maisha kabla na baada ya ndoa

maisha kabla na baada ya ndoa

AMINATA 9

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2011
Posts
2,120
Reaction score
642
kwa wale wanaozitaka ndoa kwa fjo haya sasa
 

Attachments

  • tereza10.jpg
    tereza10.jpg
    19.6 KB · Views: 303
Teh te he he heee,ebwana hii safi hasa ukiisoma kutokea chini kwenda juu,inabadili kabisa maana.
 
kabla ya ndoa majina meengi mara darlin,dia

baada ya ndoa utaskia we John mara we Anna

siku nyingine unatoka kazini unauliza chakula kiko wapi anakuonyeesha kwa mguu kile kule.
 
kabla ya ndoa majina meengi mara darlin,dia

baada ya ndoa utaskia we John mara we Anna

siku nyingine unatoka kazini unauliza chakula kiko wapi anakuonyeesha kwa mguu kile kule.
Sio ndoa zote, wengine tumefundwa bwana!
 
Back
Top Bottom