Maige: CCM itakufa

Atakufa yeye CCM ataiacha!

Machungu ya kutemwa kwenye gari lisilo na namba.
 

Mkuu ni TAKUKURU ipi ambayo ipo kazini?kama ni ya Hosea usipoteze muda wako hakuna jipya hapo.
 
Hii ndiyo demokirasia. Maneno ni yake na mdomo ni wake.
Ushauri kwa Rais; Jaribu kutuwekea watu makini na welevu katika wizara zetu. we can see now the true colour of Mr Ezekiel Maige. watch out Mr President
Ushauri kwa CCM; Chama kimejaa watu wenye majungu, fitina na wasio wana CCM hasa. Kauli kama hii ya Ezekiel Maige ni ishara tosha kama yuko CCM kwa maslahi binafsi na kama hata yapata, eti anatishia kama ana watu 300 wanamtaka ahame chama(CCM).
Ushauri kwa Ezekiel Maige; Kama kweli wewe ni Mwana CCM, kumbuka kuna kifungu kwenye msahafu wa CCM unaoitwa ahadi za mwana CCM. moja ya ahadi inasema
Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu; Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote; Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu; Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko; Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.
kwa ushauri zaidi, Kumbuka hii ahadi isemayo.
Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa. hii iwe ni fundisho katika maisha yako mbeleni kwa vile TAKURURU wako njiani

 
Kwa level hii ya thinking, huyu jamaa alipataje vyeo mpaka kuwa waziri?
 
Huyu hana jipya mbona alipokuwa waziri hajaongea upuuzi huu? anataka kuhama chama abaki kwenye gamba lao tu
 
pole maige, hamia kwenye basi kubwa cdm usibanane kwenye hako kabito ambacho kila m2 anataka kua dereva au akae siti ya mbele

Heko Lembeli kumwadabisha nitakupa jina la kajamaa kengine ni kawaziri ukaadhibu
 
sikatai lakini riziki hailazimishwi...si ana yale malori mawili yanayomwingizia dola elfu sijui nne kwa mwezi?? si ni msomi mzuri tu?? si ni mbunge??
Mkirua si kwamba ni msomi tuu bali ni "Qualified Accountant"
 
Last edited by a moderator:
duh, vijana hao, kaanza kuongea mapema sana......ni kumdharirisha aliykutea kwamba anasiliza majungu.. nadnani wapo wengine waliotakiwa kutoka lakini rais hakufanya hivyo.....ushari wa bule kwa Mh maige ni kukaa kimya basi
 
[/QUOTE]

Hata mim namkubali sana huyo mhe.Ni mbunge wangu,safi sana,hana makuu wala chuki binafsi na mtu.Ni mtu wa watu.MAIGE=IMAGE.Taka usitake
 
Tunaweza kuanzisha utalii wa watu kuja kuona 'FISI' kijijini kwako baada ya Twiga kuisha. Tunza vizuri hao fisi mheshimiwa, uwaziri wako wa maliasili waweza endelea kijijini kwako
 
hahaaa...labda angejiuliza yeye ni waziri wangapi kumwagika na ccm ikaendelea kusimama...akiona vipi abanduke aende cdm wanakopokea matapishi ya ccm......
 
pole maige, hamia kwenye basi kubwa cdm usibanane kwenye hako kabito ambacho kila m2 anataka kua dereva au akae siti ya mbele

Hatumtaki huyo mnafiki tu kwanza arudishe twiga wetu.
 
Wee maige si ungenyamaza kwanza upepo upite ndo uanze kuropoka huo upuuzi wako.
 
Huyu MAIGE anelisema AKIWA ndani ya serikali au WAKATI AKITOKA KWA KUKERWA NA MATATIZO YA MCHAGUZI WAKE=HESHIMA,

Asemayo sasa NI KELELE ZA LOOSER Jimboni kwake wakigundua upuuzi wake heri wamwambie mapema AWAJIBIKE JIMBONI NA KUONESHA MCHANGO WAKE KABLA YA 2015
 
(Alidai kuwa fitina na majungu aliyofanyiwa na viongozi wenzake ndani ya chama hicho, yamewakera wana CCM wengi, kiasi kwamba wazee zaidi ya 300 wa jimbo lake wamemfuata wakitaka awaeleze msimamo wake ikiwa atahama ama ataendelea kuwa ndani ya CCM.“Wamekuja wazee hawa, wanawake kwa wanaume na vijana wengi, wakisikitika na kile kilichonitokea. Wanataka niwaambie kama nabaki CCM au naondoka, ili nao wanifuate,”)

Hivi nyie huwa mnajionaga ni kama watu gani vile? wewe hao watu wasubiri uamuzi wa utashi wako ndio na wao wakufwate huko? wao ni misukule wako? tatizo mmezoea kuongoza mawoter mellon na ndio maana mnabaki na mawazo haya, kama hao watu hawana utashi wa kuona mazuri na mabaya na kutegemea eti wewe utachofanya nao wanasubiria baki nao hukohuko hawana faida, kwani kabla ya wewe kua mbunge hao watu nani alikua anawasaidia kufikiria na kuamua cha kufwata? au ndio wanaofaidika kibinafsi na uwepo wako
 
pole maige, hamia kwenye basi kubwa cdm usibanane kwenye hako kabito ambacho kila m2 anataka kua dereva au akae siti ya mbele

Hakuna kuhamia CDM wala nini abakie huko huko kwa wanafiki wenzie.....angeteuliwa kwenye baraza jipya angeyasema hayo aliyoyasema?.....hayo ni maneno ya mkosaji......CCM huwa wanajifanya kucharuka na kusema hovyo wakitemwa kwenye nafasi zao za uongozi......hawawatendei haki watanzania manake wakiwa huko wanakuwa mstari wa mbele kutetea hata visivyofaa mbele ya jamii......wezi wakubwa hawa......aendelee kubaki kwenye lichama lake lenye amani na utulivu.....Hatumtaki CDM manake atatujazia nafasi za watanzania masikini na wenye uzalendo na nchi yao.......Chadema ni chama cha wananchi sio cha viongozi waliostaafishwa kwa kufuja mali ya umma!
 

Kumbe uwaziri ni nafasi ya kupora mali ya umma na kupeleka jimboni haya ni matumizi mabaya ya madaraka na ndiyo maana tunapambana mawaziri wasiwe wabunge ili huu ujambazi ukome kabisa.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…