Kilicho waudhi zaidi yeye pia walikuwa wanamtengea fungu zuri tu,hii kibongobongo inaharibu mambo mengi.Kumbe ishu ni wadhamini, kama alikuwa anafanya hivyo bora tu asipate wadhamini wengine..
Nilikuwa mfuatiliaji wa hicho kipindi miaka ya nyuma kupitia TBC1,
Lakini nashangaa mbona cku hizi hakipo tena!
Mwenye nyuzi a2juze kimepotelea wapi hiki kipindi cha maisha plus cha Masoud wa kipanya na wenzake.
Mkuu jaribu kuangalia na hao walioko dunia ya tatu wanafanyaje kwenye show kama hizi, wanashindana hadi kula nyama mbichi, pia asilimia zaidi ya 50 ndio maisha yao yale hapa bongoKipindii gani kile cha kuwarudiisha watu kwenye barbarism? watu tunapiga vita umaskini wengine wanautetea. kubeba maji kichwani ndani ya mtungi.kupikia kuni ahaa taabu tupu. bora kiliisha kilikuwa hakifundishi.
Mkuu ndio moja ya fomula ya maisha hiyoAnatumia watu kutengeneza hela halaf anakuja kuwazawadia simu za promotion! Aende zake huko!