu na kupelekea kukosa sifa za kuwa wife material. So akaachana nae. Maza akawa anampigia simu hakupokea mpaka sasa hivi amawablock familia nzima. Na pale pub maza alishapafunga kitambo sana. So kila mtu na maisha yake.
Sasa juzi kati mwezi wa pili bro alikutana na manzi ambae kipindi cha nyuma walikuwa wanafanya kazi pamoja. Huyo manzi alikuwa secretary kwenye hiyo kampuni. Na kipindi hicho hakuwahi kumtongoza, walikuwa kawaida tu salamu za hapa na pale. Basi walivyokutana wakabadilishana namba then wakaanza kuchat na kupelekea kutongozana!
Kweli bwana... chemistry ikakubali equations zikareact na kubalance on the spot. Amesema yaani huyo binti ni balaa. Advertise siku ya kwanza kuja geto alianza na usafi kwanza na kufua mapazia kila kitu. Na kupika juu. Bro anasema anasubiri korona iishe afanye mambo.
Kwa hiyo ndio hivyo. Mabinti mjifunze kuwajibika na kufanya mambo mazuri yanayotakiwa na jamii. Sio kuishi kama upo bongo movie. Utazeekea nyumbani. Au utakuwa unapigwa na kuachwa.
Maisha ya tamthilia sio mazuri.

