MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Wapendwa habarini za leo?? I hope weekend ilikuwa njema.
Juzi nilikuwa mahali nikayasikiliza mazungumzo yaliyokuwa yanahusu UKIMWI. Wahusika walikuwa wanazungumzia namna ya kuweza kujikinga na ugonjwa huu hasa kwa njia ile ya ngono zembe. Katika kusikiliza nikagundua kuna makundi mawili ambayo kila moja lilijigamba kuwa na nafasi nzuri ya kutoambukizwa than the other. Kundi moja ni lile la wanawake/ume ambao wako single though wana mahusiano i.e. hawajaolewa/oa i.e. hawana ndoa kama tunavyozifahamu na lingine wale wenye ndoa. Baadhi ya hoja zao nilizofanikiwa kuzidaka kichwani ni hizi...
Singles:
1. Uwezo wa kucontrol tendo zima- hawa walikuwa wanadai wao kama wao wanauwezo wa kumkatalia boyfriend/girlfriend kudo naye au kumlazimisha atumie kinga. Eti kwa kuwa hajaolewa/oa yule mwanaume/mke atakuwa na adabu na atatii tu. So uwezo wa kujikinga na UKIMWI uko mikononi mwa mwanamke/ume mwenyewe.
2. Yuko kwenye nafasi nzuri ya kuwezakujua status ya mpenzi wake kwa kumwambia wakapime na akakubaliwa tofauti na aliyeolewa/oa. Kwani mke/mume ataanzaje kumwambia mumewe/mkewe wakacheck afya pamoja na kuwa anaweza akawa anamhisi kuwa na mahusiano nje ya ndoa. Lakini yeye asiyeolewa/oa ana uwezo wa kumpelekesha mwanaume/mke hadi akakubali kwenda kupima hata kama ni mume/mke wa mtu!!!
Married:
1. Wao walidai kuwa wao wako kwenye nafasi nzuri sana ya kutoambukizwa kwa kuwa wao wanatembea na mwanaume/mke mmoja!!! so chance ya kuambukizwa UKIMWI ni ndogo. Hii ilikuwa urgument yao kubwa kulinganisha na wale ambao hawajaolewa/oa.
Then nikaja sikiliza kipindi cha njia panda cha jana wakati kina Dr. Isack Maro na Antie Sadaka wakiongea na wale vijana 3 ambao walikiri kuwa ni mashoga- According to maelezo yao vijana hao walisema kuwa mara nyingi tu huwa wanachukuliwa na waume za watu ambao wengine bila aibu huwapeleka majumbani mwao (wake zao wanapokuwa safarini/masomoni) na kushiriki nao tendo kwenye vitanda vyao!!!
Nimebakia kutumbua macho tu hapa!!!
Hebu nisaidieni maana hata kuuliza siwezi!!- maana naona makundi yote yako sawa!!
Juzi nilikuwa mahali nikayasikiliza mazungumzo yaliyokuwa yanahusu UKIMWI. Wahusika walikuwa wanazungumzia namna ya kuweza kujikinga na ugonjwa huu hasa kwa njia ile ya ngono zembe. Katika kusikiliza nikagundua kuna makundi mawili ambayo kila moja lilijigamba kuwa na nafasi nzuri ya kutoambukizwa than the other. Kundi moja ni lile la wanawake/ume ambao wako single though wana mahusiano i.e. hawajaolewa/oa i.e. hawana ndoa kama tunavyozifahamu na lingine wale wenye ndoa. Baadhi ya hoja zao nilizofanikiwa kuzidaka kichwani ni hizi...
Singles:
1. Uwezo wa kucontrol tendo zima- hawa walikuwa wanadai wao kama wao wanauwezo wa kumkatalia boyfriend/girlfriend kudo naye au kumlazimisha atumie kinga. Eti kwa kuwa hajaolewa/oa yule mwanaume/mke atakuwa na adabu na atatii tu. So uwezo wa kujikinga na UKIMWI uko mikononi mwa mwanamke/ume mwenyewe.
2. Yuko kwenye nafasi nzuri ya kuwezakujua status ya mpenzi wake kwa kumwambia wakapime na akakubaliwa tofauti na aliyeolewa/oa. Kwani mke/mume ataanzaje kumwambia mumewe/mkewe wakacheck afya pamoja na kuwa anaweza akawa anamhisi kuwa na mahusiano nje ya ndoa. Lakini yeye asiyeolewa/oa ana uwezo wa kumpelekesha mwanaume/mke hadi akakubali kwenda kupima hata kama ni mume/mke wa mtu!!!
Married:
1. Wao walidai kuwa wao wako kwenye nafasi nzuri sana ya kutoambukizwa kwa kuwa wao wanatembea na mwanaume/mke mmoja!!! so chance ya kuambukizwa UKIMWI ni ndogo. Hii ilikuwa urgument yao kubwa kulinganisha na wale ambao hawajaolewa/oa.
Then nikaja sikiliza kipindi cha njia panda cha jana wakati kina Dr. Isack Maro na Antie Sadaka wakiongea na wale vijana 3 ambao walikiri kuwa ni mashoga- According to maelezo yao vijana hao walisema kuwa mara nyingi tu huwa wanachukuliwa na waume za watu ambao wengine bila aibu huwapeleka majumbani mwao (wake zao wanapokuwa safarini/masomoni) na kushiriki nao tendo kwenye vitanda vyao!!!
Nimebakia kutumbua macho tu hapa!!!
Hebu nisaidieni maana hata kuuliza siwezi!!- maana naona makundi yote yako sawa!!