Powerman
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 344
- 325
Life after death ni thread special nimeiandaa ili tuweze kuichambua kwa kina. Je, wewe unaamini katika nadharia ipi ya kwamba mtu akifa huzaliwa upya au huenda peponi na waliotenda mabaya duniani hupelekwa motoni kama stori za vitabu vya dini inavyosema?
Toa uzoefu wako hapo chini.
Toa uzoefu wako hapo chini.