Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,654
Zamani ili watu wapitishe wazo lilitakiwa lijadiliwe wakati hawajalewa na wakati wamelewa..
Nipo zangu hapa MICASA Club Ubungo..nimepata bapa yangu kubwa.. Inshort nipo super..yaani.. najua wakubwa mnaelewa..
Nawaza kuhusu umri wa maisha ya mwanadamu kwa hapa kwetu Tanzania.. Nagundua ni miaka 54..
Nashtuka sana.. Hasa pale nilipogundua karibia miaka 17 ya hiyo miaka 54 ambayo ni sawa na asilimia 31 tumetumia katika shule wengi wetu..
Kisha utasikia kuna watu wanasema maisha ni marefu.. Hii ni hatari.. Actually maisha ni mafupi..sana..sema matatizo yake yanafanya yaonekana marefu..
Usiishi ukiwa unataraji kuna maisha zaidi ya leo.. Kikubwa ishi leo yako vizuri..maana kesho hatuna uhakika nayo..
Live your life to the fullest..
Publius of Syrus aliwahi kusoma LIFE IS SHORT BUT ITS ILL MAKES IT LOOKS LONG..
akili za mlevi!
Divine Khan
Nipo zangu hapa MICASA Club Ubungo..nimepata bapa yangu kubwa.. Inshort nipo super..yaani.. najua wakubwa mnaelewa..
Nawaza kuhusu umri wa maisha ya mwanadamu kwa hapa kwetu Tanzania.. Nagundua ni miaka 54..
Nashtuka sana.. Hasa pale nilipogundua karibia miaka 17 ya hiyo miaka 54 ambayo ni sawa na asilimia 31 tumetumia katika shule wengi wetu..
Kisha utasikia kuna watu wanasema maisha ni marefu.. Hii ni hatari.. Actually maisha ni mafupi..sana..sema matatizo yake yanafanya yaonekana marefu..
Usiishi ukiwa unataraji kuna maisha zaidi ya leo.. Kikubwa ishi leo yako vizuri..maana kesho hatuna uhakika nayo..
Live your life to the fullest..
Publius of Syrus aliwahi kusoma LIFE IS SHORT BUT ITS ILL MAKES IT LOOKS LONG..
akili za mlevi!
Divine Khan