Maisha bila mkopo chuo yapoje?

Maisha bila mkopo chuo yapoje?

Family background, itakusaidia sana ila kama kwenu ni chungu patamu tia mchuzi usiende
 
Mimi nilisoma kwa mkopo na nikawa nakaa home. Sikutaka kuiga maisha ya MTU na nilipoanza mwaka wa kwanza niliamua kuwa kauzu.

Nilitafuta kitambulisho cha mwanafunzi nakaa mwananyamala nalipa nauli 100 na sicheki na mtu uso mkavu kwa makonda mana nikiwahi nikichelewa gari za post a nasimama haina haja nilipe nauli ya MTU mzima.

Pili niliamua sitaki demu naweza vaa shati Leo na kesho bila kuwaza mademu wananiwaziaje mana sina time nao

Tatu mchana nilikua sili mara moja moja nakunywa chai na mchana napiga maji ya kutosha kula hadi jioni nikija nyumbani na nyumbani nilikua sipewi hela

Nne baada ya semester tatu nilinunua kiwanja Kigamboni hadi Leo kipo. Square metre 3000.

Tano nilifanikiwa kusoma miaka 3 hapo Posta na ni mwaka wa tatu Niko kazini.

Sita. Soma hapo juu.



U deserve a trophy Bro, real husla ila kama umezaliwa na kukulia Dar I give you much more respect
 
Secondari unakula palepale na hakuna mahitaji mengi shati mbili unavaa miezi sita hauwezi kulinganisha na chuo
Sio kila mtu kasoma sec ya bweni wapo wengine tumesoma day na tumeingia chuo bila mkopo na hadi tumemaliza hatuna deni na serikali.
 
Mimi nilisoma kwa mkopo na nikawa nakaa home. Sikutaka kuiga maisha ya MTU na nilipoanza mwaka wa kwanza niliamua kuwa kauzu.

Nilitafuta kitambulisho cha mwanafunzi nakaa mwananyamala nalipa nauli 100 na sicheki na mtu uso mkavu kwa makonda mana nikiwahi nikichelewa gari za post a nasimama haina haja nilipe nauli ya MTU mzima.

Pili niliamua sitaki demu naweza vaa shati Leo na kesho bila kuwaza mademu wananiwaziaje mana sina time nao

Tatu mchana nilikua sili mara moja moja nakunywa chai na mchana napiga maji ya kutosha kula hadi jioni nikija nyumbani na nyumbani nilikua sipewi hela

Nne baada ya semester tatu nilinunua kiwanja Kigamboni hadi Leo kipo. Square metre 3000.

Tano nilifanikiwa kusoma miaka 3 hapo Posta na ni mwaka wa tatu Niko kazini.

Sita. Soma hapo juu.
Aseeee mkuu naishi maisha yako tena mimi naenda chuo Kwa gari then kurudi home kwa miguu, pamba narudia sina shobo but lunch napigaga si unajua tena sio unapiga discussion mdomo unanuka njaa na nashukuru Mungu ada iliyobakia nalipa mwenyewe nina selcom machine so harafu ndo kwanza mwaka wa kwanza hivi naisubiri kwa hamu kweli iyo laki 7 nijiimarishe kwenye investment zangu
 
Wanabodi naomba mwenye experience ya maisha bila mkopo chuo yapoje ili nipate angalau picha itakuwaje kwa hawa vijana ambao dalili za kukosa mkopo zimekwisha anza kujionesha.
Chonde chonde ndugu yangu,waambie na wenzako pia kwamba kama mkikosa mkopo msitie mguu chuoni!!
Maisha ya chuo ni tofauti sana na ya secondary, chuoni unahitaji fedha za kula, kuvaa, nauli na stationaries kila siku.
Kama wanaopata tu mkopo hizo fedha za mkopo haziwatoshi je kwa ambae hapati???
 
inategemeana na pia chuo kipo mkoa gani, kama ni dar mfano Mlimani, walau unatakiwa uwe na backup (mdhamin/mzazi/ndugu) nzur, ila kama hauna backup na unatokea mkoani jitahid kufanya mchakato wa kupata backup nzur

ila kwa mikoan mfano udom, huwa naona kule maisha sio complex sana, unaweza kuish hata chini ya dola moja kwa siku....

binafsi, nisingepata mkopo nisingeweza kumaliza degree yangu pamoja kuwa mm ni yatima na sikuwa na backup kabisa
 
Chonde chonde ndugu yangu,waambie na wenzako pia kwamba kama mkikosa mkopo msitie mguu chuoni!!
Maisha ya chuo ni tofauti sana na ya secondary, chuoni unahitaji fedha za kula, kuvaa, nauli na stationaries kila siku.
Kama wanaopata tu mkopo hizo fedha za mkopo haziwatoshi je kwa ambae hapati???
Mkuu ilo sio la kuulza n mwendo wa kujiongeza tu
 
Wanabodi naomba mwenye experience ya maisha bila mkopo chuo yapoje ili nipate angalau picha itakuwaje kwa hawa vijana ambao dalili za kukosa mkopo zimekwisha anza kujionesha.
kama ni mwanamke basi atauza sana mwili wake maana hamna namna. ila kama ni kidume ata bet, piga job sehemu mbalimbali ajazie ada na vipindi vingi atakosa darasani.
 
umewahi kujiuliza kwanini vyuo vinaongoza kwa umalaya na mario wa kutosha?
 
Back
Top Bottom