loose Nut JF-Expert Member Joined Dec 6, 2025 Posts 2,274 Reaction score 5,210 May 11, 2026 #61 Mr Attorney said: Mkeo akitaka nimbaluze, huwa ananisumbua sama. Click to expand... Tulia wewe mchepuko uchwara
Mr Attorney said: Mkeo akitaka nimbaluze, huwa ananisumbua sama. Click to expand... Tulia wewe mchepuko uchwara
mjanja wa kijiji JF-Expert Member Joined Oct 2, 2018 Posts 1,833 Reaction score 4,887 May 11, 2026 #62 Lucas Mwashambwa said: Mi CHADEMA mnapenda sana uongo , uzushi na Majungu. Jitokeze hadharani utoe ushahidi wako. Click to expand... Chauma na ACT mbona hawatajwi zaidi ya Chadema tu? Mimi mwana Chauma inanikera sana.
Lucas Mwashambwa said: Mi CHADEMA mnapenda sana uongo , uzushi na Majungu. Jitokeze hadharani utoe ushahidi wako. Click to expand... Chauma na ACT mbona hawatajwi zaidi ya Chadema tu? Mimi mwana Chauma inanikera sana.
G guest-1787677877 Guest May 12, 2026 Thread starter #63 mjanja wa kijiji said: Chauma na ACT mbona hawatajwi zaidi ya Chadema tu? Mimi mwana Chauma inanikera sana. Click to expand... 😂😂
mjanja wa kijiji said: Chauma na ACT mbona hawatajwi zaidi ya Chadema tu? Mimi mwana Chauma inanikera sana. Click to expand... 😂😂
K Kakumamoto JF-Expert Member Joined May 6, 2015 Posts 1,672 Reaction score 2,566 May 12, 2026 #64 Hapa sijui walitaka kuandika Mama Magereza?!
LOTH HEMA JF-Expert Member Joined Dec 6, 2015 Posts 28,825 Reaction score 45,330 May 12, 2026 #65 Lucas Mwashambwa said: Mi CHADEMA mnapenda sana uongo , uzushi na Majungu. Jitokeze hadharani utoe ushahidi wako. Click to expand... we unadhani kila mwananchi ni CHADEMA? Kuna wananchi hawana vyama na wana akili timamu hawapendi kudanganywa kwa maigizo ya namna hii
Lucas Mwashambwa said: Mi CHADEMA mnapenda sana uongo , uzushi na Majungu. Jitokeze hadharani utoe ushahidi wako. Click to expand... we unadhani kila mwananchi ni CHADEMA? Kuna wananchi hawana vyama na wana akili timamu hawapendi kudanganywa kwa maigizo ya namna hii