Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,915
Sawa🤣🤣🤣🤭Tulia wewe![]()
Sawa🤣🤣🤣🤭Tulia wewe![]()
Kumbe inawezekana kupata ndoa humu😊🤗wangu tulikutana hapa jf,first time tunakutana tulikuwa ilikuwa nikama watu waliojuana kwa miaka an it's all b'coz ya uhuru tuliokuwa nao,kuwekana wazi,mawasiliano mazuri,tulijiachia sana japo nikupitia simu ila ilifanya tukazoeana zaidi na nakurudhiana!!siku tulipoonana ana kwa ana tuliishia kutimiza wishes zetu zote na ilikuwa nisiku yakipekee kuwahi kutokea,,namshukuru mungu sasa ni mume wangu,itoshe tu kusema nampenda sana baba T
Ngoja waje..sie wengine tunakutanaga vituo vya daladala tunakimbiwa
Ukiomba buku tu ya salio limekuishia unashangaa uko blocked
NB:situmii mitandao yoyote wala sijipost na sijawahi hayo mahusiano.ndo nasubiri Jf kama itanibariki haya



cjui kwann nimechekaaa sanaawangu tulikutana hapa jf,first time tunakutana tulikuwa ilikuwa nikama watu waliojuana kwa miaka an it's all b'coz ya uhuru tuliokuwa nao,kuwekana wazi,mawasiliano mazuri,tulijiachia sana japo nikupitia simu ila ilifanya tukazoeana zaidi na nakurudhiana!!siku tulipoonana ana kwa ana tuliishia kutimiza wishes zetu zote na ilikuwa nisiku yakipekee kuwahi kutokea,,namshukuru mungu sasa ni mume wangu,itoshe tu kusema nampenda sana baba T



Wachangiaji wengine msije mkatuletea stories za majini na vibwengo, nawajua watu wa JF kwa fix.




kwa kweli😅😅😅 daah! Kama kiasi gani hivi angalau niwe nacho?Heeee, mi nataka wenye hela![]()
![]()
![]()
😂😂😂cjui kwann nimechekaaa sanaa
Muongo yule dada,,nachekaga sana stori zake🤣🤣🤣🤣
Au story za kijiwe nogwa kwa Zai.
Hellow ...mambozAisee,, ngoja nisubiri kusoma shuhuda za watu hapa
Pw mzima 😊🤗Hellow ...mamboz
Una miaka 24...ni kibonge flan,Na huo ndio mkono wa Just Nana....just kukutoa hofu, haya endelea kutiririka...
View attachment 2704754
🤣🤣🤣🤣🤭,, vipi lakin unaendeleajeYaan nimecheka mbavu zinaumaa,![]()
tunakutana lini vilemaake kwanza nicheke!!!
Nipeni maji ninywe kwanza, hebu nisikitike kidogo
Muongo yule dada,,nachekaga sana stori zake![]()




tunakutana lini vile




Sura Sasa anavyoiweka kama serious uwiiii Kuna watu Wana vipaji jamani🤣🤣🤣🤣
Mimi huwa nacheka mno....
Zai ni muongo muongo jamani....
Na anavyoongea kama kweli..