aisee kumbe!Subiri, Manji akiwapa futari tu basi wanatulia, wakiumwa njaa wanaanza oooh, kiwanja.
Hebu mwacheni magufuli kwani yeye ndo aliyekigawa kiwanja???
Juhudi za Magufuli kurudisha Kiwanja ndizo zikamfanya aishie kwenye Wizara ya mifugo na samaki. Kama mna madai ya kiwanja nendeni Wizara ya Ardhi, Magufuli hakuhama na documents za kiwanja.
Maghufuli waziri wa ardhi? Au hii habari ni ya zamani? Kama sio, tutawachuwaje serious watu wanaofanya kosa kama hili?
Hivi Manji amebatizwa kuwa mkatoliki? Mimi nilidhani mbaya wa waislamu ni mkatoliki na hawezi kuwa muislamu mwenzao! Hiyo serikali wanayoilaumu si hiyo hiyo wanayoisema kuwa inaingilia mno mambo yao? Serikali haiwezi kuzuia watu/vyama/ushirika kufanya maamuzi ya kipuuzi. Wabanane humo humo na kupelekana mahakamani kama wanaona kuna mtu amewadhulumu. Mpaka hapo watakapoweza kujikosoa wenyewe, wajanja wataendelea kuwachezea.
Amandla.........
ww una education??Hawa Waislamu hawana kazi..Al Badrei tu bas..what else do they know? becuase lack of education