Maige aichana serikali ya JK

Mkuu naomba ufafanuzi kwenye red hapo. Maana naona siku hizi kiongozi akivuliwa uongozi kutokana na kashfa tunamwita mstaafu. Kwa maana hii pia hata akina Jairo na Muhando na wao ni wastaafu!

Binafsi huwa napenda kuwaita hivyo kwa mana ya kwamba sipendelei kusikia wanarudi tena kwenye madaraka; it is in that narrow sense;
 
US$ 700,000 amedumbuliza kwa muda mrefu pamoja na kukopa kama alivyosema, lakini wizi wa TShs. 6 billion kwa mwezi wewe CHUAKACHARA unaoni ni ufisadi wa kawaida?

By all standards, figure zote kwa mtanzania mwajiliwa wa serikali tena kijana kama maige ni hela ya wizi.
 
ametoka kwenye ulaji huyo
 
Alibwagwa nae amwage mboga kwa faida ya taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…