mujungu
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 143
- 55
nimeangalia usaili wa maisha plus leo husiku , kwa kweli inatisha na kusikitisha. Ongera sana kipanya kutuonyesha jamii yetu inaelekea wapi.
Kama mtu anashindwa kujua afrika mashariki in inchi ngapi, sisi tunaishi ndani au nje ya dunia na mengineyo hii ni hatari. Kama ujaangalia , tafuta muda uangalie. Naomba kipanya aweke huo usaili kwenye youtube. Nawasilisha.
Kama mtu anashindwa kujua afrika mashariki in inchi ngapi, sisi tunaishi ndani au nje ya dunia na mengineyo hii ni hatari. Kama ujaangalia , tafuta muda uangalie. Naomba kipanya aweke huo usaili kwenye youtube. Nawasilisha.