Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,530
- 81,257
Unaamka saa nne na unalala saa 11.
Tushapata majibu.
Tushapata majibu.
Hahahah!kuna hyo siku niliunga dagaa asee nilipika ugali wa unga nusu na robo nikasema nitakula kidogo mchana mwingine usiku picha linaanza na kuisha niliula ugali wote mchana...
kuna hyo siku niliunga dagaa asee nilipika ugali wa unga nusu na robo nikasema nitakula kidogo mchana mwingine usiku picha linaanza na kuisha niliula ugali wote mchana...



afu usiku ukahesabu bati hakukuchiBangi iyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣kuna hyo siku niliunga dagaa asee nilipika ugali wa unga nusu na robo nikasema nitakula kidogo mchana mwingine usiku picha linaanza na kuisha niliula ugali wote mchana...
Ndo nimefanya hivo leoUvivu kupika
Unaamua kununua msosi kwa mama nitilie
Ndo nimefanya hivo leo


maji mengi mpaka utumbo na vikorokoro vingine tumboni vinaelea😂😂afu usiku ukahesabu bati hakukuchi
😁😁situmii hzo mambo mzeeBangi iyo
Aka mgeni rasmi!Halaf getto kitanda hakitandikwi labda hio siku upate mgeni wa heshima.
Basi hilo sio tumbo, ni kiroba!😁😁situmii hzo mambo mzee
Mboga ni mishkaki mwaka mzima

getto kufagiliwa kwa mwezi Mara moja na neti huwa haichomolewi kweny gorodo ili kuondoa usumbufu
usiku unatumbukia asubuhi unachomoka