N Norms New Member Mar 1, 2012 2 0 Mar 1, 2012 #1 Mbinu za kuweza kunisaidia kuweza kutoka na rafiki wa kike wa mpenzi wangu plz kwa yeyote ambaye ni mtalaam wa mambo hayo naomba msaada wake!:lol:
Mbinu za kuweza kunisaidia kuweza kutoka na rafiki wa kike wa mpenzi wangu plz kwa yeyote ambaye ni mtalaam wa mambo hayo naomba msaada wake!:lol:
Erickb52 JF-Expert Member Oct 31, 2010 18,539 11,442 Mar 1, 2012 #2 Teh hiyo simple...watoe wote mara ya kwanza...ya pili...hata ya tatu then vizia demu wako km hayupo andaa mtoko chap na huyo mwingine N.B:UKIMWI UNAUA
Teh hiyo simple...watoe wote mara ya kwanza...ya pili...hata ya tatu then vizia demu wako km hayupo andaa mtoko chap na huyo mwingine N.B:UKIMWI UNAUA
Mtambuzi Platinum Member Oct 29, 2008 8,810 15,398 Mar 1, 2012 #3 Norms said: Mbinu za kuweza kunisaidia kuweza kutoka na rafiki wa kike wa mpenzi wangu plz kwa yeyote ambaye ni mtalaam wa mambo hayo naomba msaada wake!:lol: Click to expand... Inawezekana nina kichwa kigumu kuelewa................hebu fafanua, utoke naye kivipi?
Norms said: Mbinu za kuweza kunisaidia kuweza kutoka na rafiki wa kike wa mpenzi wangu plz kwa yeyote ambaye ni mtalaam wa mambo hayo naomba msaada wake!:lol: Click to expand... Inawezekana nina kichwa kigumu kuelewa................hebu fafanua, utoke naye kivipi?
doctorz JF-Expert Member Aug 10, 2010 916 228 Mar 1, 2012 #4 Mtambuzi. Norms anataka kutoka na girl freind wa boyfreind wake. Anataka threesome. Si unajuwa vijana wa kileo !!!!!!!
Mtambuzi. Norms anataka kutoka na girl freind wa boyfreind wake. Anataka threesome. Si unajuwa vijana wa kileo !!!!!!!