Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Hiyo constant ralationship ya nje ni kwa mtu mmoja au kwa wengi?Ah babu nimekuelewa aksante but bado kuna walosema ni ngumu kutumia condom nje constantly kwani baada ya mazoea tu watu wanatend kuaminiana so they stop using kinga. na kama nyumbani ndo GOD Forbid si unamletea mwenzi wako kipenzi??
Kama ni kwa mtu mmoja -OMG! Kabla hamjaanza kuiweka kando kondom, do the needful kwenda angaza kwanza.
Kama ni kwa wengi.............CONDOM IS A MUST!
Uzoefu unaonyesha uhusiano wa muda mrefu kwa cheaters ni hatari na unaongeza maambukizi zaidi ukilinganisha na wale wa hit and run. Hit and run ni rahisi sana kutumia kondom kuliko kwa yule mnayekutana kwa zaidi ya miezi sita.... You knoo woram seyyying?