Maisha bila mkopo chuo yapoje?

Maisha bila mkopo chuo yapoje?

Duuuh kwa haya maelezo bora nikatafute boda boda tu niendeshe angalau nitapata buku tano kwa cku.
Kulko kuripot chuo with no mkopo.
Kama maisha yako mazuri nenda karipoti tu shida ipo wale watoto wa masikini!
 
Jiandae kupiga 'RB' za kutosha,jiandae kukaa kwenye vimbweta wenzako wakiwa lunch
 
Ugumu Wa maisha ya chuo unategemea vitu kadhaa..

1. Mkoa unaoenda kusoma chuo

Kuna mikoa maisha yake ni affordable hata kama huna mkopo... Mkoa kama morogoro kiukweli unaweza kujibana na ukasoma hata kama huna mkopo.. Gharama za vyumba ni simple .... Mkoa kama Wa dar ambao Mimi nilisomea gharama za vyumba zipo juu na kama unataka vyumba vya bei ya chini inabidi uende kuishi nje ya mji kidogo.. Ambapo gharama zitakuja kuhamia kwenye suala LA usafiri + kero za usafiri...

2. Life style yako

Kama ukijifanya wewe ni mtu Wa kuiga kila utakachokikuta chuoni kianzia simu,mavazi n.k hata ukipewa boom halitakutosha... Ishi aina ya maisha inayoreflect uhalisia wako kiuchumi.. Kama maisha yako hayakutaki unywe bia usijilazimishe...



All in all maisha ni kuamua kama umeamua kwenda chuo go for it never shutdown the decision...mwanaume kaumbiwa matatizo ... Nilisoma na watu wengi walikuwa hawana boom kilichokuwa kinawaokoa ni sapoti ya familia na wanafunzi wenzako. Inabidi unakuwa mtu Wa kujichanganya... Watu tulimaliza chuo hatuna computer ilikuwa ni kugongea za watoto Wa kishua wanaozitumia kuchekia movie... Sometimes tulikuwa tunatumia computer za library kufanyia kazi unaweka kwenye flash unatoka nayo unaenda kimuimbisha mtu Wa stationary nje....

Narudi tena maisha ni kupambana.... Hujui mungu kakuwekea nini mbele baada ya kuvuka huo mtihani Wa kusoma bila mkopo... Pia chuo sio kama shule ya msingi, unaweza kuahirisha masomo semester moja au mwaka mzima ukiwa huna ada na ukarudi kitaa semister au mwaka ujao ukarudi chuo unaendelea pale ilipoishia... Nina watu nawafahamu walimaliza chuo kwa hiyo style...

Usiogope
 
warembo wote wa vyuo utawaita shemeji kama mgonjwa wa kisukari
duuuh nilpiga pind kwa nguvu huku nikifaham naenda kula bata university kumbe n vice versa.
Leo leo natangaza biashara ya kuuza vitabu vyang vyote.
 
sasa hayo c mateso.
Yan kushindia maandaz matatu chuon et kisa nachukua degree huu utakua upumbav
Ukiwa chuoni bila mkopo unapitia mateso makubwa kama huko kozi ya jeshi ya kuruta pale Makutupola halafu bahati mbaya zaidi unasomea digrii ya american history and civil war. Ahahaha!

Kupata ajira mpaka Waamerika wote wahamie Mars..!

And trust me kwenye dunia hii ya sasa the more unasoma zaidi ndo more unazidi kuwa kwenye trap na circle ya umaskini. Certificate au Diploma ndo suluhisho then work for yourself.
 
Ukiwa chuoni bila mkopo unapitia mateso makubwa kama huko kozi ya jeshi ya kuruta pale Makutupola halafu bahati mbaya zaidi unasomea digrii ya american history and civil war. Ahahaha!

Kupata ajira mpaka Waamerika wote wahamie Mars..!

And trust me kwenye dunia hii ya sasa the more unasoma zaidi ndo more unazidi kuwa kwenye trap na circle ya umaskini. Certificate au Diploma ndo suluhisho then work for yourself.
Mkuu umenifurahisha Sana.
Na waanerika kwenda Mars n 2030, sasa apo c uzee utakua unaninyatia.
Kiufup siend chuo bila mkopo bora niripot mwakan
 
Mimi nilisoma kwa mkopo na nikawa nakaa home. Sikutaka kuiga maisha ya MTU na nilipoanza mwaka wa kwanza niliamua kuwa kauzu.

Nilitafuta kitambulisho cha mwanafunzi nakaa mwananyamala nalipa nauli 100 na sicheki na mtu uso mkavu kwa makonda mana nikiwahi nikichelewa gari za post a nasimama haina haja nilipe nauli ya MTU mzima.

Pili niliamua sitaki demu naweza vaa shati Leo na kesho bila kuwaza mademu wananiwaziaje mana sina time nao

Tatu mchana nilikua sili mara moja moja nakunywa chai na mchana napiga maji ya kutosha kula hadi jioni nikija nyumbani na nyumbani nilikua sipewi hela

Nne baada ya semester tatu nilinunua kiwanja Kigamboni hadi Leo kipo. Square metre 3000.

Tano nilifanikiwa kusoma miaka 3 hapo Posta na ni mwaka wa tatu Niko kazini.

Sita. Soma hapo juu.
 
Mimi nilisoma kwa mkopo na nikawa nakaa home. Sikutaka kuiga maisha ya MTU na nilipoanza mwaka wa kwanza niliamua kuwa kauzu.

Nilitafuta kitambulisho cha mwanafunzi nakaa mwananyamala nalipa nauli 100 na sicheki na mtu uso mkavu kwa makonda mana nikiwahi nikichelewa gari za post a nasimama haina haja nilipe nauli ya MTU mzima.

Pili niliamua sitaki demu naweza vaa shati Leo na kesho bila kuwaza mademu wananiwaziaje mana sina time nao

Tatu mchana nilikua sili mara moja moja nakunywa chai na mchana napiga maji ya kutosha kula hadi jioni nikija nyumbani na nyumbani nilikua sipewi hela

Nne baada ya semester tatu nilinunua kiwanja Kigamboni hadi Leo kipo. Square metre 3000.

Tano nilifanikiwa kusoma miaka 3 hapo Posta na ni mwaka wa tatu Niko kazini.

Sita. Soma hapo juu.
Mkuu ww kwel kauzu
 
inategemea na lifestyle yako na uwezo wa kiuchumi wa familia au anayekusomesha. mimi binafsi nilisoma bila mkopo ila nilikuwa naona wenye mkopo wanateseka zaidi yangu, maana mara zote boom huwa linakata katikati kama week nane basi boom linadumu week tatu hadi nne then wanateseka tu. sikujutia kusoma bila mkopo, japo natokea kwenye familia ya kawaida.
chakufanya punguza starehe fanya vitu kulingana na bajeti yako, otherwise utaumia
 
Mkuu ww kwel kauzu
Mkuu nilikua zaidi ya kauzu. Smart phone nilinunua nilipomaliza chuo. Material nilikua sinunui nasoma ya wale wajinga wasioelewa kwangu wanakuja nawaelewesha huku nikitumia vizuri mwanya wa material yao. Nayasoma kiukweli na sikupata sap hata moja namshukuru mungu. Nilikua natumia daftari 2 kwa semester nzima na nikiingia library natoka pale wanapozima taa.
 
Mkuu nilikua zaidi ya kauzu. Smart phone nilinunua nilipomaliza chuo. Material nilikua sinunui nasoma ya wale wajinga wasioelewa kwangu wanakuja nawaelewesha huku nikitumia vizuri mwanya wa material yao. Nayasoma kiukweli na sikupata sap hata moja namshukuru mungu. Nilikua natumia daftari 2 kwa semester nzima na nikiingia library natoka pale wanapozima taa.
Hongera kwako Mkuu ss ngoja tuendelee kuisoma namba
 
Fatilia maisha ya watu wanaosoma diploma katka vyuo vikuuu utajua tu
Yanatia huruma wala hayapendezi
 
Back
Top Bottom