Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,350
Hii story inamhusu Henry, kijana wa miaka 32 aliyekuwa mhudumu wa bank kwa miaka 10. Ana mke na watoto wawili wa kiume. Siku mojja waliitwa kazini na kuambiwa bank wanapunguza wafanyakazi, alilipwa kiinua mgongo milioni 15.
Alifikiria jinsi atakavyo endesha maisha na ile pesa. Aliamua kulipa kodi ya miaka miwili, alimpa mke wake milioni 4, nyingine alilipia shule Ulaya na kupata visa.
Alipofika Ulaya mwenyeji wake alikua anaosha magari. Ilibidi ajiunge nae. Katika maongezi alimueleza mwenyeji wake kuwa amekwenda kutafuta maisha. Mwenyeji wake alimshauri aoe ili awe na resident permit.
Katika ile car wash mwenyeji wake alijuana na wateja wengi sana. Kuna mama wa 42 ana watoto wawili, nyumba career ya kueleweka lakini hana mume. Alimuona huyu ni right candidate.
Alifikiria jinsi atakavyo endesha maisha na ile pesa. Aliamua kulipa kodi ya miaka miwili, alimpa mke wake milioni 4, nyingine alilipia shule Ulaya na kupata visa.
Alipofika Ulaya mwenyeji wake alikua anaosha magari. Ilibidi ajiunge nae. Katika maongezi alimueleza mwenyeji wake kuwa amekwenda kutafuta maisha. Mwenyeji wake alimshauri aoe ili awe na resident permit.
Katika ile car wash mwenyeji wake alijuana na wateja wengi sana. Kuna mama wa 42 ana watoto wawili, nyumba career ya kueleweka lakini hana mume. Alimuona huyu ni right candidate.