Maisha plus-ni zaidi ya kipindi

mujungu

Senior Member
Nov 1, 2010
143
55
nimeangalia usaili wa maisha plus leo husiku , kwa kweli inatisha na kusikitisha. Ongera sana kipanya kutuonyesha jamii yetu inaelekea wapi.

Kama mtu anashindwa kujua afrika mashariki in inchi ngapi, sisi tunaishi ndani au nje ya dunia na mengineyo hii ni hatari. Kama ujaangalia , tafuta muda uangalie. Naomba kipanya aweke huo usaili kwenye youtube. Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom