Mahusiano na binti mwenye mtoto

Mahusiano na binti mwenye mtoto

Ushauri utakaopewa na wanaume wenzio wa jf kuhusu single mother ni kwamba hawafai usiendelee nae mana single mother kwao ni kitu cha ajabu sana hakitakiwi kuwa na mahusiano

Mkuu fanya vile moyo wako unapenda kuwa na mtoto sio tatizo kama
wenyewe mnapendana
Kibaya zaidi wanaowakandya masingo maza na wao ni masingo faza waliowatelekeza watoto wao.

Hivi hawa masingo maza kwani wanajizalisha wenyewe?
 
Kibaya zaidi wanaowakandya masingo maza na wao ni masingo faza waliowatelekeza watoto wao.

Hivi hawa masingo maza kwani wanajizalisha wenyewe?
Babu ndio mana nakupenda mm
Na wao ndio chanzo cha single mother
 
Sana watu sijui wakoje mbegu zao wazozitoa huko je zingekuwa na wao zinzwafanya wanabeba mimba nadhani tungekuw wote droo ktk kuzaa.... ila kwa sababu imeegemea kwetu mtu anaona aliyezaa hafai... huyo bint hana kosa na kafanya heri kasema mapema kabisaa kabla hajaja haribu mbeleni[ QUOTE="Barieda, post: 28556061, member: 500623"]Una roho mbaya kichizi.
[/QUOTE]
Alafu wewe inaonyesha umesha zalishwa na kuachwa
 
Mm mara nyingi naangukia kwa hao waliozalishwa, ila huwa ni wazuri sana ila karaha za hapa na pale zipo sana😀😀

Km ni mzuri basi achana naye, amezalishwa ndio amekuwa mzuri...kwahiyo nawewe km hutojali tafuta utaratibu mwingine broo!!. Ukipenda sana basi inshallah mbanane hapo hapo😳
 
Yaani wanawake walivyojaa bila watoto unachykua aliyezalishwa
 
Ukweli uko hvi;
Kama umempenda huna budi kuwa nae lkn tegemea kulea mama na mtoto effectively licha kuwa aliyezaa nae muda wowote akihitaji kuonana nae bhasi uwezekano utakuwepo endapo mwanamke akiridhia hvyo.Fikiria ipasavyo then chukua maamuzi sahihi usije jilaumu badae.
 
Ushauri utakaopewa na wanaume wenzio wa jf kuhusu single mother ni kwamba hawafai usiendelee nae mana single mother kwao ni kitu cha ajabu sana hakitakiwi kuwa na mahusiano

Mkuu fanya vile moyo wako unapenda kuwa na mtoto sio tatizo kama
wenyewe mnapendana
Halaf wakato asilimia nyingi tunajua wamezaliwa na single mom mpaka leo wanakua na kuja kuponda jf
 
Ushauri utakaopewa na wanaume wenzio wa jf kuhusu single mother ni kwamba hawafai usiendelee nae mana single mother kwao ni kitu cha ajabu sana hakitakiwi kuwa na mahusiano

Mkuu fanya vile moyo wako unapenda kuwa na mtoto sio tatizo kama
wenyewe mnapendana
we album maza nn
 
Ukweli uko hvi;
Kama umempenda huna budi kuwa nae lkn tegemea kulea mama na mtoto effectively licha kuwa aliyezaa nae muda wowote akihitaji kuonana nae bhasi uwezekano utakuwepo endapo mwanamke akiridhia hvyo.Fikiria ipasavyo then chukua maamuzi sahihi usije jilaumu badae.
kwa kweli bado nampenda ila soon naingia chuo maana nasikia huko chuoni wazuri wengi na ni changamoto
 
kwa kweli bado nampenda ila soon naingia chuo maana nasikia huko chuoni wazuri wengi na ni changamoto
Tamaa bado hazijakuisha kumbe,endapo unahisi bado una nafasi ya kuchagua please ebu jipe muda kwanza ila si kwa wanafunzi wa chuo sikushauri kabisa.
 
Back
Top Bottom