Maisha ya kijana wa kiume

Maisha ya kijana wa kiume

Mwanaume mpambanaji na mjanja ktk umri wa miaka 30 huwa anakuwa na mambo yafuatayo :-

(1) Ana mke na angalau mtoto mmoja
(2) Ana gari la kutembelea japo la milioni kumi
(3) Ana nyumba angalau moja au ndo anaendelea na ujenz yupo kwenye hatua ya lenta nk au ana kiwanja anajipanga kuanza kujenga
(4) Ana chanzo cha mapato cha uhakika kama vile biashara, ajira ya Kudumu nk

Ukifikia umri huu bado upo nyumbani kwa wazazi unakula ugali wa bure, unavaa milegezo tu na kutongoza ovyo videm vya Facebook na kwenye mitandao mingine, basi ww ni hasara kabisa!!!!
Le Mutuz ana 63 na bado anagongea kwa mshua na maselfie kibao insta na wajukuu zake
 
Muhimu kwenye maisha ni kuishi ukimcha MUNGU.

Mengine ni ubatili hayakupeleki popote, na wala hayakusaidii popote
 
Back
Top Bottom