Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 753
bwana we laaziz, unaenda ofcn kwa mr wote wanakuangalia kipembeni, hee mie huwaga salamu tu zinawatosha mazoea ctaki kabisa.
Kweli laaziz, ukishakuwa kwenye mahusiano au ndani ya ndoa mojawapo ya vitu vya kusamehe (sacrifice) ni kuwa na marafiki wa kawaida ambao ni wa jinsia tofauti!