Obviously ukijificha lazima kuna tatizo kama hakuna jambo lolote baya sidhani kama mtu unaweza kuwa na mahusiano ya kujificha lakini vile vile hata kile unachoficha siku ya mwisho kitajulikana tu halafu kinaweza kuwa tatizo ukakimbilia kwa watu kuomba msaada na pengine wengine wakashindwa kukusaidia kwa sababu ulikuwa unaficha watu wasijue kama uko kwenye mahusiano, kwahiyo ni vizuri kuwa wazi hata tatizo likitokea watu wanaweza kukusaidia vizuri tu
Ukiona kuna mtu anaficha ficha mahusiano yake jua kuwa kuna tatizo
Au anao wengi hajui amtambulishe nani au hajiamini kuwa yule aliye nae ni wake na ana mipango ya muda mrefu na mhusika