Geofrey Maseta
JF-Expert Member
- Nov 24, 2015
- 1,115
- 917
Hahahaaa , haya ndo maswali ya matahira + vichaa wa lumumba...ule mjengo ndo nyumbani kwa hawa jamaaKwani Kafulila ana wadhifa gani kisiasa?
Hahahaaa , haya ndo maswali ya matahira + vichaa wa lumumba...ule mjengo ndo nyumbani kwa hawa jamaaKwani Kafulila ana wadhifa gani kisiasa?
We m@m@ Baki kwenye madaNasikia sahivi Kafulila anatunzwa na demuwake baada ya kupigwa chini na wala migebuka
Duuuuh, elimu ni janga kwa taifa! Kinga ya kibunge mwisho menjengoni, ukishatoka nje ya ukumbi nayo inakata! UsikurupukeBora wamemuokoa, maana 2010-2015 alikuwa na kinga ya ubunge, ukiongea bila ushahidi tu ni shida haswa kwa raia wa kawaida.
So kutoa maoni ni mpaka uwe mwanasiasa? Je, amejipeleka mwenyewe au amealikwa!? FoolishKafulila bana,azungumzie uchumi facebook na Jf atawapata Tanapa
Heko clouds kwa kumyima fursa tumbili ya kutaka kujipatia ujiko wa kisiasa ilhali ameshakufa kisiasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu ndil kwsha habar yake na hv chama chao ca nccr magaun kilivokosa mwelekeo mmmh huku kunaitwa kufa kisiasa.
Wewe una wadhifa gani kwani mpaka uhoji hilo?Kwani Kafulila ana wadhifa gani kisiasa?
Mwenye njaa ana utulivu kweli? Hujapata mkopo chuoni una utulivu kweli? Huna chapaa kwa pochi una utulivu kweli? Labda kama una definition nyingine ya huo utulivu...Ila ni kweli kipindi hiki nchi inaitaji sana utulivu, sasa Kafulila anamistress mingi angeweza kuongea vitu siyo kwanza akiponza 360 bule.
[emoji115]"Mtu anayekwazwa na meseji za twitter, facebook na whatsapp hapaswi kuongoza nchi"( Hilary Clinton)
Anaandika Davidi Kafulila
Kipindi clouds360 nilichoalikwa leo kuanzia saa mbili unusu asubuhi kwajili ya kujadili masuala yanayoendelea nchini kama nilivokuwa nimewajulisha jana ambacho kilikuwa kikitangazwa tangu jana kimefutwa nikiwa studio tayari kwa maelekezo toka juu!
Poleni mliokuwa mkisubiri kunifuatilia!
David Kafulila.
Kafulila ana tafuta kiki tuu
Alifukunyua madesa yoteWasingetangaza uwepo wake, wangeanza tu kurusha ILA tatizo Kafulila naye intelijensia inaonesha alijiandaa mno na madukumenti kuisulubu Serikali isiyojaribiwa.
Mkuu, ungekua ndio wewe umepigiwa simu ya mwaliko kwenda ungefanyaje?Kafulila nae, hivi kweli uwe na jambo la maana kuongea uende clouds TV? hiki kituko. Haya pole yako