Mahojiano na Kafulila yafutwa Clouds TV

Mahojiano na Kafulila yafutwa Clouds TV

Safi sana Clouds. Hatuwezi kuruhusu ujinga urushwe wakati tuna mambo ya msingi ya kusikiliza!
 
Anaandika Davidi Kafulila

Kipindi clouds360 nilichoalikwa leo kuanzia saa mbili unusu asubuhi kwajili ya kujadili masuala yanayoendelea nchini kama nilivokuwa nimewajulisha jana ambacho kilikuwa kikitangazwa tangu jana kimefutwa nikiwa studio tayari kwa maelekezo toka juu!


Poleni mliokuwa mkisubiri kunifuatilia!

David Kafulila.

ZE NDINDINDIMember
#1
Yesterday at 9:30 AM

Joined: Sep 19, 2016
Messages: 61

Likes Received: 82

Trophy Points: 25
 
Eti mpango ni kuhakikisha ifikapo mwaka 2020 vyama vya upinzani vyote vyenye nguvu (hasa vya UKAWA) vinakufa kabisa. Wanataka vibaki vyama kama UPDP, TLP na vile vya akina Dovutwa. Eti wakishafutika akina CHADEMA ndipo Tanzania itaanza kupaa kwa kasi kiuchumi.
 
Wamemkatali sana Kafulila, hawana huruma hawa clouds! Hivi hawajui kuwa mwenzao haonekani mjengoni Dodoma hivyo akiongea na media kama hivyo inamsaidia na yeye kuonekana kwa wananchi! wamemkatili sana Kafulila sasa aende wapi ili angalau na yeye uwepo wake ujulikane
Usiilaumu clouds mkuu! Mbona Kafulila kasha sema kuna maelekezo mengine ambayo yametoka nje ya mfumo wa clouds media!
 
kama Kafulila ana nia njema na watanzania asikatishwe tamaa na kituo hicho aweke taarifa zake vizuri ,zinazoonyesha tatizo lilipo na namna ya kulitatua, na amtumie mweshimiwa rais kwa njia ya register kupitia Posta. Baada ya miezi sita kama haataona mabadiliko kwa yale aliyoshauri basi amwage taarifa hizo kwenye public kupitia mitandao yote anayoifahamu. Nahapo watanzania tutajua cha kuifanya serikali.
Kitendo cha kuja kuikosoa, kuilalamikia, kuishauri kwa ngebe na vijembe na kejeli na vijinenoneno hivi vya kuudhi hadhari serikali, kabla ya hata kuwasilisha chochote serikalini kuona kimefanyiwa kazi kwa hatua gani hakikubaliki. Huo ni uchochezi.

You can take it or leave it. But that's how it is supposed to be done!
 
hahahahahahaha ''yaani natamani malaika ashuke aizime hii mitandao''
 
Neno moja kwa kafulila.

Leo.jpg
 
Back
Top Bottom