Mahusiano na binti mwenye mtoto

Mahusiano na binti mwenye mtoto

Top gun maverick

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
2,092
Reaction score
2,913
Habari wakuu poleni ni mihangaiko ya kutafuta ridhiki ya kila mtu naenda kwenye lengo la mada kuna msichana mmoja wakati tuko Olevel alikuwa ni mchumba wangu sasa matokeo ya advance yakatutenganisha kwa miaka kama miwili hivi sasa majuzi nimekutana nae kawa mzuri balaa aisee nikaomba contact ile namuuliza mapenzi yetu yanaendelea kwa season mpya akasema ndio ila mimi sasa hivi nina mtoto nimezaa na mt mwingine aisee yaani niko in dillema ushauri tafadhari wapendwa.
 
Inahitaji akili kubwa sana mkuu,
Wewe angalia moyo wako kama unaridhia hilo bila kinyongo, kama unahisi hofu moyoni mpotezee utakuja jutia maamuzi yako huko mbeleni.
 
Unampango gan naye??
Kama ni kuoa ,Oa ili mradi umempenda na upo tayar kwa lolote.

Kama unataka kupiga tu mzigo, basi naww jiandae kupigwa mizinga ili apate pesa ya kumnawilisha mwanawe.
 
Hakuna ubaya kwa maana huyo mtoto aliyezaliwa ni uzao wa mbegu za mwanaume mwenzio. Acha tu penzi lenu liendelee kwenye season mpya, ila kuwa nae ukijua kabisa haupo peke yako.
 
Habari wakuu poleni ni mihangaiko ya kutafuta ridhiki ya kila mtu naenda kwenye lengo la mada kuna msichana mmoja wakati tuko Olevel alikuwa ni mchumba wangu sasa matokeo ya advance yakatutenganisha kwa miaka kama miwili hivi sasa majuzi nimekutana nae kawa mzuri balaa aisee nikaomba contact ile namuuliza mapenzi yetu yanaendelea kwa season mpya akasema ndio ila mimi sasa hivi nina mtoto nimezaa na mt mwingine aisee yaani niko in dillema ushauri tafadhari wapendwa.
Acha upoyoyo hapo gonga sepa kuoa mwanamke aliyezaa ni kosa kubwa sana,anzisha familia yako fresh,utaendaje kulea toto mwanaume mwingine
 
Acha upoyoyo hapo gonga sepa kuoa mwanamke aliyezaa ni kosa kubwa sana,anzisha familia yako fresh,utaendaje kulea toto mwanaume mwingine
Ndo hapo sasa...alafu single mother weng wapo desperate wanagawa sana nyapu..
 
Kula mzigo mkuu...lakini uweke mambo clear kuanzia mwanzo kwamba relationship yenu ni ya kupita tu kwamba huna mpango..

Usije kumpa false hopes kwamba utamuoa kumbe ni mpigaji tu..
 
Ushauri utakaopewa na wanaume wenzio wa jf kuhusu single mother ni kwamba hawafai usiendelee nae mana single mother kwao ni kitu cha ajabu sana hakitakiwi kuwa na mahusiano

Mkuu fanya vile moyo wako unapenda kuwa na mtoto sio tatizo kama
wenyewe mnapendana
 
Nyie ndo mnakutana na wanawake wanawambia hawajawahi zaa kumbe ana mtoto kijijin na unakuja kujua kama alishazaa miaka.ishaenda na mna mtoti mwingine.. pia nyie ndo hupata wasichana washatoa mimba kama.kumi mnajiona wajanjaaa sasa aliyezaa na kuua vichanga heri yupi..!!
Acha upoyoyo hapo gonga sepa kuoa mwanamke aliyezaa ni kosa kubwa sana,anzisha familia yako fresh,utaendaje kulea toto mwanaume mwingine
 
Ushaur wangu..ni kuwa unatakuwa ujue mahusiano yake na mzazi mwenzake yakoje hilo la kwanza..kama yapo bado usije mpa penzi lako na kama halipo angalia moyo wakp unasemaje unamtaka au unampenda au unamtamani.. ukipata majibu ya hayo fanya usahihi kamili kama unampenda na wamtaka kuwa mkeo oa kabisa. Kuzaa sio tija kwani wewe bikra au unajijua uko na mbegu za kuzalisha!!.. mapenzi hayachagui mtu aliyezaa au asiyezaa.. cheza na moyo ndugu..
 
Sana watu sijui wakoje mbegu zao wazozitoa huko je zingekuwa na wao zinzwafanya wanabeba mimba nadhani tungekuw wote droo ktk kuzaa.... ila kwa sababu imeegemea kwetu mtu anaona aliyezaa hafai... huyo bint hana kosa na kafanya heri kasema mapema kabisaa kabla hajaja haribu mbeleni[ QUOTE="Barieda, post: 28556061, member: 500623"]Una roho mbaya kichizi.[/QUOTE]
 
Asanten kwa ushauri wapendwa God bless you all mlionipa great advice course soon naingia chuo ngoja nifikiri cha kufanya.
 
Ukioa tu uyo mwanamke baba ya uyo mtoto ni lazima atakua anakumbushia tena bureeeee.
Hata mia halipi niamini mm kiongozi.
 
Back
Top Bottom