Mahusiano ya mapenzi bila kuonana

Mahusiano ya mapenzi bila kuonana

Hahaha... Yeah nikaona ghafla hutaki kunijibu tena... Nikawaza mbinu mbadala... Nikasema ngoja atanijibu tu...

Nikaanza uchokozi, basi ukijisikia kunishushua ndiyo unaongea na mimi.. Still nikasema utakaa sawa tu...

Baada ya hapo wacha nikae kimya...

Lol ulinikua unanipa maneno ya kunitia hasiraaaa nafuraa chura ana nafuu nami nakushushuaa.. Nakwambia Wee kaka nimekusoma nini lakini mbona ivo?! Unanikera ujue Wee nawe eti ndo nachotaka nikukere tu haha unanipa dongo nakushushuaa! Dongo shushuaaaa teh Huwa Nacheka sana nikiangalia ile scene





Mahondaw wa Smart911
 
Habari zenu wadau wa JF.

Naam kwa wale wajuzi wa mambo haya, hiv inawezekana kutengeneza mahusiano ya kimapenzi bila ya kuonana na mlegwa husika.

Mfano labda ulimcheki Mitandaoni ukavutiwa nae mtoto ukamvutia mawasiliano alafu ukamweleza la moyoni sio kichwani. Asante
Hilo linawezekana na limeshatokea kwa baadhi ya watu,
unaweza ukampenda mtu mtandaoni au hata kwa kutafutiwa na wazazi au ndugu na mkaanza uhusiano mkiwa mbali.
sasa kudumu au kuto dumu kwa hayo mahusiano itategemea na ninyi wenyewe hulka zenu zimeendana vipi.
 
Hilo linawezekana na limeshatokea kwa baadhi ya watu,
unaweza ukampenda mtu mtandaoni au hata kwa kutafutiwa na wazazi au ndugu na mkaanza uhusiano mkiwa mbali.
sasa kudumu au kuto dumu kwa hayo mahusiano itategemea na ninyi wenyewe hulka zenu zimeendana vipi.
Fact

aminas
 
Santo sana..





Mahondaw wa Smart911
Remember... Kabla ya kunikubalia... Nikakupigia nikuone... Ukapokea kwa dharau sana... Ukasema hapana, unatoka na mipango yako... Nikasema basi nikupeleke... Ukani sonyaa...

Nikakurushia pesa kwa hasira na ghadhabu... Huh ukairudisha ukasema kwa dharau...

Nikasema... mahondaw... When i aim i get... Once i shot i don't miss... I will get you...

Hahaha... Kilichofuata hapa.. Sitaki hata kusema...
 
Lol ulinikua unanipa maneno ya kunitia hasiraaaa nafuraa chura ana nafuu nami nakushushuaa.. Nakwambia Wee kaka nimekusoma nini lakini mbona ivo?! Unanikera ujue Wee nawe eti ndo nachotaka nikukere tu haha unanipa dongo nakushushuaa! Dongo shushuaaaa teh Huwa Nacheka sana nikiangalia ile scene





Mahondaw wa Smart911
Hahaha... Nikikuangaliaga usoni nakuulizaga hivi ndiyo wewe kweli uliyekua unanitolea maneno ya ukali vile...

Siyo kwa ukali na maneno ya kukatisha tamaa uliyokuwa unanipa... Yani ni kibabe kupitiliza...
 
Hahaha... Yeah nikaona ghafla hutaki kunijibu tena... Nikawaza mbinu mbadala... Nikasema ngoja atanijibu tu...

Nikaanza uchokozi, basi ukijisikia kunishushua ndiyo unaongea na mimi.. Still nikasema utakaa sawa tu...

Baada ya hapo wacha nikae kimya...


Ulikua unanikeraje na maneno yako unanipa dongo mwisho all i can say lol! '


Nakasirika nasema Wacha nikae kimya nakaa kimya badae moyo unashindwa kuvumilia nakujibu nyoko umo tu khakhaakhaa! tukaenda tukaenda mwendo wa mashushu tu mpaka ile wish ikanistuaaa eish this man jamaniiii!


Na kukutana I was afraid balaa ila uchonifanyia ile siku lol! sio kwa sapriz zile dahhhhhhhhhhh! Asante sana Smart911 wake namie. sijutiiiiiiii





Mahondaw wa Smart911
 
Remember... Kabla ya kunikubalia... Nikakupigia nikuone... Ukapokea kwa dharau sana... Ukasema hapana, unatoka na mipango yako... Nikasema basi nikupeleke... Ukani sonyaa...

Nikakurushia pesa kwa hasira na ghadhabu... Huh ukairudisha ukasema kwa dharau...

Nikasema... mahondaw... When i aim i get... Once i shot i don't miss... I will get you...

Hahaha... Kilichofuata hapa.. Sitaki hata kusema...


Hahahaahhahahaahahahahaha nikajitia masikini jeuri moyo mmoja unasema toa hio hela utumie tu si kataka mwenyewe mwingine unasema hapana anakupimaa imani huyoo anataka kukununua rudishaaa.
Nikaona tu bora kurudisha nikarudisha ukanishangaajeee.. Eti nimekupa tu utumie. nami unipe burebure tu sitakiiii nikarushaa hela yakooo. khakhaakhaa huwa Nacheka sana lile tukio

Mahondaw wa Smart911
 
Ulikua unanikeraje na maneno yako unanipa dongo mwisho all i can say lol! '


Nakasirika nasema Wacha nikae kimya nakaa kimya badae moyo unashindwa kuvumilia nakujibu nyoko umo tu khakhaakhaa! tukaenda tukaenda mwendo wa mashushu tu mpaka ile wish ikanistuaaa eish this man jamaniiii!


Na kukutana I was afraid balaa ila uchonifanyia ile siku lol! sio kwa sapriz zile dahhhhhhhhhhh! Asante sana Smart911 wake namie. sijutiiiiiiii





Mahondaw wa Smart911
Ukijua tu huyo mwanamke anachotaka, au kupendelea nini... Mission accomplish...

Ukiyafanya yale yanayomvutia kwisha habari...

Hujui what was i looking for kwa kukukera vile... Ulikuwa unanipa majibu bila hata kujijua...

Ndiyo maana you where so damn surprised as if i was in your mind...
 
Habari zenu wadau wa JF.

Naam kwa wale wajuzi wa mambo haya, hiv inawezekana kutengeneza mahusiano ya kimapenzi bila ya kuonana na mlegwa husika.

Mfano labda ulimcheki Mitandaoni ukavutiwa nae mtoto ukamvutia mawasiliano alafu ukamweleza la moyoni sio kichwani. Asante
Ukiwa unapiga na yeye huko anapigwa sawa .

Ukiwa hupigwi ,nayeye huko hapigwi sawa .
 
Ulikua unanikeraje na maneno yako unanipa dongo mwisho all i can say lol! '


Nakasirika nasema Wacha nikae kimya nakaa kimya badae moyo unashindwa kuvumilia nakujibu nyoko umo tu khakhaakhaa! tukaenda tukaenda mwendo wa mashushu tu mpaka ile wish ikanistuaaa eish this man jamaniiii!


Na kukutana I was afraid balaa ila uchonifanyia ile siku lol! sio kwa sapriz zile dahhhhhhhhhhh! Asante sana Smart911 wake namie. sijutiiiiiiii





Mahondaw wa Smart911
aminas jifunze kitu hapa
 
Hahaha... Nikikuangaliaga usoni nakuulizaga hivi ndiyo wewe kweli uliyekua unanitolea maneno ya ukali vile...

Siyo kwa ukali na maneno ya kukatisha tamaa uliyokuwa unanipa... Yani ni kibabe kupitiliza...


Niliogopaje ile siku unifate moyo juu juu ful aibuuuuuuu! Nikasema nimepatikana pozi zote kwishaaaa Naogopa hata kukuangalia macho chini unaniambia lool at me mahondaw! Ndokwanzaaa kama umeniambia geuka kulia unanigeuza kwa mkono wako nikuface naona aibuuuuuuu dahhhhhhhhhhh! Asante sana Smart911. Katu sijutii





Mahondaw wa Smart911
 
Hahahaahhahahaahahahahaha nikajitia masikini jeuri moyo mmoja unasema toa hio hela utumie tu si kataka mwenyewe mwingine unasema hapana anakupimaa imani huyoo anataka kukununua rudishaaa.
Nikaona tu bora kurudisha nikarudisha ukanishangaajeee.. Eti nimekupa tu utumie. nami unipe burebure tu mi ndugu yako??!!??? sitakiiii nikarushaa hela yakooo. khakhaakhaa huwa Nacheka sana lile tukio

Mahondaw wa Smart911
Nikawaza sana... Nikajisikia vibaya...

Nikarusha double of that tena.... Nikaona kimya... Nikasema yesss... Naona tena imerudishwa...
 
Back
Top Bottom