Wadau, mambo vipi je ni kwema,
Natumaini nyote wazima, natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu, Mimi kijana wenu/mdogowenu/ naomba mnisaidie angalau Nyumba ya kuangalizia wakati mmiliki akiwa hayupo,au amejenga imebaki Haina mtu wa kuangalia,
NadhAni mnajua ndugu zangu kitu ambacho namaanisha, Nina familia sijui ata pa kuipeleka maana usipokuwa na Chako duniani ni kama unakuwa kama mwehu,
Nipo Musoma-mjini ndugu zangu naitaji msaada wenu tafadhali 🙏