Mahusiano ya mapenzi bila kuonana

Mahusiano ya mapenzi bila kuonana

Screenshot_2017-08-19-12-30-02.png
 
Niliogopaje ile siku unifate moyo juu juu ful aibuuuuuuu! Nikasema nimepatikana pozi zote kwishaaaa Naogopa hata kukuangalia macho chini unaniambia lool at me mahondaw! Ndokwanzaaa kama umeniambia geuka kulia unanigeuza kwa mkono wako nikuface naona aibuuuuuuu dahhhhhhhhhhh! Asante sana Smart911. Katu sijutii





Mahondaw wa Smart911
I like when you get shy... You look beautiful and sweet...

Nakumbuka i told you niangalia usoni... Alafu anza kunitolea ukali kama ulivyokuwa unanitolea face to face...

Ukashindwa masikini... and end up kissing...
 
Ukijua tu huyo mwanamke anachotaka, au kupendelea nini... Mission accomplish...

Ukiyafanya yale yanayomvutia kwisha habari...

Hujui what was i looking for kwa kukukera vile... Ulikuwa unanipa majibu bila hata kujijua...

Ndiyo maana you where so damn surprised as if i was in your mind...


Seriously you pissed me off kwa yale maneno kipindi kile that's why nilikua nakupa nakupa hukuchoka umo tu. Haa kuja kukuona OMG!!' ' The guy is so mmmuah! uliponiacha hoi sasa zile surprises zile lol Smart911 hufaii... I was eissh this kijanaaaaaa!!



Mahondaw wa Smart911
 
Nikawaza sana... Nikajisikia vibaya...

Nikarusha double of that tena.... Nikaona kimya... Nikasema yesss... Naona tena imerudishwa...


Nikasema ee mungu ashindwe huyu kiumbe! Kama ni jaribu awamu hii naona anataka kunitoa kafara sasa mbona kaongeza?!

Moyo ukawa unajiuliza mara mbili mbili nikasema ngoja kwanza.. Nikakaa nayo Weeeee badae ah ah hapana


Wenawe hufaii nikichomoa unaongezaaaa Unazidi kunisaprizisha tu ado ado. Siku nikapata shida bana nilikua sehemu. nikakubipu. Ukanipigia khakhaakhaa.. Una sifa Smart911 wangu jamani lol eti don't worry tell me anything you want.. Or any problem contact me.. or just come to my house I will be there
Nikabanwa na kikohozi kwanza..



Mahondaw wa Smart911
 
Nikasema ee mungu ashindwe huyu kiumbe! Kama ni jaribu awamu hii naona anataka kunitoa kafara sasa mbona kaongeza?!

Moyo ukawa unajiuliza mara mbili mbili nikasema ngoja kwanza.. Nikakaa nayo Weeeee badae ah ah hapana


Wenawe hufaii nikichomoa unaongezaaaa Unazidi kunisaprizisha tu ado ado . Kipindi hiko bado loan board walikua hajaniingiza kwenye makato kabisa. mwezi uliofuata kucheki nakuta laki sijui nangapi ishakombwa nikakonda kwanza hapohapo ATM!

Nivotoka nikakubipu. Ukanipigia khakhaakhaa.. Una sifa Smart911 wangu jamani lol eti don't worry tell me anything you want.. Or any problem contact me.. or just come to my house I will be there
Nikabanwa na kikohozi kwanza..



Mahondaw wa Smart911
Hahaha... Basi yaishe...yaishe super dear...

# Usiongezee neno tena #
 
Nikasema ee mungu ashindwe huyu kiumbe! Kama ni jaribu awamu hii naona anataka kunitoa kafara sasa mbona kaongeza?!

Moyo ukawa unajiuliza mara mbili mbili nikasema ngoja kwanza.. Nikakaa nayo Weeeee badae ah ah hapana


Wenawe hufaii nikichomoa unaongezaaaa Unazidi kunisaprizisha tu ado ado . Kipindi hiko bado loan board walikua hajaniingiza kwenye makato kabisa. mwezi uliofuata kucheki nakuta laki sijui nangapi ishakombwa nikakonda kwanza hapohapo ATM!

Nivotoka nikakubipu. Ukanipigia khakhaakhaa.. Una sifa Smart911 wangu jamani lol eti don't worry tell me anything you want.. Or any problem contact me.. or just come to my house I will be there
Nikabanwa na kikohozi kwanza..



Mahondaw wa Smart911
Hahaha... Unakumbuka... Gross yako ndiyo NSSF yangu...
 
Back
Top Bottom