Mr sule
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 607
- 1,097
Miezi 2 miwili iliopita nilikuwa na binti wa kislam kwenye mahusano.
Before alijua mimi ni muislam kwasababu ya majina yangu yote mawili na hata majina ya ndugu zangu na marafiki niliowatambulisha kwake.
Nilienda zanzibar kwa lengo la kwenda kushangaa, nikajichanganya machimbo mengine nikakutana na huyu Binti anafanya biashara ndogo ndogo.
Kwa aina ya kazi yake ilivyokuwa na mavazi yake huwezi kujua kama bibie ni mzuri, mwenye mvuto.
Lakini niligundua hvyo na nikajichanganya kwake, nikajiongelesha tukaelewana nikamtoa Dinner na huko ndo upendo wetu ulipozaliwa.
Kutokana na alivyonipenda na jinsi upendo ulivyokuwa, unaweza kuzani tumekutana miaka 20 iliyopita.
Nilimwambia mimi nataka nimuoe na alikubali tena kwa furaha sana, lakini cos mimi naishi nje nilimwambie anipe muda niende nifungashe vya kwanvu alafu nirudi niamishie makazi Tz.
Tulikubaliana hilo, lakini aliomba akanitambulishe kwa wazazi wake kwanza kabla ya kuondoka, ili nikirudi mambo mengine yafanyike.
Hapo ndipo nikafikiria swala la DINI, niliamua kumwambia mwenzangu ukweli mimi ni mfuasi wa Yesu Kristo, alifikiri namtania, Nikamuonyesha picha nikiwa kanisani. ikawa hakuna namna.
Binti akashauri niwe muislam, nikamwambia haiwezekani, akaniambie basi niwaambie wazazi wake nitakuwa muislam ili tufanyikishe malengo ya kuwa pamoja na kama nitaendelea kufuata Yesu yeye hana shida na hilo.
Nilikubali cos mimi nae huyu bibie mzuri sana alafu hana mambo mengi, ni mpole sana mnyenyekevu, anasikiliza alafu ananipenda sana.
Bibie alikuwa amewaambia siku nyingi kuhusu mimi, bibie alichangia kubadili mazingira ya nyumbani kwao kupitia mfuko wangu.
kwaiyo hata nyumbani kwako nilikuwa na heshima yangu maana nilikuwa namtoa Zanzibar tunaenda mwanza, Arusha hata wiki mbili lakini ananiambia nisiwe na shaka kuhusu nyumbani kwako cos wanajua yuko wapi na nani,lakini bibie hakuwah kuniambia hilo.
Ukweni
Taarifa ya mimi kuwa kuwa mfuasi wa Yesu ilifika ukweni, lakini wazazi walimshauri bibie anishawishi niwe Muislam.
Nafika ukweni nakuta kundi la watu wamenisubur kunisilimisha.
Wakaniambia kuwa na mwanetu lazima uwe muislam na sheikh anaenda kukusilimisha leo.
Sheikh alinimbia niwe nafuatia maneno atakayoongea.
Alipoanza kuongea nikahisu ganzi. alafu ni kawaida nipohisi kitu mara nyingi nasema Jesus Christ kama kukemia kile kitu. ndo nikatamka Neno jesus Christ baada ya sheikh kutamka maneno ambayo mimi nilipaswa nifuate kuyaongea.
Kuanzia hapo nikaleta kizaa zaa.
Siku hiyo ilishindikana mimi kusilimu. kuna maneno mengine si lazima yote niweke hapo.
Licha ya yote, Bibie anasema hawezi kuniacha, wazazi wanataka tu nisilimu tu wanipe mwanao.
Kila ninapofikiri kukiri kuwa muislam ndo naishi kabisa kuchanganyikiwa, naona kabisa naweza kupoteza Dira ya maisha.
Bado niko nae bibie licha mimi kuwa nje ila naona mahusiano yanaenda kufika kikomo licha yeye kuwa tayari kuelewa but nahisi baraka za wazazi hakuna na hilo tatizo licha tunaongea vizuri.
Mama mkwe alinielewa sana ila anaogopa kutengwa na ndugu zake endapo ataruhusu mimi kumuoa bibie.
Sijaja kuomba ushauri, hii ni story tu.
Before alijua mimi ni muislam kwasababu ya majina yangu yote mawili na hata majina ya ndugu zangu na marafiki niliowatambulisha kwake.
Nilienda zanzibar kwa lengo la kwenda kushangaa, nikajichanganya machimbo mengine nikakutana na huyu Binti anafanya biashara ndogo ndogo.
Kwa aina ya kazi yake ilivyokuwa na mavazi yake huwezi kujua kama bibie ni mzuri, mwenye mvuto.
Lakini niligundua hvyo na nikajichanganya kwake, nikajiongelesha tukaelewana nikamtoa Dinner na huko ndo upendo wetu ulipozaliwa.
Kutokana na alivyonipenda na jinsi upendo ulivyokuwa, unaweza kuzani tumekutana miaka 20 iliyopita.
Nilimwambia mimi nataka nimuoe na alikubali tena kwa furaha sana, lakini cos mimi naishi nje nilimwambie anipe muda niende nifungashe vya kwanvu alafu nirudi niamishie makazi Tz.
Tulikubaliana hilo, lakini aliomba akanitambulishe kwa wazazi wake kwanza kabla ya kuondoka, ili nikirudi mambo mengine yafanyike.
Hapo ndipo nikafikiria swala la DINI, niliamua kumwambia mwenzangu ukweli mimi ni mfuasi wa Yesu Kristo, alifikiri namtania, Nikamuonyesha picha nikiwa kanisani. ikawa hakuna namna.
Binti akashauri niwe muislam, nikamwambia haiwezekani, akaniambie basi niwaambie wazazi wake nitakuwa muislam ili tufanyikishe malengo ya kuwa pamoja na kama nitaendelea kufuata Yesu yeye hana shida na hilo.
Nilikubali cos mimi nae huyu bibie mzuri sana alafu hana mambo mengi, ni mpole sana mnyenyekevu, anasikiliza alafu ananipenda sana.
Bibie alikuwa amewaambia siku nyingi kuhusu mimi, bibie alichangia kubadili mazingira ya nyumbani kwao kupitia mfuko wangu.
kwaiyo hata nyumbani kwako nilikuwa na heshima yangu maana nilikuwa namtoa Zanzibar tunaenda mwanza, Arusha hata wiki mbili lakini ananiambia nisiwe na shaka kuhusu nyumbani kwako cos wanajua yuko wapi na nani,lakini bibie hakuwah kuniambia hilo.
Ukweni
Taarifa ya mimi kuwa kuwa mfuasi wa Yesu ilifika ukweni, lakini wazazi walimshauri bibie anishawishi niwe Muislam.
Nafika ukweni nakuta kundi la watu wamenisubur kunisilimisha.
Wakaniambia kuwa na mwanetu lazima uwe muislam na sheikh anaenda kukusilimisha leo.
Sheikh alinimbia niwe nafuatia maneno atakayoongea.
Alipoanza kuongea nikahisu ganzi. alafu ni kawaida nipohisi kitu mara nyingi nasema Jesus Christ kama kukemia kile kitu. ndo nikatamka Neno jesus Christ baada ya sheikh kutamka maneno ambayo mimi nilipaswa nifuate kuyaongea.
Kuanzia hapo nikaleta kizaa zaa.
Siku hiyo ilishindikana mimi kusilimu. kuna maneno mengine si lazima yote niweke hapo.
Licha ya yote, Bibie anasema hawezi kuniacha, wazazi wanataka tu nisilimu tu wanipe mwanao.
Kila ninapofikiri kukiri kuwa muislam ndo naishi kabisa kuchanganyikiwa, naona kabisa naweza kupoteza Dira ya maisha.
Bado niko nae bibie licha mimi kuwa nje ila naona mahusiano yanaenda kufika kikomo licha yeye kuwa tayari kuelewa but nahisi baraka za wazazi hakuna na hilo tatizo licha tunaongea vizuri.
Mama mkwe alinielewa sana ila anaogopa kutengwa na ndugu zake endapo ataruhusu mimi kumuoa bibie.
Sijaja kuomba ushauri, hii ni story tu.