kwa hiyo kwa vile unaogopa kutangazwa sio riziki itabidi umle au? maana hapa sijui unataka tukuambie nini wakati dalili za wewe kumla ziko kwenye maelezo yako. kwani ukitangazwa sio riziki wakati ni riziki utapungua kilo ngapi? kula akugande ndio utalijua jiji la mkoa wa kaskazini.
Ndo maana nikasema hapo juu hizo zote anatupa hadithi za matokeo ya alichofanya
Hapo dada wa watu kashafanyiwa la kufannyiwa tunachoambiwa na mhusika hapo ni matokeo
Aache kudanganya umma wa watu bana