Maisha ya kijana wa kiume

Maisha ya kijana wa kiume

Hakikisha angalau una uwezo wa kusave angalau mil moja kwa mwezi na unauwezo WA kutumia sio chini ya mil mbili kwa mwezi haijalishi unazipata vii
Una uhakika na usemayo?
Labda kama wewe kwenu ulikuta mambo safi.
Kama wewe ni mtoto wa mkulima basi hiyo situation ni ngumu sana
 
Maisha hayana formula mzee.

Ukijilinganisha na wengine utaumia sana rohoni.

Samata hana miaka 29 ila anagalia maisha yake ni zaidi ya JB wa bongo muvi.

Habari wadau wa jamii forum...
Ukiwa na miaka 30 unatakiwa kuwa na maendeleo gani haswa kama kijana wa kuime/mwanaume ili akutazamae aseme kweli wewe mpambanaji
 
Inatakiwa uwe una kampuni ya betting ... Na pia hapo awali uwe ushawahi kutembeza na kuuza bidhaa za Forever Living (Aloe Vela)...hiyo ni kwaajili ya kuongeza uzoefu katika CV ya utafutaji.
 
Mwanaume mpambanaji na mjanja ktk umri wa miaka 30 huwa anakuwa na mambo yafuatayo :-

(1) Ana mke na angalau mtoto mmoja
(2) Ana gari la kutembelea japo la milioni kumi
(3) Ana nyumba angalau moja au ndo anaendelea na ujenz yupo kwenye hatua ya lenta nk au ana kiwanja anajipanga kuanza kujenga
(4) Ana chanzo cha mapato cha uhakika kama vile biashara, ajira ya Kudumu nk

Ukifikia umri huu bado upo nyumbani kwa wazazi unakula ugali wa bure, unavaa milegezo tu na kutongoza ovyo videm vya Facebook na kwenye mitandao mingine, basi ww ni hasara kabisa!!!!
Uwe na nyumba, viwanja, gari, mke, na biashara hata ndogo ndogo moja
Kwa mujibu wa nani?
 
majibu ya mboga 7 yanafurahisha sana mara ywe na gar,mradi, nyumba, kiwanja yaani full mawazo ya kitoto.

kadri utakavyo barikiwa kuwa navyo cha muhimu endelea kupambana.
Yah
 
majibu ya mboga 7 yanafurahisha sana mara ywe na gar,mradi, nyumba, kiwanja yaani full mawazo ya kitoto.

kadri utakavyo barikiwa kuwa navyo cha muhimu endelea kupambana.
This very good
 
Ultimate gools ya kila anachofanya binadam ni kupata Furaha, haijalishi una miliki kitu gani ila kama una furaha na hujamkosea Muumba wako inatosha, properties ni juhudi na maarifa na cha msingi kijana ni kupambana bila kuchoka kujitafutia kipato halali maana wapo wanaomiliki hizo mali na familia lkn hawana furaha, wanateseka na misongo ya mawazo, maradhi, madeni n.k
 
Habari wadau wa jamii forum...
Ukiwa na miaka 30 unatakiwa kuwa na maendeleo gani haswa kama kijana wa kuime/mwanaume ili akutazamae aseme kweli wewe mpambanaji
Maisha ni tofauti kwa kila mtu,ukiona hujapata usipanick,jua wakati wako bado endelea kuchapa kazi na kutafuta pesa kwa njia halali.
 
Back
Top Bottom