Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Ushakulla wewe unazingua hapa! Ulimwona saa ngapi wakati anasaula wakati wewe ulikuwa chumbani kwako! Kama hujachungulia sebuleni uliona vipi?
Timua mbali hiyo mutu.
Ebu bro pata picha kama wewe ni rijali na mtu dakika chache alikwambia anasikia baridi atupe nguo zote mpaka ch*p* live unategemea nini?
Unavaa jezi bhana!
Am short of words.....maana umejitakia mwenyewe. kama unaishi mwenyewe kwa nini umechukua dada wa kuishi naye?? kwani haezi kwenda na kurudi (dayworker wanaitwa)??
Inaonekana wewe nı sıtakı nataka.
Malaria yote ingepona . Dah!
Sauti ya wengi ni ya Mungu,ukikataa unamkataa MUNGU!
Sauti ya wengi ni ya Mungu,ukikataa unamkataa MUNGU!