Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,971
Mambo haya hayana fomula kabisa,unaweza kuwa ww mtu mzuri unaheshimu sana ndugu za mumeo na mama yake na baba pia ula wao wanakuwa wanajihisi sana kwamba maybe unafaidi sana kuwa na ndugu yao
Cha muhimu ww jutahidi kufanya yote mazuri kama vile kwa ndugu yao no matter wao wakoje hiyo itasaidia kujijengea trust kwa mumeo, then ukiona imezidi sana fanya unaloona linakupa amani, ila pia kuna wake wengine wachoyo sana hata kwa mama mkwe wake, hawa nao sijui tuwaweke kundi gani
Cha muhimu ww jutahidi kufanya yote mazuri kama vile kwa ndugu yao no matter wao wakoje hiyo itasaidia kujijengea trust kwa mumeo, then ukiona imezidi sana fanya unaloona linakupa amani, ila pia kuna wake wengine wachoyo sana hata kwa mama mkwe wake, hawa nao sijui tuwaweke kundi gani