km sio maisha bora mbona kapata 61% ya kura zote?.............kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa aliiba kura?..............basi huu ndiyo ukweli kwamba kama watz wanamaisha ya namna hii na bado kikwete amepata 671% basi kura ziliibiwa kwa kiasi kikubwa sana na wewe wazungumzia kasulu tu....tembea uone watu wamechok.....kikwete akishapata kura sehemu zingine huwa hata haendi kuwapa shikrani badala yake anaandaa safu ya kuwakandamiza watz na baadhi ya makundi ya kijamii hasa ya kidini kwa kukandamiza dini moja na kupendelea dini nyingine..............kikwete hasna nia yopyote ya kuwakomboa watz na ndiyo maana anapoulizwa na wafadhiri kuwa kwa nini tz ni masikini anasema hajui................hii aibu kubwa na ni dharau kwa wafadhiri kumchagua/kutangazwa mshindi mtu ambaye hajui suluhisho la m,atatiozo ya nchi yake..............watz tutaendelea kuaibika zaidi kwa kikwete kuendelea kuwa rais.....ANACHOFANYA SASA NI KUPANMGA SAFARI ZA KWENDA KUNYWA CHAI MAREKANI NA KUNDI KUBWA LA WATU WAKIWEMO VIMADA WAKE..................NCHI IMETEKWA NA FISADI MWENYE TABASAMU AMBAYE WANAWAKE WANACHEKA TU AKIONEKANA.....MTU NDUMILA KUWILI KIKWETE....ANAYEHUSUDU UCHAWI NA ASIYEKUWA NA MSIMAMO.....MWENYE UWEZO MKUBWA WA KUWAGAWA WATZ BADALA YA KUWAUNGANMISHA
Jamani mwezi septemba nilipita maeneo ya kasulu na kukuta watoto wadogo sana wamebeba kuni bila shaka walikuwa wanaenda sokoni ili angalao waweze kupata mlo.Tunahitaji kutafakari hali hii
View attachment 17212
But CCM told me they were addressing the key problems facing Tanzanians.
They wouldn't lie to me, would they?
Mama weeeeee. Na hizo baisikeli? Utawalinganisha hao na wale watoto wa Masaki wanaokula tuition kila siku na kupata Piza na burgers?