Maisha Plus imeishia wapi???

Maisha Plus imeishia wapi???

Katavi

Platinum Member
Joined
Aug 31, 2009
Posts
42,099
Reaction score
12,919
Ule mchezo wa maisha plus umeishia wapi?? Ulikuwa na mvuto kiaina kuliko huu wa BBA ambao hauna maadili. Kipanya na timu yake vipi??
 
Mi naona ni bora TBC wangeidhani maisha plus kuliko ZECOMEDY.
 
Jamaa alikuwa anawalazimisha washindi wamgawie nusu ya hela za ushindi wadhamini wakastukia dili wakajitoa wote.
 
Jamaa alikuwa anawalazimisha washindi wamgawie nusu ya hela za ushindi wadhamini wakastukia dili wakajitoa wote.

Kumbe ishu ni wadhamini, kama alikuwa anafanya hivyo bora tu asipate wadhamini wengine..
 
Kumbe ishu ni wadhamini, kama alikuwa anafanya hivyo bora tu asipate wadhamini wengine..
Kilicho waudhi zaidi yeye pia walikuwa wanamtengea fungu zuri tu,hii kibongobongo inaharibu mambo mengi.
 
Wamsamehe, binafsi nilikuwa naipenda sana kuliko hii ya kupiga chabo ambayo haina hata maadili kwa kizazi hiki cha sasa.
 
Wamsamehe, binafsi nilikuwa naipenda sana kuliko hii ya kupiga chabo ambayo haina hata maadili kwa kizazi hiki cha sasa.
Ni kweli inabidi ajipange upya ili ule mchezo uendelee.....
 
Nilikuwa mfuatiliaji wa hicho kipindi miaka ya nyuma kupitia TBC1,
Lakini nashangaa mbona cku hizi hakipo tena!
Mwenye nyuzi a2juze kimepotelea wapi hiki kipindi cha maisha plus cha Masoud wa kipanya na wenzake.
 
anatangaza redio times fm, ujasiriamali mgumu jamani we acha tu.
 
Nilikuwa mfuatiliaji wa hicho kipindi miaka ya nyuma kupitia TBC1,
Lakini nashangaa mbona cku hizi hakipo tena!
Mwenye nyuzi a2juze kimepotelea wapi hiki kipindi cha maisha plus cha Masoud wa kipanya na wenzake.

Jamaa alikwisha tengeneza hela ya kutosha na ameaga umaskini tayari aendelee na nini?
 
Kipindii gani kile cha kuwarudiisha watu kwenye barbarism? watu tunapiga vita umaskini wengine wanautetea. kubeba maji kichwani ndani ya mtungi.kupikia kuni ahaa taabu tupu. bora kiliisha kilikuwa hakifundishi.
 
Anatumia watu kutengeneza hela halaf anakuja kuwazawadia simu za promotion! Aende zake huko!
 
Kipindii gani kile cha kuwarudiisha watu kwenye barbarism? watu tunapiga vita umaskini wengine wanautetea. kubeba maji kichwani ndani ya mtungi.kupikia kuni ahaa taabu tupu. bora kiliisha kilikuwa hakifundishi.
Mkuu jaribu kuangalia na hao walioko dunia ya tatu wanafanyaje kwenye show kama hizi, wanashindana hadi kula nyama mbichi, pia asilimia zaidi ya 50 ndio maisha yao yale hapa bongo

Anatumia watu kutengeneza hela halaf anakuja kuwazawadia simu za promotion! Aende zake huko!
Mkuu ndio moja ya fomula ya maisha hiyo
 
eti jamani mchezo wa maisha plus aliokua anausimamia masudi kipanya uliishia wapi? Au jamaa alifulia au ilikua haimlipi.mwenye kujua sababu atusaidie
 
Wadau maisha plus imepotelea wapi? Au mwandaaji wake ndg. Kipanya aliona haimlipi? Alipaswa kuwajulisha watz.
 
Back
Top Bottom