Maimartha - Mwaka huu lazima niolewe

ukisema wa nini wenzio wanasema watampata lini na kilokushinda kukila usikitie hila!

asante my dear coz binadamu wa JF wanajifanayga wao wema/wasafi sana, hakuna zuri kwao ni kuponda ponda watu as if wao wasafiii sana....nakerekaga kweli...kama nyie hamuwezi kuoa kuna waoaji.
 
Namshauri akatafte mme huko nchi za mbali. kwa kashfa zilizopo mjini sijui !
 
Mbona kashaolewaga sana tu nakuachika?
 
This photo couldn't be recent one!
Well said,
This time around Kakongoroka mbaya mpaka kwenye vipindi vyake hapigwi Close shots, Na bado Maiko Jacksonnnnnnnn!!!!!!!, Na akifikisha umri wa miaka 40 na kimango kikiwa hakuna utaona kama Hajaokoka!, Mimi nipo!
 
Angekuwa mwafrika kweli ila wazungu mimi walaaa, nadhani ataolewa huko kwao ulaya au anaishi huku bongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…