Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,381
- 18,166
Hakuna ukweli wowote hapo
KufanyajeMorogoro tunaenda lini ?
Kutembelea familia yakoKufanyaje
pochi nene ndiyo inapendwa, kuna mdau humu aliandika uzi unaumiza sana,
kuwa alikuwa anapiga stori na mke wake wa ndoa sasa akamueleza mke kwani nini shoga yako fulani hajaolewa yuko tu, mke akamjibu hata mimi ni shida tu zimefanya niwe ndani.
kweli hali ni tete bora tuoe walokole wa magauni marefu hata watamaliza mwaka ndani, jiloge uowe hawa maslay queen wapaka makeup na vipochi pochi wiki au siku mbili tu ushakula za uso mtoto wa kiume unaanza lia tu.Tanzania hata Kuanzisha Relationship unatakiwa uwe na Mtaji.
Inawezekana ni kweli lkn sasa hv mapenzi ya kweli hakuna na hii ina apply kwenye pande zote mbili ke na me.
Unaweza kabisa kumpenda mtu kwa dhati, ukamthamini na kumuheshimu pia, usimuombe hela na uko unafanya shughuli zako za kuingiza kipato chako, ukimshauri na kumtia moyo lkn kumbe mwenzio anakuchukulia kina one night stand! Anakuona fala flani hv, anakuona boya mmoja usiyejielewa! Its real real hurts!
I think now ni bora kujipenda mwenyewe na mahusiano yawe kama bonus track. Usiwaze au kutegemea kuwa na mahusiano hai, utaumia sana
Thread closedUkipenda, usitegemee chochote kutoka kwa unayempenda. No Expectations, No Disappointments!
Sio lazima mtu akupende na wewe ndio umpende. Watu wengine huwa hawajipendi, hawapendi hata ndugu zao halafu unategemea wakupende wewe..how come?
So my friend, make it easy for you. Just be a giver of love. Maana mwisho wa siku kinacho count ni vitu ulivyofanya na sio ulivyofanyiwa [ kama msaada uliotoa, namna ulivyojali, namna ulivyopenda na kusamehe n.k. ]
Mtu akikuacha jiulize swali moja tu;
"Je ulimpenda na kuishi naye vile inavyotakiwa?"
Kama jibu ni ndio, then nothing to worry about. Yeye ndio anatakiwa ajute kumzingua mtu aliyempenda for real. And you know what? Real is Rare!
Be Proud & Good Luck!