Mahusiano na binti mwenye mtoto

Mahusiano na binti mwenye mtoto

Acha upoyoyo ww..hapo piga sepa, huyo kashapoteza dira atakuletea majanga tu
Unavyomwambia piga sepa angekuwa Dada yako ungejisikiaje? Na ni nani aliyewaaminisha Mwanamke aliyezaa kapoteza Dira??? Mngejua hawa ndiyo Strong Women. Nadhani na mifano unayo.
 
Tamaa bado hazijakuisha kumbe,endapo unahisi bado una nafasi ya kuchagua please ebu jipe muda kwanza ila si kwa wanafunzi wa chuo sikushauri kabisa.
kwanini sio kwa mabinti wa chuo coz nilisoma boys tupu advance so ndo nasikia kule ndo wamejaa tele!
 
Ww afadhali amezaa mmoja mm wamemzalisha wawili ila tatizo kwangu anataka ndoa kwa nguvu duh
 
kama hukumtom¥€ mlipokuwa na mahusiano, huo ndo wakati wa kumnyonyoa.
 
kwa kweli bado nampenda ila soon naingia chuo maana nasikia huko chuoni wazuri wengi na ni changamoto
Wewe unaendeshwa na hisia zaidi na sio mapenzi ya kweli. Ulipomuona amependeza ndio mapenzi yakawaka moyoni wakati ulikata mawasiliano kwa zaidi ya miaka 2.
Hizo ni gharama za wanaume wenzio kijana. Soma kwanza kijana halafu utapendezesha wako.
 
Mkuu mitumba nayo ina watumiaji, kama unahitaji za roby one achana na za karume ila za karume sometimes quality yake ni zaidi ya hizo za shop.
Ova!
Kwa sababu zimetumika sana siyo.
 
Uongo
huoooo.... msiwe na roho za kusingizia watuu mambo ya ajabu......
Ukioa tu uyo mwanamke baba ya uyo mtoto ni lazima atakua anakumbushia tena bureeeee.
Hata mia halipi niamini mm kiongozi.
 
Check relation yake na baba mtoto kama ishakatika na hatasumbua, then amua kuwa baba mlezi, ila usiwe na wivu ulopitiliza, utaishi na wasiwasi wa maisha ka digi digi wa Tarangile!!
 
hapo una mega kisela tuuh usioe huyoo huo ndo ukweli nakwambia sio roho mbaya wala nini...
 
Mkuu mwanamke hapimwi uwezo wa future yake kwa sababu ya mtoto nina mifano mingi ya wadada waliopata watoto before ndoa na sahizi wadau wanawang'ang'ania mtaani
 
Habari wakuu poleni ni mihangaiko ya kutafuta ridhiki ya kila mtu naenda kwenye lengo la mada kuna msichana mmoja wakati tuko Olevel alikuwa ni mchumba wangu sasa matokeo ya advance yakatutenganisha kwa miaka kama miwili hivi sasa majuzi nimekutana nae kawa mzuri balaa aisee nikaomba contact ile namuuliza mapenzi yetu yanaendelea kwa season mpya akasema ndio ila mimi sasa hivi nina mtoto nimezaa na mt mwingine aisee yaani niko in dillema ushauri tafadhari wapendwa.
Maswali ya msingi ya kujiuliza/kumuuliza:
1. Ilikuwaje mpaka akazaa? Waliamua, ilikuwa bahati mbaya? Au?
2. Baba mtoto wake waliachana/hawana uhusiano?
3. Kama jibu la swali la pili ni ndio, nii ilikuwa chanzo?
Amini nachokuambia, majibu ya maswali haya ni muhimu mno katika kufanya maamuzi yako.
 
Ushauri utakaopewa na wanaume wenzio wa jf kuhusu single mother ni kwamba hawafai usiendelee nae mana single mother kwao ni kitu cha ajabu sana hakitakiwi kuwa na mahusiano

Mkuu fanya vile moyo wako unapenda kuwa na mtoto sio tatizo kama
wenyewe mnapendana
Umeanza lini kuwa msemaji wa sisi wanaume wa JF?

Mzima Wewe lakini?
 
Write your reply...utafiti unaonesha
ukioa single matheri ujiandae kisaikolojia...

sio mimi ,utafiti waonesha!
 
Back
Top Bottom