Maseru siyo Bujumbura!! mwalimu wako kakudanganya! anazidi kukuingiza chaka!! .... ndg utafute hela mpaka lini wkt wenzako wanazo tayari....km unaipenda saaaana ..njoo nikuunganishe!....hakuna atakaye elewa naona unaingiza gia kijanja! but sha elewa!πππ hakika mke wangu hujakosea,Mumeo natafuta pesa nikununulie 'Jaguar pliza' ukawatambie wakina mama wenzako hapo Bujumbura.
πππ Kula brochette hapo nakuja kukulipia mtoto mzuri,ntakununulia na Jaguar binti mrembo wa hapo Bujumbura.Maseru siyo Bujumbura!! mwalimu wako kakudanganya! anazidi kukuingiza chaka!! .... ndg utafute hela mpaka lini wkt wenzako wanazo tayari....km unaipenda saaaana ..njoo nikuunganishe!....hakuna atakaye elewa naona unaingiza gia kijanja! but sha elewa!
uwe muwazi tu!! banaweee!! hayo mambo siku hizi mbona kawaida? ..usiogope hakuna atakaye jua!! labda weye mwenyewe uamue kusema!!..hata kma ukiona vipi KY Jelly itakufaa zaidi! ila tu cha msingi uwe mkaka mavu!
Mzee, kubali wewe ni kilaza pia umekurupuka , Maseru sio gari, ni mji mkuu wa Lesothoπππ hakika mke wangu hujakosea,Mumeo natafuta pesa nikununulie 'Jaguar pliza' ukawatambie wakina mama wenzako hapo Bujumbura.
Tatizo jamaa ana kiswahili kigumu kama kokoto mwenyewe hapo nimerudia zaidi ya mara 3 ndo nikaelewa kilichoandikwaMzee, kubali wewe ni kilaza pia umekurupuka , Maseru sio gari, ni mji mkuu wa Lesotho
Jaguar Pliza ni a.k.a./jamii ya gari, nenda google utaziona
Mzee, kubali wewe ni kilaza pia umekurupuka , Maseru sio gari, ni mji mkuu wa Lesotho
Jaguar Pliza ni a.k.a./jamii ya gari, nenda google utaziona
Unaelewa maana ya a.k.a. (also know as) au unaniita lofa tu?Wewe Lofa models za Jaguar hakuna hata moja inayoitwa Jaguar Pliza na Kama unajiamini weka hapa screenshot ya hio Gari hapa.Unadhani lugha zenu za kishamba mnazotumia huko Burundi kuita magari zinakua Ni official language?.
Ila warundi mna Maisha magumu Sana mnazamia mpk Lesotho
Kwahiyo masogange hakuwa mzuri?Mademu Wakirundi hawana tofauti na mademu wakinyakiyusa, hamna wazuri kule
Naam.Pia ukipeleka dagaa wa Mwanza au dagaa fulani wanaitwa Nchibamoyo toka Mwanza utapiga sana pesa hali kadhalika samaki wa kukaushwa kwa jua na chumvi aina ya sangara wanaitwa Kayabho toka Mza utapiga pesa sana tena sana
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
mrund wa kwanz tumekuonaKumekucha
hahahaaaaaNpo tayar aiseeh kuhamia dar
Napenda sana siku niende Burundipale mtukania mtu mamayake unatafta kifo
kumiliki silaha zaidi ya moja ni kesi, yaani bora uwe nayo moja zingine rudisha hamna kesi, ila wakija wao kuzichukua ujue unalo
polisi au wanajeshi kuwakuta bar mida ya kazi na mikwasa ni kawaida,
ukikamatwa town huna kitambulisho unapelekwa boda la congo uvira hata kama wewe ulijitambulisha ni m bongo
watutsi wanajiona wako juu, kuliko wahutu
wafanyakazi wa ndani ni wanaume
ukijiamini saana unafuatiliwa kwa muda wote utaoishi nchi ile
wengi hula milo miwili kwa siku
ni rahisi kwenda nchi za nje, na wana[okelewa hasa, Canada, Australia, Sweden, Finland, norway, Belgium na France, katika kila familia lazma wapo member wako nje ya nchi
jumamosi ni siku ya usafi
ukimkuta muislam ni muislam kweli, na ukimkuta mkristo ni mkristo kweli, wanashika dini vilivyo, na ukimkuta asie na dini ndio hivyo hivyo humuelezi kitu
wanapenda sana sombe na maharage ya mawese, mikeke, u rohe na michopo
wana hasira sana hawa jamaa
ukiwa mgeni ni lazma utajulikana tuu, hasa mitaa ya watutsi wengi, kama kinindo, kibenga, kiriri, ila ukijichanganya uswazi bwiza na buyenzi ni kama upo bongo tuu tofauti ni zile sare za bluu na mikwasa yenye magazine zidi ya sita.
yapo mengi tu mazuri kuhusu burundi...nimeweza kumbuka machache, ila la zaidi ni kutunuku, hawana noma wabongo wanatuelewa mno...shida yetu huwa chapa ilale
ΓAul sijui bei gan kutokea MwanzaBurundi maisha magumu sana
Mhhhh!Nakazia tu burundi kumkuta Binti ni bikira kitu Cha kawaida sana sio kama huko kwenu.