Ndio imetoka hivyo.Ukiacha masuala ya imani juu ya maisha baada ya kifo; kuna nadharia (theory) inayoelezea maisha baada ya kifo? Au mtu akifa inakuwaje?
Hao kuku usiwadharau walishawahi kuwa binadamu hapo kabla.
Ukifa nafsi yako yaenda kuwa kiumbe kingine.
Hivyo Cha kuomba uzaliwe kama mbwa ulaya....Iringa🤦
NI kama mpumbavu tu, hajijui kama ni mpumbavu. Ni kama ukifa hujijui kama umekufaUkiacha masuala ya imani juu ya maisha baada ya kifo; kuna nadharia (theory) inayoelezea maisha baada ya kifo? Au mtu akifa inakuwaje?
Itakuwa mkuu, angalia njozi zako...ukiona ni za maangaiko sana ujue ulikuwa mnyama unaeogopa kuchinjwa sikukuuDah Mimi sijui nilikua mbuzi? Before.
Kula maisha ukiwa hai, utakapokufa ndiyo mwisho wako. Kitakachoendela ni wewe kuliwa na minyoo, funza, sisimizi hadi mifupa.Ukiacha masuala ya imani juu ya maisha baada ya kifo; kuna nadharia (theory) inayoelezea maisha baada ya kifo? Au mtu akifa inakuwaje?
Nothing is the number when you die... (Physically )Ukiacha masuala ya imani juu ya maisha baada ya kifo; kuna nadharia (theory) inayoelezea maisha baada ya kifo? Au mtu akifa inakuwaje?
Njozi zangu ziko fresh ila nakula majani sanaa.Itakuwa mkuu, angalia njozi zako...ukiona ni za maangaiko sana ujue ulikuwa mnyama unaeogopa kuchinjwa sikukuu
Itakuwa ulikuwa .....🤣🤣🤣🤣🥴Njozi zangu ziko fresh ila nakula majani sanaa.
Huwezi kueleza maisha baada ya kifo bila kuhusisha imani kwa sababu hakuna aliyeenda huko "physically" halafu akarudi na ushuhuda wa picha au video. Wengi wanatoa shuhuda za ndoto au imagination tu walizopitia kuhusu kifo, kitu ambacho kinabaki kuwa imani na haviwezi kuthibitika kisayansi.Nadhani Kinyume na maelezo ya kiimani kifo kitabaki kuwa "Mystery".Ukiacha masuala ya imani juu ya maisha baada ya kifo; kuna nadharia (theory) inayoelezea maisha baada ya kifo? Au mtu akifa inakuwaje?